Hamphrey Polepole aikubali Katiba Inayopendekezwa na kusema kuwa ni ya wananchi si ya Wanasiasa

Hamphrey Polepole aikubali Katiba Inayopendekezwa na kusema kuwa ni ya wananchi si ya Wanasiasa

Jaribu kuwa na adabu ndugu...unaniita kijana unanifahamu...!!?

Harafu mimi siyo shabiki wa mambo ya siasa, naangalia hoja kwa maslahi ya nchi, siangalii mambo kwa ushabiki wa kiitikadi...ukihitaji uthibitisho wa sauti zilizorekodiwa siku hiyo njoo uniPM upate facts...

Tafakari...
Kwenda zako wewe, ntazidi kukuita kijana nani unamtisha humu ndani, huna lolote wewe mchumia tumbo tu, mkubwa hatishiwi nyoka wa kuchorwa, kawatishe hao hao, kama unabisha nambie wapi nikufate afu tuone utafanya nini, we wa wapi wewe au umetoka mkoa umakuja kushangaa maghorofa town huku? Potea huko.
 
Usibishane na mpumbavu kwani hata wewe utaonekana mpumbavu.

Kama kauli zitakuwa zitafsiriwa hivi basi tunaweza kupata shida sana katika kupata ukweli
Kwahiyo umeshajigundua kuwa we ni mpumbavu ndo maana unazidi kubishana au?
 
Kwahiyo umeshajigundua kuwa we ni mpumbavu ndo maana unazidi kubishana au?

Anayefukuzia tumbo lake lipate chochote anaweza kufanya lolote hata kudharau wakubwa wake....hv nani anaweza kuunga mkono katiba hii aliyetimamu zaidi ya wale waliopungukiwa na akili.....HAMTOFANIKIWA KATIKA HILI.
 
anayefukuzia tumbo lake lipate chochote anaweza kufanya lolote hata kudharau wakubwa wake....hv nani anaweza kuunga mkono katiba hii aliyetimamu zaidi ya wale waliopungukiwa na akili.....hamtofanikiwa katika hili.
ushindwe na ulegee wewe pepo la laana, hii ni ndiyooo tu wewe kama ni mchumia tumbo ujue unapoteza muda wako bureeeeee, kaisome uielewe na upige ndiyooooo sio kubisha bisha tu, mnataka nzuri ipi tene zaidi ya hii, ya kwenu nzuri iko wapi?
 
Pole pole kaukubali ukweli,hivyo mantiki yake ni kuwa wananchi wataamua wenyewe siku ikifika,uelewa wanao kuhusu katiba inayopendekezwa hivyo watajiandikisha kwa wingi na watajitokeza kwa wingi kuipigia kura ya ndio katiba pendekezwa
 
ushindwe na ulegee wewe pepo la laana, hii ni ndiyooo tu wewe kama ni mchumia tumbo ujue unapoteza muda wako bureeeeee, kaisome uielewe na upige ndiyooooo sio kubisha bisha tu, mnataka nzuri ipi tene zaidi ya hii, ya kwenu nzuri iko wapi?

Kumbe ndio maana....kwanini mkubali kufungwa kiakili na kifikra hata kma ni mtu mzima na hnaweza kunipa mashaka namna unavyoihandle familia yako (kama unayo)

Sidhani kama uaweza kunilazimisha kufanya kitu nishokikubali kama unavyofanywa wewe na kushindwa kutafakari unachoambiwa kwakuwa tu umefungwa kimfumo.

Ukweli wa hii katiba utajulikana tu hata kama wapo watu wanajaribu kuipigia debe ipate kura ya ndio hata kama haiungwi na hao wanaolazimishwa ispokuwa kwa wachache mfano unaofanana na wewe ndio wanaiunga. Kila mmoja ataamua kwa maamuzi yake kutokana na demokrasia aliyonayo.

NB: Hii ni kwa wale walionje ya wale waliofungwa na mfumo kama wewe na wale wenzako wanaopigania ugali..
 
