wilsonwizzo3
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 625
- 2,704
hahaha ulishupaza shingoAcah kbsa mkuu pale Ni nyoko na nilitaadharishwa ila nikashupaza shingo
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Maziwa yanakusanywa kutoka vijiji jirani au kuna kiwanda ?Dodoma unaisingizia labda kama ushindani umekutoa kwenye game..
Mda mfupi nimekaa Dodoma nimegundua biashara ya maziwa fresh na mgando ni kama hakuna yaani Kila mgahawa hasa mtaani hakuna maziwa kabisa..
Mie mda mwingi Niko Sumbawanga na Mbeya ,kule biashara ya maziwa fresh na mgando inalipa sana na vilinge viko vingi so mtu akianzisha anaweza piga biashara..
Ni muhimu kuwahi Ili u make jina kabla wengine hawajakuiga
KAHAMA Panalipa sana mkuu, amini kwamba huwezi fail.... watu wanaona kama tunaiponda singida, ila point ya msingi hapa ni kuwa singida bado mpaka leo mzunguko wa pesa ni mdogo sana,Bandugu vipi kwa kahama je panalipa for bussines
"Musoma" ni mkoa?? Sikujua aisee!kweli singida ni miongoni mwa mikoa migumu sana kiuchumi sababu haina mzao ya biashara mfano mpunga wafugaji pamba ufuta mbao nk hata hao wachaga wenye viduka pale wako hoi
mkuoa mwingine ni kagera tabora dodoma mrogoro mjini shinyanga mjini msoma na wilaya zake
mkuu utakaza vipi?
mfano mkoa wa Lindi mjini watu wapo busy wanacheza tu bao,ukipita kama ni mgeni unaanza kuona watu wanakushangaa kama vile wewe ni hifadhi ya TANAPA
Vijiji jiraniMaziwa yanakusanywa kutoka vijiji jirani au kuna kiwanda ?
Bandugu vipi kwa kahama je panalipa for bussines
Wanyiramba kaka huwa mnajifanya wajuaji sana, angalia kasoro zilizopo mrekebishe siyo kupinga kila kitu.Uzi umejaa wajinga wajinga wasiojielewa,ina maana Singida nyumba nzuri tunazojenga tunatumia makande kujengea sio pesa?,ni wavivu pekee ndio wataona Singida kugumu
Huo mkoa Ovyo wanaume wake waoga wa utafutaji mpaka kwenye maisha ya mtaani.Daaah walio toboa kwenye huo mkoa hongereni. Daah mikoa mingine utasema upo KENYA siyo Tanzania.
Licha ya ugumu wa pesa hali ya hewa pia haikunifurahisha upepo mkali, maji chumvi daah, jua kali sana, viwanja vyao vipo na mawe, chakula cha shida pale, wamezoea ugali na mboga za mlenda. Wadada wao sasa hata kupika hawajui, wazuri ila hawana matunzo kabisa yaani afu washamba.
Wanyaturu na wanyiramba samahaniniπππ Sijui wachagga wanapataje pesa pale maana asimili 85% ya wafanyabiashara wa ule mkoa wakubwa ni wachagga tena wa kibosho wengi. Wazawa wengi wako kwenye alizeti na vitunguu.
Naamini ipo mikoa mingine kama Singida walio ambulia zero pia. Serikali iangalie namna Singida nao wapate wamezungukwa na mikoa yenye tija wao wapo kati wanafyta mikia.
Wewe umewahi ishi wapi pakakuchosha, yaani hukupata chochote.
Walivyo waoga haina haja ya kuwawekea hawawezi kuthubutu kuanzisha vuruguKikosi cha jeshi wala polisi naona hawana π π π
Mkuu we huijui singida pale Kuna chuo cha uhazili,veta,tia chio cha afya pale hospital ya mkoa,chuo cha ualimu lake,chuoa cha ualimu singida sec,chuo cha maji,chuo cha ualimu st Carolas kule juu na mavyuo mengine kibao mpk ya utaliiNiliuza nguo wakati huo za mtumba zikagoma, nikarudi kwenye matunda napo holaa!!!!! viatu navyo nikauza holaa!!!! Nikaambiwa viatu subiri Sikukuu ya Idd au wakivuna vitunguu daaah nikaona nitakuwa nakula nini....
Serikali haijapeleka hata vyuo vya kueleweka pale mkuu yaani ni uhasibu tu tena tawi la TIA ndiyo lipo pale. Labda kuna VETA tu pale.
Kwani hivyo vyuo vya ualimu na Veta ndo vinaleta mzunguko wa pesa? Wengi ni watoto wa wskilima ndo wanao enda kwenye hivyo vyuo.Mkuu we huijui singida pale Kuna chuo cha uhazili,veta,tia chio cha afya pale hospital ya mkoa,chuo cha ualimu lake,chuoa cha ualimu singida sec,chuo cha maji,chuo cha ualimu st Carolas kule juu na mavyuo mengine kibao mpk ya utalii
Pale singida nilifungua goli la chips nikatajirika
Huenda we ulikua sgd vijijini kiongozi
Heshimu +254 ndo nchi imenitoa kimaishaDaaah walio toboa kwenye huo mkoa hongereni. Daah mikoa mingine utasema upo KENYA siyo Tanzania.
Licha ya ugumu wa pesa hali ya hewa pia haikunifurahisha upepo mkali, maji chumvi daah, jua kali sana, viwanja vyao vipo na mawe, chakula cha shida pale, wamezoea ugali na mboga za mlenda. Wadada wao sasa hata kupika hawajui, wazuri ila hawana matunzo kabisa yaani afu washamba.
Wanyaturu na wanyiramba samahanini[emoji119][emoji119][emoji119] Sijui wachagga wanapataje pesa pale maana asimili 85% ya wafanyabiashara wa ule mkoa wakubwa ni wachagga tena wa kibosho wengi. Wazawa wengi wako kwenye alizeti na vitunguu.
Naamini ipo mikoa mingine kama Singida walio ambulia zero pia. Serikali iangalie namna Singida nao wapate wamezungukwa na mikoa yenye tija wao wapo kati wanafyta mikia.
Wewe umewahi ishi wapi pakakuchosha, yaani hukupata chochote.