Hamna watu wanaotapelika kirahisi kama waumini wa dini hii

Hamna watu wanaotapelika kirahisi kama waumini wa dini hii


Sijajua ni kwa nini baadhi ya Wakristo wamekuwa wakisadikishwa na kuaminishwa na wao haraka haraka huamini na mwishowa siku hujikuta wakiwa mateka wa kifikra.

Visa vingi sana tumeviona na tumevishuhudia vya watu kuuziwa kijifuko cha chumvi tu hii ya dukani kwa shilingi laki moja huku wakisadikishwa kuwa inaleta utajiri na kumfukuzia mbali pepo mchafu alitaye ufukara.

Tumeona watu wakisadikishwa kuwa ukipada mbegu utavuna lolote ulitakalo, mathalani, unataka kuwa Mkurugenzi wa Bandari, au unataka kuwa daktari mkuu na wewe elimu yako ulikomea darasa la nne A, basi panda mbegu, inenee na wewe utavuna jambo ulitakalo.

Wakristo wameaminishwa kuwa kina St. John, St. Peters, St. Richard na wazungu wengine waliokufa zamani ndio wanaweza kutuombea.

Mizimu ya kizungu, wala haikujui je inawezaje kukuombea? Mizimu ambayo haina hata uhusiano na wewe?

Omba kupitia mizimu ya kwenu, achana na hao wahuni wa kimagharibi, wanachotaka kutoka kwako ni sadaka tu.

Wanahubiri upendo na hawana upendo, hata marehemu Benjamin Williams Mkapa alichana na upadre baada ya kuona huko kwenye mission kumejaa gjiriba, chuki , ubaguzi na upendo haukuwepo.

Mapadre wazungu walikuwa wakiwanyanyapaa na kuwaona mapadre weusi kama takataka halafu wakipanda madhanahuni wanajidai wanahubiri upendo.

Hizi dini zichunguzeni kwa kina, kisha zirekebiswe huenda zikawa bora kidogo
Sijuwi wanaume wenzangu mlivyo, yaani mimi mke wangu akijihusisha tu na ujinga wa dini hizi za kuletewa nampa talaka. Nilimwacha mke wangu wa kwanza kwa ujinga huu huu wa kuamini Mchungaji wake, nilimpigia sana kelele mwanzoni akawa anisikii. Kwa kuwa mi si mvumilivu nilimtwanga talaka haraka sana baada ya kuona anamfanya Mchungaji wake kuwa kila kitu kwake. Miezi michache baada ya kuachika kwangu, rafiki wa mke wangu alimfumania Mchungaji anamla uroda rafiki yao. Nikaja shangaa eti siku ya siku anakuja nipigia simu kusema kuwa Mchungaji wake kafukuzwa kanisani kwao baada ya kufumaniwa anamla uroda muumini wake. Akaachana na kanisa na kuomba nimrudie nimemkatalia ila watoto wake wanakwenda kumtembelea alikopanga na kurudi nyumbani. Cha hajabu sasa, mambo yangu yananiendea vizuri baada ya kuachana na huyu Mama mpenda dini za kuletewa. Nadiriki kusema HAKUNA mchungaji wa kweli, wote ni wasanii tu hata na mapadri na mashekhe.
 
Ungejikita kwenye hii mada ingekuwa jambo jema sana.

Ngoja nikusaidie. Allah aliyotufunulia na kutujuza ni machache sana kuliko ambayo hajatufunulia hasa katika malipo ya waja wema.

Kwahiyo malipo ya Wanawake wema anayajua Allah, ila wanawake wa peponi watakuwa bora zaidi ya hao mabikra tutakao pewa huko peponi. Mola wetu atujaalie pepo ya juu kabisa.

Kuna muda mnatakiwa muwe mnatumia akili zaidi ya mihemko. Someni,kisha mtafakari muujue ukweli.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 aloo nyie waamini wa afande Mohammad mna hatari kweli, kwa hiyo peponi mtapewa mabikra bora zaidi kila muislam atayefika huko. Hivi hamstuki vichwa tu kuwa hizo dini mnapigwa!!?
 

Sijajua ni kwa nini baadhi ya Wakristo wamekuwa wakisadikishwa na kuaminishwa na wao haraka haraka huamini na mwishowa siku hujikuta wakiwa mateka wa kifikra.

Visa vingi sana tumeviona na tumevishuhudia vya watu kuuziwa kijifuko cha chumvi tu hii ya dukani kwa shilingi laki moja huku wakisadikishwa kuwa inaleta utajiri na kumfukuzia mbali pepo mchafu alitaye ufukara.

Tumeona watu wakisadikishwa kuwa ukipada mbegu utavuna lolote ulitakalo, mathalani, unataka kuwa Mkurugenzi wa Bandari, au unataka kuwa daktari mkuu na wewe elimu yako ulikomea darasa la nne A, basi panda mbegu, inenee na wewe utavuna jambo ulitakalo.

