Dragunov Sniper
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 2,795
- 9
Kelele za chura......hizo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na nyie msio na vyama mnajua kudanganyika ndo maana mliidai Tanganyika mkaikosa. Kama ninyi ni wakereketwa wa kudai mbona hamjadai ukoloni ili mtawaliwe kama historia yenu ya Tanganyika inalipaccm mnajua kujidanganya.
BAK a.k.a MWALLA4REAL wachumia matumbo mnaoingia JF muda mmoja na hii inadhihirisha kuwa wewe ni mtu mmoja unaetumia akaunti mbili tofauti au la nyie ni wapenzi yani ni mtu na mmewe au either BAK umeolewa na MWALLA4REAL au kinyume, sasa jichagulieni hizo options. Wapuuuzi wakubwa nyie mloyumww na UKAWA hamtafanikiwa ng'oooooo mafisi wakubwa nyie.Hawaishi kuonyesha upumbavu wao wa hali ya juu katika kulazimisha katiba yao ya MACCM ikubalike na Watanzania.
Mjumbe wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Bwana Hamphrey Pole Pole amevunja ukimya na kusema Katiba ni ya Wananchi na si ya wanasiasa. Hebu mwangalie alivyotamka mwenyewe,"" Katiba hii siyo ya wanasiasa ni ya wananchi wenyewe, lakini cha kushangaza hapa ni wanasiasa wanavyochukua nafasi kubwa ya kuuteka mchakato huu na hii yote wanataka wapate nafasi ya kulinda masilahi yao na kuendelea kututawala watakavyo, hivyo ndugu zangu wa Mbeya na Watanzania wote chukueni hatua." Asante Bwana Pole Pole kwa kutuelimisha kwa maana wengi tulipotoshwa na kuambi;wa kuwa Katiba ni ya fulani na fulani mara ni ya chama fulani. Sasa ninyi mlioshiriki kuitunga akiwemo comredi Mbatia mnapotwambia hivyo mnatusaidia sana katika kuelewa Katiba Inayopendekezwa. Endelea kutueleza na mengine zaidi.
Chanzo: Mwananchi
Hawaishi kuonyesha upumbavu wao wa hali ya juu katika kulazimisha katiba yao ya MACCM ikubalike na Watanzania.
Imekugusa na kukugaragaza hadi nawe ukamuunga mkono Bwana Pole Pole. Sasa wewe utakuwa Bwana Mwendakasi. Karibu kwenye forum.Nadhani hapo kwenye red ni sehemu ambayo haihitaji akili iliyofika chuo kikuu...kaa chini fikiri na utafakari halafu uje na ushabiki wako
Na nyie msio na vyama mnajua kudanganyika ndo maana mliidai Tanganyika mkaikosa. Kama ninyi ni wakereketwa wa kudai mbona hamjadai ukoloni ili mtawaliwe kama historia yenu ya Tanganyika inalipa
Huyu bwana amepewa kazi ya kuopotosha umma. Jana kamnukuu Mbatia, leo Pole pole. Yaani ukisoma anachoandika na kilichosemwa hakuna shaka ni mwajiriwa mzuri sana na anafanya kazi yakeHawaishi kuonyesha upumbavu wao wa hali ya juu katika kulazimisha katiba yao ya MACCM ikubalike na Watanzania.
Vijana wengi nchini ni vijana kwa umbo lakini ni wazee kiakili na wazee wengi tulionao ni wazee kiumbo lakini ni vijana kiakili.
Ajabu nikuwa hawa vijana ndio wanaotegemewa kuwa kwenye vyombo vya maamuzi.
Ama kweli Tasnia ya habari Tanzania ni makanjanja....siwezi amini hiki ninachokisoma.....what a low news?
Huyu bwana amepewa kazi ya kuopotosha umma. Jana kamnukuu Mbatia, leo Pole pole. Yaani ukisoma anachoandika na kilichosemwa hakuna shaka ni mwajiriwa mzuri sana na anafanya kazi yake
Kitu wasichojua watu, Kikwete na vyombo vya dola wamekiri kuwa wananchi hawataki katiba ya Chenge na Sitta, wanataka katiba yao. Wamegoma na Kikwete, Sitta, Chenge wamefeli. Hakuna katiba ya Chenge, tutarudi kwa Warioba soon.
BAK huyu jamaa ni wa kupuuzwa sana. Pitia mabandiko yake, utano ni mwajiriwa wa Lumumba kama si ndege beach
Hujambo mpotoshaji? Tanzania nchi yangu naipenda sana hivyo wenye kuiangalia kwa macho ya husda siwafagilii ila nawashauri mbadilike na muuungane na wenzenu kuijenga nchi yetu na tuifikishe salama tena zaidi ya miaka hamsini ambayo waliotangulia kuiongoza nchi yetu wametufikisha salama hapa tulipo. Kila mwenye dhamira na dhamiri njema na nchi yetu ametambua na sasa tunaingia kwenda kujiandikisha na kuipigia kura Katiba Inayopendekezwa. Songa mbele jenga nchi yako.
Hawa wanalipwa 'kwa kudhani' ni watu smart wanaoweza kutimiza haja za waliowatuma. Kwa bahati mbaya sana nchi yetu imekuwa na tatizo sekta zote. Unaweza ambiwa huyo ni afisa usalama wa kanda, au ukaambiwa ni wa vyombo vya dola, na wala usishangae ukisikia ni mjumbe wa kamati kuu ya chama.Nguruvi3 Hivi tatizo ni waandishi makanjanja kuleta habari kama hizi au ni nguvu ya pesa chafu? nahindwa kuelewa bong ya mtu kama mleta mada anaiongozaje familia yake.
BAK a.k.a MWALLA4REAL wachumia matumbo mnaoingia JF muda mmoja na hii inadhihirisha kuwa wewe ni mtu mmoja unaetumia akaunti mbili tofauti au la nyie ni wapenzi yani ni mtu na mmewe au either BAK umeolewa na MWALLA4REAL au kinyume, sasa jichagulieni hizo options. Wapuuuzi wakubwa nyie mloyumww na UKAWA hamtafanikiwa ng'oooooo mafisi wakubwa nyie.
Naona unajitupia tuuu. Fanya utafiti. Kama wapo! washauri wakasome ili ajijengee umakini wa kazi. Kutaja tuu hakusaidii wape na suluhisho badala ya kuuliza tu. Give your opinion or suggestions on how to solve the problems.