wallah Tena just within two good years of working I managed to buy a plot and build a [emoji117]mansion house in Dsm(nyumba ambayo mastaa wanatamba nazo IG[emoji16])[emoji28][emoji28][emoji28] +254 imekutoa kimaisha kabisa.
Mishe gan unapiga huko kenha mkuuwallah Tena just within two good years of working I managed to buy a plot and build a [emoji117]mansion house in Dsm(nyumba ambayo mastaa wanatamba nazo IG[emoji16])
[emoji117]Na usafiri wangu tako la nyani sio haba
Hongera mkuu....wallah Tena just within two good years of working I managed to buy a plot and build a [emoji117]mansion house in Dsm(nyumba ambayo mastaa wanatamba nazo IG[emoji16])
[emoji117]Na usafiri wangu tako la nyani sio haba
Kwa ambae hajawai kufika Kenya unaweza kimwelezea kuwa ni nchi ya namna gani kiuchumi wa raia mpambanaji na kijamii? Tunahtaj maon yako tafadhariwallah Tena just within two good years of working I managed to buy a plot and build a [emoji117]mansion house in Dsm(nyumba ambayo mastaa wanatamba nazo IG[emoji16])
[emoji117]Na usafiri wangu tako la nyani sio haba
Singida nenda na mtaji kalime alizeti vinginevyo ndo kama hivyo.Daaah walio toboa kwenye huo mkoa hongereni. Daah mikoa mingine utasema upo KENYA siyo Tanzania.
Licha ya ugumu wa pesa hali ya hewa pia haikunifurahisha upepo mkali, maji chumvi daah, jua kali sana, viwanja vyao vipo na mawe, chakula cha shida pale, wamezoea ugali na mboga za mlenda. Wadada wao sasa hata kupika hawajui, wazuri ila hawana matunzo kabisa yaani afu washamba.
Wanyaturu na wanyiramba samahaniniπππ Sijui wachagga wanapataje pesa pale maana asimili 85% ya wafanyabiashara wa ule mkoa wakubwa ni wachagga tena wa kibosho wengi. Wazawa wengi wako kwenye alizeti na vitunguu.
Naamini ipo mikoa mingine kama Singida walio ambulia zero pia. Serikali iangalie namna Singida nao wapate wamezungukwa na mikoa yenye tija wao wapo kati wanafyta mikia.
Wewe umewahi ishi wapi pakakuchosha, yaani hukupata chochote.
Mimi nipo singida na ninafanya biashara mwaka wa 5 huu.namuunga mkono mtoa mada..kuhusu huko namanyere ulikokutaja na maeneo mengine ya rukwa nimefika na kupazunguka vyema napajua huwezi linganisha na hapa Singida.Umeandika pumba. Sehemu yoyote mtu unafanikiwa ukijua panahitajika nini. Tatizo ni kukurupuka. Ukishaambiwa Singida viatu vinalipa unakimbilia huko badala ya kufanya utafiti wako binafsi. Kuna watu wako huko Namanyere wanatajirika... wengine wako huko Kasanga, Kala, Wampembe, na Kipwa wanajipigia tu hela. Hizo sehemu hata barabara kufika ni shida ila kuna matajiri. Wewe jipange upya. Singida sio pabaya kiasi hicho.
Hizo ni shida zako binafsi. Kama wewe umefeli miaka 5 usihusishe wengine.Mimi nipo singida na ninafanya biashara mwaka wa 5 huu.namuunga mkono mtoa mada..kuhusu huko namanyere ulikokutaja na maeneo mengine ya rukwa nimefika na kupazunguka vyema napajua huwezi linganisha na hapa Singida.
kwanza hapa mzunguko wa pesa ni mdogo sana.kimsingi kwa mtaftaji hapafai kwakua ukipata sana utaishia kupata hela ya kula.hapa labda uwe mtumishi ndio utaishi vizuri lkn ujue ukistaafu unarudi kuanza moja.
Ukweli mtupu, singida hapafai nilikaa kama wiki pale kutafuta kazi yoyote niliambulia sifuri, hata ile yakumwaga zege hupati bila kuwa mwenyejDaaah walio toboa kwenye huo mkoa hongereni. Daah mikoa mingine utasema upo KENYA siyo Tanzania.
Licha ya ugumu wa pesa hali ya hewa pia haikunifurahisha upepo mkali, maji chumvi daah, jua kali sana, viwanja vyao vipo na mawe, chakula cha shida pale, wamezoea ugali na mboga za mlenda. Wadada wao sasa hata kupika hawajui, wazuri ila hawana matunzo kabisa yaani afu washamba.
Wanyaturu na wanyiramba samahanini[emoji119][emoji119][emoji119] Sijui wachagga wanapataje pesa pale maana asimili 85% ya wafanyabiashara wa ule mkoa wakubwa ni wachagga tena wa kibosho wengi. Wazawa wengi wako kwenye alizeti na vitunguu.
Naamini ipo mikoa mingine kama Singida walio ambulia zero pia. Serikali iangalie namna Singida nao wapate wamezungukwa na mikoa yenye tija wao wapo kati wanafyta mikia.
Wewe umewahi ishi wapi pakakuchosha, yaani hukupata chochote.