Wakristo wameaminishwa kuwa kina St. John, St. Peters, St. Richard na wazungu wengine waliokufa zamani ndio wanaweza kutuombea.

Mizimu ya kizungu, wala haikujui je inawezaje kukuombea? Mizimu ambayo haina hata uhusiano na wewe?

Omba kupitia mizimu ya kwenu, achana na hao wahuni wa kimagharibi, wanachotaka kutoka kwako ni sadaka tu.

Wanahubiri upendo na hawana upendo, hata marehemu Benjamin Williams Mkapa alichana na upadre baada ya kuona huko kwenye mission kumejaa gjiriba, chuki , ubaguzi na upendo haukuwepo.

Mapadre wazungu walikuwa wakiwanyanyapaa na kuwaona mapadre weusi kama takataka halafu wakipanda madhanahuni wanajidai wanahubiri upendo.

Hizi dini zichunguzeni kwa kina, kisha zirekebiswe huenda zikawa bora kidogo
Huo ni mtazamo wako.
 
Bongo utakuta mtu anaitwa Mohammed Juma Abdullah anakwambia hana jina la ukoo lenye asili ya kwao, lakini huko Afrika Magharibi waislam wana majina asili kabisa kama NGOLO KANYE, SADIO MANE etc, Bongo tunaona utamadani wa watu ndio ujanja
Wanadai kuwa siku ya mwisho eti MUNGU hatatuita kwa majina ya ukoo bali kwa majina yetu ya Ubatizo,labda ndio maana hao Unaowasema wanaamua Kutumia tu majina ya kidini.Lk binafsi naona si sawa, hakuna ubaya Kutumia Majina yetu ya Kimila.
 
Mchungaji akitaka gari anawachangisha waumini wake ili anunue ila muumini akitaka gari eti aombewe. Ridiculous.

Na bado mtu hashtuki tu.
 
Wanadai kuwa siku ya mwisho eti MUNGU hatatuita kwa majina ya ukoo bali kwa majina yetu ya Ubatizo,labda ndio maana hao Unaowasema wanaamua Kutumia tu majina ya kidini.Lk binafsi naona si sawa, hakuna ubaya Kutumia Majina yetu ya Kimila.
Mlidanganywa
 
Una maarifa machache Sana. Mambo ya rohoni, hutambulikana kwa jinsi ya rohoni.
 
Mtu akifa shahidi atapewa wanawake BIKRA 72 wenye matiti yaliyosimama na macho ya duara.

Je mwanamke atapewa nini?
Thubutuuu!! Jamaa anakusubiri kwa hamu kubwa, huku ameshika uma mrefu futi saba wenye meno mawili akiwageuzageuza watu kama maandazi kwenye mafuta yanayochemka!
Chicho lekunduuu liking'aa hatariii!
 

Sijajua ni kwa nini baadhi ya Wakristo wamekuwa wakisadikishwa na kuaminishwa na wao haraka haraka huamini na mwishowa siku hujikuta wakiwa mateka wa kifikra.

Visa vingi sana tumeviona na tumevishuhudia vya watu kuuziwa kijifuko cha chumvi tu hii ya dukani kwa shilingi laki moja huku wakisadikishwa kuwa inaleta utajiri na kumfukuzia mbali pepo mchafu alitaye ufukara.

Tumeona watu wakisadikishwa kuwa ukipada mbegu utavuna lolote ulitakalo, mathalani, unataka kuwa Mkurugenzi wa Bandari, au unataka kuwa daktari mkuu na wewe elimu yako ulikomea darasa la nne A, basi panda mbegu, inenee na wewe utavuna jambo ulitakalo.

Wakristo wameaminishwa kuwa kina St. John, St. Peters, St. Richard na wazungu wengine waliokufa zamani ndio wanaweza kutuombea.

Mizimu ya kizungu, wala haikujui je inawezaje kukuombea? Mizimu ambayo haina hata uhusiano na wewe?

Omba kupitia mizimu ya kwenu, achana na hao wahuni wa kimagharibi, wanachotaka kutoka kwako ni sadaka tu.

Wanahubiri upendo na hawana upendo, hata marehemu Benjamin Williams Mkapa alichana na upadre baada ya kuona huko kwenye mission kumejaa gjiriba, chuki , ubaguzi na upendo haukuwepo.

Mapadre wazungu walikuwa wakiwanyanyapaa na kuwaona mapadre weusi kama takataka halafu wakipanda madhanahuni wanajidai wanahubiri upendo.

Hizi dini zichunguzeni kwa kina, kisha zirekebiswe huenda zikawa bora kidogo
Acha mazuzu yapigwe
 
Back
Top Bottom