Hamna mkoa nimewahi kwama kwenye utafutaji kama Singida

Mbeya hapan Kuna waking wengi mno Arusha is best uwe na pesa ndefu tu unaenyoy kuwepo Arusha

Bei ya viwanja IPO juu kuliko mkoa wowte Tanzania

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nimecheka sana kwenye hii comment mpaka nimepaliwa maji nilikuwa nakunywa, sasa wanaume wa huko kwanza hawafanyi kazi wanalelewa, wanawake wao wakiniona wananiita handsome mangi 😅😅😅😅
 
Unaona watu tunavyo lia huku yaani ni balaa zito. Pole mkuu.
 
Hahaaa mkoa umepigika km uko jirani na somalia maaana hapavutii ila sema kuna totoz ...za maana Mungu hawezi akawanyima vyote ..kawabariki na totoz ila km mtafutaji huo mkoa unataka wenye roho ngumu km musolini
😅😅😅😅 Totorito nyeupeeeee sema nyingi daaah naziangaliaga tu, yaani daah.
 
Kama na wewe hauioni future ya kutoboa Mbeya, tuko pamoja.
 
Bila shaka wee umeuza Sola kule Hadi wampembe umefika wee Ni kiboko [emoji1787][emoji1787]

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Arusha is best

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Mbeya hapan Kuna waking wengi mno Arusha is best uwe na pesa ndefu tu unaenyoy kuwepo Arusha

Bei ya viwanja IPO juu kuliko mkoa wowte Tanzania

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
mkuu ukisema pesa ndefu unamaanisha shilingi ngapi??
inamaana kufanya biashara Arusha inahitaji mtaji mkubwa kuliko kufanya biashara Dar??
nipe ufafanuzi mkuu
kuhusu bei ya viwanja kua juu siwezi kupinga sana maana sehemu ambazo ni za kitalii maeneo huwa yana gharama sana rejea zanzibar Moshi hata kwa majirani pale Nairobi
 
Broo wee bil shaka wee Ni wakala wa Sola upo sumbawamga na mbeya ,[emoji1787][emoji1787] kote huko Ni majimbo yangu uniambii lolote pande hzo

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Unaona watu tunavyo lia huku yaani ni balaa zito. Pole mkuu.
Mm mtu hanidanganyi singida Tena jusi the nilikuepo kufata vitu vyangu fln nikapita kuwa watu hai wanashanga wanasema Dr mbona umenenep HV ..jamaaa ananishawishi nifungue duka la pembejeo nikamuambia mm cjawai kwenda kwa waganga ova

Mnk nn nikifungua nije Tena kupamban na waganga waniweke mjini

Mm kuhusu wanawake Wala siyo ishu sna kwani wanawake wao wamekonda sna na kuwa wakavu wengi na mm kuoa wanyaturu a big no

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Hii biashara kwa Mbeya ni superb. Especially ukiwa maeneo ya Rungwe maana kuna kiwanda cha maziwa
 
Nitakuja na Uzi kueleze jinsi mjin au jj kulivyo kuitafutaji na Kama mtu unapesa ndefu wekeza ktk jiji la Arusha hkn hasara utatecodi pale

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
te teh teh daah nmecheka sana nusu mbav zichomoke we jamaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…