Hamphrey Polepole aikubali Katiba Inayopendekezwa na kusema kuwa ni ya wananchi si ya Wanasiasa

Hamphrey Polepole aikubali Katiba Inayopendekezwa na kusema kuwa ni ya wananchi si ya Wanasiasa

bmbalamwezi

JF-Expert Member
Joined
Mar 12, 2015
Posts
788
Reaction score
195
Mjumbe wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Bwana Hamphrey Pole Pole amevunja ukimya na kusema Katiba ni ya Wananchi na si ya wanasiasa. Hebu mwangalie alivyotamka mwenyewe,"" Katiba hii siyo ya wanasiasa ni ya wananchi wenyewe, lakini cha kushangaza hapa ni wanasiasa wanavyochukua nafasi kubwa ya kuuteka mchakato huu na hii yote wanataka wapate nafasi ya kulinda masilahi yao na kuendelea kututawala watakavyo, hivyo ndugu zangu wa Mbeya na Watanzania wote chukueni hatua." Asante Bwana Pole Pole kwa kutuelimisha kwa maana wengi tulipotoshwa na kuambi;wa kuwa Katiba ni ya fulani na fulani mara ni ya chama fulani. Sasa ninyi mlioshiriki kuitunga akiwemo comredi Mbatia mnapotwambia hivyo mnatusaidia sana katika kuelewa Katiba Inayopendekezwa. Endelea kutueleza na mengine zaidi.

Chanzo: Mwananchi
 
Mjumbe wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Bwana Hamphrey Pole Pole amevunja ukimya na kusema Katiba ni ya Wananchi na si ya wanasiasa. Hebu mwangalie alivyotamka mwenyewe,"" Katiba hii siyo ya wanasiasa ni ya wananchi wenyewe, lakini cha kushangaza hapa ni wanasiasa wanavyochukua nafasi kubwa ya kuuteka mchakato huu na hii yote wanataka wapate nafasi ya kulinda masilahi yao na kuendelea kututawala watakavyo, hivyo ndugu zangu wa Mbeya na Watanzania wote chukueni hatua." Asante Bwana Pole Pole kwa kutuelimisha kwa maana wengi tulipotoshwa na kuambi;wa kuwa Katiba ni ya fulani na fulani mara ni ya chama fulani. Sasa ninyi mlioshiriki kuitunga akiwemo comredi Mbatia mnapotwambia hivyo mnatusaidia sana katika kuelewa Katiba Inayopendekezwa. Endelea kutueleza na mengine zaidi.

Chanzo: Mwananchi
sawasawa mwisho wa siku UKAWA wote wataikubali tuuu.
 
sawasawa mwisho wa siku UKAWA wote wataikubali tuuu.

Mwandishi ama alimnukuu vibaya Polepole au hakumuelewa...

Alichokuwa anasisitiza Hamphrey ni kukataa kundi moja kuhodhi mchakato wa katiba na kuufanya ni wa kwake huku maoni, mapendekezo na mashauri ya wananchi yakikataliwa...

Alichosema ni kwamba duniani kote katiba hutungwa kwa maridhiano na katiba ni mali wananchi siyo mali ya vyama...

Vyama, taasisi, asasi hazina mamlaka ya kuhodhi mchakato wa katiba popote pale duniani...

Nasisitiza kwa kuwa nilikuwepo hapo kwenye ko labda kama huyo mwandishi ni kanjanja au ana malengo ya kupotosha umma...

Tafakari...
 
Mwandishi ama alimnukuu vibaya Polepole au hakumuelewa...

Alichokuwa anasisitiza Hamphrey ni kukataa kundi moja kuhodhi mchakato wa katiba na kuufanya ni wa kwake huku maoni, mapendekezo na mashauri ya wananchi yakikataliwa...

Alichosema ni kwamba duniani kote katiba hutungwa kwa maridhiano na katiba ni mali wananchi siyo mali ya vyama...

Vyama, taasisi, asasi hazina mamlaka ya kuhodhi mchakato wa katiba popote pale duniani...

Nasisitiza kwa kuwa nilikuwepo hapo kwenye ko labda kama huyo mwandishi ni kanjanja au ana malengo ya kupotosha umma...

Tafakari...
Wewe ndo umemnukuu vibaya, uwe unasikiliza kwa makini kijana acha kukurupuka.
 
Hongera polepole kwa kutufungua wananchi kutoka katika kifungo cha baadhi ya wanasiasa waliokuwa wanatupotosha eti katiba inayopendekezwa ni wanasiasa sio ya wananchi,tumeujua ukweli kwamba kwa kuwa tuliotoa maoni kuhusu katoba inayopendekezwa ni sisi wananchi basi katiba hii ni yakwetu,lazima tuiunge mkono kwa kujiandikisha na mwisho kupiga kura ya ndio
 
Mjumbe wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Bwana Hamphrey Pole Pole amevunja ukimya na kusema Katiba ni ya Wananchi na si ya wanasiasa. Hebu mwangalie alivyotamka mwenyewe,"" Katiba hii siyo ya wanasiasa ni ya wananchi wenyewe, lakini cha kushangaza hapa ni wanasiasa wanavyochukua nafasi kubwa ya kuuteka mchakato huu na hii yote wanataka wapate nafasi ya kulinda masilahi yao na kuendelea kututawala watakavyo, hivyo ndugu zangu wa Mbeya na Watanzania wote chukueni hatua.” Asante Bwana Pole Pole kwa kutuelimisha kwa maana wengi tulipotoshwa na kuambi;wa kuwa Katiba ni ya fulani na fulani mara ni ya chama fulani. Sasa ninyi mlioshiriki kuitunga akiwemo comredi Mbatia mnapotwambia hivyo mnatusaidia sana katika kuelewa Katiba Inayopendekezwa. Endelea kutueleza na mengine zaidi.

