Blaki Womani
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 11,229
- 13,442
Hapa kuna hoja au vioja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah kama kweli akili zetu ndio zimefikia hapa basi Tanzania tuna tatizo kubwa sana sana na ni MUNGU tu ndio atuokoe. Ungekuwa huna malengo mabaya ungeelewa tu alichokisema kuwa KATIBA as katiba inatakiwa kuwa ya Wananchi na sio kitu cha kutekwa na wanasiasa. Ni wapi alisema Katiba iliyopendekezwa na BMK ni ya Wananchi? Tusiwe na akili ndogo kiasi hiki...... najua Humphrey Polepole ni member hapa na atakuja kulithibitisha hili.
Ni hatari kuwa na taifa la watu wenye tabia na mtazamo mbaya kama huu
Hamsomeki nyie acheni unafki.Sisi sote tuna akili alizotujalia Mola, H.Polepole ametamka pasipo shaka kuwa Katiba siyo mali ya Wanasiasa, je kwa kutumia logic ya kawaida kabisa unadhani alikuwa anaongelea katiba ya mwaka 1977 ? au anaongelea Katiba ipi ? Nidhahiri pasipo shaka kauli yake ambayo siyo tata, alimaanisha Katiba Pendekezwa kwani ndiyo iliyo kwenye mjadala. Hawezi wala hakuna haja ya Mh. H.Polepole kuongelea Katiba ya 1977 ambayo haina mjadala wala haina mwelekeo wa kutekwa na Wanasiasa. Wewe usimshawishi Hamphrey Polepole eti akanushe kauli yake mwenyewe. HP ni msomi na mwanasheria usidhani ananunuliwa kwa bei ndogo kiasi hicho.
KIMA wwe unadhani huu u.pu.pu wako nani angeuelewa kibaka wwe, hii ndo shida ya kuzaliwa na utindio wa ubongo nyang'au we, hebu kunywa macholo yako ukalaleKama wewe vile ulivyokurupuka ukidhani wanagawa chakula cha njaa humu JF! hahahahah pole sana jipange skwa mengine lkn sio kwa hili mwehu weeee.
UmetumwaWewe ndo umemnukuu vibaya, uwe unasikiliza kwa makini kijana acha kukurupuka.
Na mwezi December 2009 CHADOMO a.k.a CHAGADEMA iliajiri wachumia matumbo wengi humu kwaajili ya uchaguzi ule wa 2010, ukiwemo na wewe unaejiita ASANTE, tena ukaambiwa na hao walokutuma kwamba uendelee na ID yako ulokafungua mwaka huo ili uitumie kwenye hii ishu ya katiba. Mbwiga weeeeMwezi March 2015 ccm iliajiri watu wengi sana hapa JF
We unamwambia mwenzio katumwa, basi na wewe utakuwa umetumwa sio bure, mchumia tumbo.Umetumwa
Pumbavu weeee, maoni gani yaliachwa? Yataje ujibiwe, acha ushabiki au umetumwa na UKAWA eenh? Usiwe kama mchumia tumbi wewew.Kuna vitu viwili ambavyo hufunga ufahamu wa binadamu kabisa. Cha kwanza ni tamaa ya madaraka na cha pili ni tamaa ya mali. Tafakari! Jambo liko obvious mtu anajifanya haelewi. Msimamo wa HP ni kuwa katiba ni mali ya wananchi nahii iliyopendekezwa maoni ya wananchi yaliachwa.
hapa kuna hoja au vioja
Mwezi March 2015 ccm iliajiri watu wengi sana hapa JF
Toa hoja acha kuwasema vibaya watu.Hawaishi kuonyesha upumbavu wao wa hali ya juu katika kulazimisha katiba yao ya MACCM ikubalike na Watanzania.
Kumbe uliajiriwa na CCM. Sasa mbona unaiponda. Naona umeishiwa hoja. Watu mnapoishiwa hoja mnaanza mambo ya vyama.Mwezi March 2015 ccm iliajiri watu wengi sana hapa JF
Usipotoshe watu. Katiba Inayopendekezwa imejaa maoni ya wananchi. Unaposema maoni ya wananchi yaliachwa inamaana Katiba hii ina maoni ya wachina au wazungu! Tafakari usemi wako.Kuna vitu viwili ambavyo hufunga ufahamu wa binadamu kabisa. Cha kwanza ni tamaa ya madaraka na cha pili ni tamaa ya mali. Tafakari! Jambo liko obvious mtu anajifanya haelewi. Msimamo wa HP ni kuwa katiba ni mali ya wananchi nahii iliyopendekezwa maoni ya wananchi yaliachwa.
Wewe ndo umemnukuu vibaya, uwe unasikiliza kwa makini kijana acha kukurupuka.
Hivo viuno kamkatikie mmeo kitandani, sio humu ndani wala hatuhitaji hizo mbwembwe zako, weka hoja ya maana Huyo nyoka wako wa makengeza sijui mmeo wala hana Katiba kwa taarifa yako.Katiba ya nyoka wa makengeza
Wewe zako je zinakutosha au Mwendapole kakuchumbia? Eleza ukweli tujue na utupe kadi za ndoa yako na huyo mmeopya unaemtetea humu ndani.