Hamna mkoa nimewahi kwama kwenye utafutaji kama Singida

Hamna mkoa nimewahi kwama kwenye utafutaji kama Singida

Dodoma unaisingizia labda kama ushindani umekutoa kwenye game..

Mda mfupi nimekaa Dodoma nimegundua biashara ya maziwa fresh na mgando ni kama hakuna yaani Kila mgahawa hasa mtaani hakuna maziwa kabisa..

Mie mda mwingi Niko Sumbawanga na Mbeya ,kule biashara ya maziwa fresh na mgando inalipa sana na vilinge viko vingi so mtu akianzisha anaweza piga biashara..

Ni muhimu kuwahi Ili u make jina kabla wengine hawajakuiga
Maziwa yanakusanywa kutoka vijiji jirani au kuna kiwanda ?
 
Bandugu vipi kwa kahama je panalipa for bussines
KAHAMA Panalipa sana mkuu, amini kwamba huwezi fail.... watu wanaona kama tunaiponda singida, ila point ya msingi hapa ni kuwa singida bado mpaka leo mzunguko wa pesa ni mdogo sana,

Una mtaji wa milioni 30 faida kwenye biashara ni ya kawaida na mauzo ni ya kawaida sana.
Biashara ni za msimu tu na msimu ukifika utauza kawaida pia.
 
kweli singida ni miongoni mwa mikoa migumu sana kiuchumi sababu haina mzao ya biashara mfano mpunga wafugaji pamba ufuta mbao nk hata hao wachaga wenye viduka pale wako hoi

mkuoa mwingine ni kagera tabora dodoma mrogoro mjini shinyanga mjini msoma na wilaya zake
"Musoma" ni mkoa?? Sikujua aisee!
 
Uzi umejaa wajinga wajinga wasiojielewa,ina maana Singida nyumba nzuri tunazojenga tunatumia makande kujengea sio pesa?,ni wavivu pekee ndio wataona Singida kugumu
 
Uzi umejaa wajinga wajinga wasiojielewa,ina maana Singida nyumba nzuri tunazojenga tunatumia makande kujengea sio pesa?,ni wavivu pekee ndio wataona Singida kugumu
Wanyiramba kaka huwa mnajifanya wajuaji sana, angalia kasoro zilizopo mrekebishe siyo kupinga kila kitu.

Singida upo ugumu lakini wazawa siyo chanzo, serikali nayo ina mchango mkubwa na hawajawaona kwenye uwekezaji baadhi mfano tu Elimu ya vyuo vikuu na vidogo singida ipo nyuma. Serikali itoe mchango wake.
Kubali singida ni kijijini kiasi.
 
Daaah walio toboa kwenye huo mkoa hongereni. Daah mikoa mingine utasema upo KENYA siyo Tanzania.

Licha ya ugumu wa pesa hali ya hewa pia haikunifurahisha upepo mkali, maji chumvi daah, jua kali sana, viwanja vyao vipo na mawe, chakula cha shida pale, wamezoea ugali na mboga za mlenda. Wadada wao sasa hata kupika hawajui, wazuri ila hawana matunzo kabisa yaani afu washamba.

Wanyaturu na wanyiramba samahanini🙌🙌🙌 Sijui wachagga wanapataje pesa pale maana asimili 85% ya wafanyabiashara wa ule mkoa wakubwa ni wachagga tena wa kibosho wengi. Wazawa wengi wako kwenye alizeti na vitunguu.

Naamini ipo mikoa mingine kama Singida walio ambulia zero pia. Serikali iangalie namna Singida nao wapate wamezungukwa na mikoa yenye tija wao wapo kati wanafyta mikia.

Wewe umewahi ishi wapi pakakuchosha, yaani hukupata chochote.
Huo mkoa Ovyo wanaume wake waoga wa utafutaji mpaka kwenye maisha ya mtaani.
Japo ndio mkoa pekee Tanzania Hauna kikosi cha jeshi hata kimoja
 
Niliuza nguo wakati huo za mtumba zikagoma, nikarudi kwenye matunda napo holaa!!!!! viatu navyo nikauza holaa!!!! Nikaambiwa viatu subiri Sikukuu ya Idd au wakivuna vitunguu daaah nikaona nitakuwa nakula nini....

Serikali haijapeleka hata vyuo vya kueleweka pale mkuu yaani ni uhasibu tu tena tawi la TIA ndiyo lipo pale. Labda kuna VETA tu pale.
Mkuu we huijui singida pale Kuna chuo cha uhazili,veta,tia chio cha afya pale hospital ya mkoa,chuo cha ualimu lake,chuoa cha ualimu singida sec,chuo cha maji,chuo cha ualimu st Carolas kule juu na mavyuo mengine kibao mpk ya utalii
Pale singida nilifungua goli la chips nikatajirika
Huenda we ulikua sgd vijijini kiongozi
 
Mkuu we huijui singida pale Kuna chuo cha uhazili,veta,tia chio cha afya pale hospital ya mkoa,chuo cha ualimu lake,chuoa cha ualimu singida sec,chuo cha maji,chuo cha ualimu st Carolas kule juu na mavyuo mengine kibao mpk ya utalii
Pale singida nilifungua goli la chips nikatajirika
Huenda we ulikua sgd vijijini kiongozi
Kwani hivyo vyuo vya ualimu na Veta ndo vinaleta mzunguko wa pesa? Wengi ni watoto wa wskilima ndo wanao enda kwenye hivyo vyuo.
 
Daaah walio toboa kwenye huo mkoa hongereni. Daah mikoa mingine utasema upo KENYA siyo Tanzania.

Licha ya ugumu wa pesa hali ya hewa pia haikunifurahisha upepo mkali, maji chumvi daah, jua kali sana, viwanja vyao vipo na mawe, chakula cha shida pale, wamezoea ugali na mboga za mlenda. Wadada wao sasa hata kupika hawajui, wazuri ila hawana matunzo kabisa yaani afu washamba.

Wanyaturu na wanyiramba samahanini[emoji119][emoji119][emoji119] Sijui wachagga wanapataje pesa pale maana asimili 85% ya wafanyabiashara wa ule mkoa wakubwa ni wachagga tena wa kibosho wengi. Wazawa wengi wako kwenye alizeti na vitunguu.

Naamini ipo mikoa mingine kama Singida walio ambulia zero pia. Serikali iangalie namna Singida nao wapate wamezungukwa na mikoa yenye tija wao wapo kati wanafyta mikia.

Wewe umewahi ishi wapi pakakuchosha, yaani hukupata chochote.
Heshimu +254 ndo nchi imenitoa kimaisha
 
Back
Top Bottom