Chanzo: Mwananchi

Hufai kabisa wewe na upotoshaji wako.Heading yako misleading, futa.
 
Ndoo maana Polepole anasema katiba hii lazimishwa haifai kwani mmoja ya vipengele ni kinachowaruhusu wapopoa embe kama mtoa uzi kugombea ubunge. Eti polepole amevunja ukimya? Toka lini polepole amekuwa kimya? 24/7 polepole is busy working on this matter kwa kuongea na mtu mmoja mmoja, asasi na kuongea na nchi kwa kutumia vyombo vya habari.
Wewe mpopoa embe umetumwa na nani kujifanya mwelewe humu JF?
 
Hufai kabisa wewe na upotoshaji wako.Heading yako misleading, futa.

Unaumwa eee! huo ni upotoshaji wa waziwazi wewe. Katiba hii siyo ya wanasiasa ni ya wananchi wenyewe. Na wewe unataka wananchi waepi? Katiba ni ya Watanzania na Watanzania ni sisi wenyewe mimi na wewe. Tujenge nchi yetu siasa waachie wanasiasa. Mungu Ibariki Tanzania na watu wake ili tupate Katiba Mpya.
 
Hufai kabisa wewe na upotoshaji wako.Heading yako misleading, futa.
Wewe ndo unamislead watu. Nadhani ni vyema wewe ukajifuta kwenye forum Mr. Museven sijui wa wapi!
 
Mjumbe wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Bwana Hamphrey Pole Pole amevunja ukimya na kusema Katiba ni ya Wananchi na si ya wanasiasa. Hebu mwangalie alivyotamka mwenyewe,"" Katiba hii siyo ya wanasiasa ni ya wananchi wenyewe, lakini cha kushangaza hapa ni wanasiasa wanavyochukua nafasi kubwa ya kuuteka mchakato huu na hii yote wanataka wapate nafasi ya kulinda masilahi yao na kuendelea kututawala watakavyo, hivyo ndugu zangu wa Mbeya na Watanzania wote chukueni hatua.” Asante Bwana Pole Pole kwa kutuelimisha kwa maana wengi tulipotoshwa na kuambi;wa kuwa Katiba ni ya fulani na fulani mara ni ya chama fulani. Sasa ninyi mlioshiriki kuitunga akiwemo comredi Mbatia mnapotwambia hivyo mnatusaidia sana katika kuelewa Katiba Inayopendekezwa. Endelea kutueleza na mengine zaidi.

Chanzo: Mwananchi

Nadhani hapo kwenye red ni sehemu ambayo haihitaji akili iliyofika chuo kikuu...kaa chini fikiri na utafakari halafu uje na ushabiki wako
 
Ndoo maana Polepole anasema katiba hii lazimishwa haifai kwani mmoja ya vipengele ni kinachowaruhusu wapopoa embe kama mtoa uzi kugombea ubunge. Eti polepole amevunja ukimya? Toka lini polepole amekuwa kimya? 24/7 polepole is busy working on this matter kwa kuongea na mtu mmoja mmoja, asasi na kuongea na nchi kwa kutumia vyombo vya habari.
Wewe mpopoa embe umetumwa na nani kujifanya mwelewe humu JF?
Sura kama avatar yako, unachokiongea ujinga mtupuuu hapo.
 
Nadhani hapo kwenye red ni sehemu ambayo haihitaji akili iliyofika chuo kikuu...kaa chini fikiri na utafakari halafu uje na ushabiki wako
Nani kakwambia kufika chuo kikuu ndo kujua, wewe dogo vp wewee au umetoka kijijini juzi?
 
Sura kama avatar yako, unachokiongea ujinga mtupuuu hapo.

Na wewe mpopoa embe ni hatari kuliko Ebola maana huelewi kinachoendelea halafu umenichukia wkt hunifahamu. Umekula maharage ya wapi wewe mpopoa embe mmoja
 
Nani kakwambia kufika chuo kikuu ndo kujua, wewe dogo vp wewee au umetoka kijijini juzi?

Acha kupapalikia maisha ya watu kama uko na jaziba na maisha yako usimletee chuki asiyehusika na kma maisha kwani umelazimishwa kukaa mjini.....

Humphrey wala hakusema anaunga mkono katiba pendekezwa ila alichokizungumzia ni mchakato wa katiba akimaanisha kuanzia ukusanyaji wa maoni hadi kufikia mwisho wa mchakato huo ambao uko tofauti na namna ulivyoendeshwa huu uliopo.

Ugumu wa maisha yako usiharibu na mawazo yako hadi unampa uchama asiokuwa nao.
 
Back
Top Bottom