dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
Mbeya hapan Kuna waking wengi mno Arusha is best uwe na pesa ndefu tu unaenyoy kuwepo ArushaKuna mikoa migumu sana kiutafutaji hususani ile ambayo imekaliwa na wazawa kwa wingi mfano Lindi Singida nk ogopa unaenda mkoa unakuta wazawa wanajadili huyu atakuwa ni kabila fulani mikoa ya kiutafutaji inajulikana mkuu Dar, Mwanza, Mbeya ila Arusha sio sana.
Bei ya viwanja IPO juu kuliko mkoa wowte Tanzania
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app