Hamna mkoa nimewahi kwama kwenye utafutaji kama Singida

Hamna mkoa nimewahi kwama kwenye utafutaji kama Singida

[emoji28][emoji28][emoji28] +254 imekutoa kimaisha kabisa.
wallah Tena just within two good years of working I managed to buy a plot and build a [emoji117]mansion house in Dsm(nyumba ambayo mastaa wanatamba nazo IG[emoji16])
[emoji117]Na usafiri wangu tako la nyani sio haba
 
kuna jamaa yangu alifungua duka la simu singida mshahara alioambilia ni kufuta vumbi mashelifu mwisho wa mwezi

ila wanyaturu ukitaka kuwapiga za utosi subiri wakishavuna alizeti
 
wallah Tena just within two good years of working I managed to buy a plot and build a [emoji117]mansion house in Dsm(nyumba ambayo mastaa wanatamba nazo IG[emoji16])
[emoji117]Na usafiri wangu tako la nyani sio haba
Mishe gan unapiga huko kenha mkuu
 
wallah Tena just within two good years of working I managed to buy a plot and build a [emoji117]mansion house in Dsm(nyumba ambayo mastaa wanatamba nazo IG[emoji16])
[emoji117]Na usafiri wangu tako la nyani sio haba
Hongera mkuu....
 
kuna jamaa yangu alifungua duka la simu singida mshahara alioambilia ni kufuta vumbi mashelifu mwisho wa mwezi

ila wanyaturu ukitaka kuwapiga za utosi subiri wakishavuna alizeti
😅😅😅 kweli....
 
wallah Tena just within two good years of working I managed to buy a plot and build a [emoji117]mansion house in Dsm(nyumba ambayo mastaa wanatamba nazo IG[emoji16])
[emoji117]Na usafiri wangu tako la nyani sio haba
Kwa ambae hajawai kufika Kenya unaweza kimwelezea kuwa ni nchi ya namna gani kiuchumi wa raia mpambanaji na kijamii? Tunahtaj maon yako tafadhari
 
Daaah walio toboa kwenye huo mkoa hongereni. Daah mikoa mingine utasema upo KENYA siyo Tanzania.

Licha ya ugumu wa pesa hali ya hewa pia haikunifurahisha upepo mkali, maji chumvi daah, jua kali sana, viwanja vyao vipo na mawe, chakula cha shida pale, wamezoea ugali na mboga za mlenda. Wadada wao sasa hata kupika hawajui, wazuri ila hawana matunzo kabisa yaani afu washamba.

Wanyaturu na wanyiramba samahanini🙌🙌🙌 Sijui wachagga wanapataje pesa pale maana asimili 85% ya wafanyabiashara wa ule mkoa wakubwa ni wachagga tena wa kibosho wengi. Wazawa wengi wako kwenye alizeti na vitunguu.

Naamini ipo mikoa mingine kama Singida walio ambulia zero pia. Serikali iangalie namna Singida nao wapate wamezungukwa na mikoa yenye tija wao wapo kati wanafyta mikia.

Wewe umewahi ishi wapi pakakuchosha, yaani hukupata chochote.
Singida nenda na mtaji kalime alizeti vinginevyo ndo kama hivyo.
 
Umeandika pumba. Sehemu yoyote mtu unafanikiwa ukijua panahitajika nini. Tatizo ni kukurupuka. Ukishaambiwa Singida viatu vinalipa unakimbilia huko badala ya kufanya utafiti wako binafsi. Kuna watu wako huko Namanyere wanatajirika... wengine wako huko Kasanga, Kala, Wampembe, na Kipwa wanajipigia tu hela. Hizo sehemu hata barabara kufika ni shida ila kuna matajiri. Wewe jipange upya. Singida sio pabaya kiasi hicho.
Mimi nipo singida na ninafanya biashara mwaka wa 5 huu.namuunga mkono mtoa mada..kuhusu huko namanyere ulikokutaja na maeneo mengine ya rukwa nimefika na kupazunguka vyema napajua huwezi linganisha na hapa Singida.

kwanza hapa mzunguko wa pesa ni mdogo sana.kimsingi kwa mtaftaji hapafai kwakua ukipata sana utaishia kupata hela ya kula.hapa labda uwe mtumishi ndio utaishi vizuri lkn ujue ukistaafu unarudi kuanza moja.
 
Mimi nipo singida na ninafanya biashara mwaka wa 5 huu.namuunga mkono mtoa mada..kuhusu huko namanyere ulikokutaja na maeneo mengine ya rukwa nimefika na kupazunguka vyema napajua huwezi linganisha na hapa Singida.

kwanza hapa mzunguko wa pesa ni mdogo sana.kimsingi kwa mtaftaji hapafai kwakua ukipata sana utaishia kupata hela ya kula.hapa labda uwe mtumishi ndio utaishi vizuri lkn ujue ukistaafu unarudi kuanza moja.
Hizo ni shida zako binafsi. Kama wewe umefeli miaka 5 usihusishe wengine.
 
Daaah walio toboa kwenye huo mkoa hongereni. Daah mikoa mingine utasema upo KENYA siyo Tanzania.

Licha ya ugumu wa pesa hali ya hewa pia haikunifurahisha upepo mkali, maji chumvi daah, jua kali sana, viwanja vyao vipo na mawe, chakula cha shida pale, wamezoea ugali na mboga za mlenda. Wadada wao sasa hata kupika hawajui, wazuri ila hawana matunzo kabisa yaani afu washamba.

Wanyaturu na wanyiramba samahanini[emoji119][emoji119][emoji119] Sijui wachagga wanapataje pesa pale maana asimili 85% ya wafanyabiashara wa ule mkoa wakubwa ni wachagga tena wa kibosho wengi. Wazawa wengi wako kwenye alizeti na vitunguu.

Naamini ipo mikoa mingine kama Singida walio ambulia zero pia. Serikali iangalie namna Singida nao wapate wamezungukwa na mikoa yenye tija wao wapo kati wanafyta mikia.

Wewe umewahi ishi wapi pakakuchosha, yaani hukupata chochote.
Ukweli mtupu, singida hapafai nilikaa kama wiki pale kutafuta kazi yoyote niliambulia sifuri, hata ile yakumwaga zege hupati bila kuwa mwenyej
 
Back
Top Bottom