Kumbe ndio maana....kwanini mkubali kufungwa kiakili na kifikra hata kma ni mtu mzima na hnaweza kunipa mashaka namna unavyoihandle familia yako (kama unayo)

Sidhani kama uaweza kunilazimisha kufanya kitu nishokikubali kama unavyofanywa wewe na kushindwa kutafakari unachoambiwa kwakuwa tu umefungwa kimfumo.

Ukweli wa hii katiba utajulikana tu hata kama wapo watu wanajaribu kuipigia debe ipate kura ya ndio hata kama haiungwi na hao wanaolazimishwa ispokuwa kwa wachache mfano unaofanana na wewe ndio wanaiunga. Kila mmoja ataamua kwa maamuzi yake kutokana na demokrasia aliyonayo.

NB: Hii ni kwa wale walionje ya wale waliofungwa na mfumo kama wewe na wale wenzako wanaopigania ugali..
Anaepigania ugali ni huyo alokuzaaa na hao walokutuma, inaonekana jinsi gani wewe ndo unapigania ugali kwa kuendeleza ubishi kwa jambo makini kama hili, eti kisa UKAWA wamekutuma na unalipwa jero jero kwa siku, hahahaha acha kuwa kibaraka wewe au umekuwa JINI sema kama we ni jini maana majini ndo yanatumwa tumwa kokote kule.
 
Hufai kabisa wewe na upotoshaji wako.Heading yako misleading, futa.


Unadhani basi amekusudia ku-mislead watu ,wala,ndivyo yeye alivyomuelewa,akili ndogo sana!!!
Ni mambo ya kuvumiliana tu!!!
 
Anaepigania ugali ni huyo alokuzaaa na hao walokutuma, inaonekana jinsi gani wewe ndo unapigania ugali kwa kuendeleza ubishi kwa jambo makini kama hili, eti kisa UKAWA wamekutuma na unalipwa jero jero kwa siku, hahahaha acha kuwa kibaraka wewe au umekuwa JINI sema kama we ni jini maana majini ndo yanatumwa tumwa kokote kule.

Am nonpartisan.......ukiongea ukweli mtu anakimbilia kukuita UKAWA....niko kujiangalia mm binafsi na watanzania wengine ni namna gani hii katiba itatusaidia katika utumiaji wa rasilimali za nchi hii kwa manufaa ya jamii na ushabiki wa chama kama unavyofanya wewe bila kujua nini unashabikia...
 
Unadhani basi amekusudia ku-mislead watu ,wala,ndivyo yeye alivyomuelewa,akili ndogo sana!!!
Ni mambo ya kuvumiliana tu!!!
Nawe kubwa jinga kweli, unafata mkumbo kama kenge walioko kwenye msafara vile, hahahahahah hujui mada ilikotokea we unadandia tu.
 
Am nonpartisan.......ukiongea ukweli mtu anakimbilia kukuita UKAWA....niko kujiangalia mm binafsi na watanzania wengine ni namna gani hii katiba itatusaidia katika utumiaji wa rasilimali za nchi hii kwa manufaa ya jamii na ushabiki wa chama kama unavyofanya wewe bila kujua nini unashabikia...
Watu wengi humu wanajulikana kwa maelezo yao tu maana wametumwa na UKAWA tena wewe umo kwenye list, badala ya muwe wazalendo nyie mnakuwa wachumia matumbo tu, aibu hiyo.
 
Watu wengi humu wanajulikana kwa maelezo yao tu maana wametumwa na UKAWA tena wewe umo kwenye list, badala ya muwe wazalendo nyie mnakuwa wachumia matumbo tu, aibu hiyo.

Uzalendo kwa kuruhusu ufisadi wa kufungua akaunti nje ya nchi bila serikali kujua chochote......tumia akili yako bhana
 
Uzalendo kwa kuruhusu ufisadi wa kufungua akaunti nje ya nchi bila serikali kujua chochote......tumia akili yako bhana
Wewe acha kuongea ufamba wako humu, katiba yenyewe huijui na hata rangi yake huijui ndo ujifanye unayaona hayo, wakati imefafanuliwa vema kuwa Bunge ndo litatunga sheria ya kuelezea namna akaunti hizo zitakavyofunguliwa na nani mwenye haki ya kufungua na nani haruhusiwi kufungua, jiangalie wewe acha kukurupuka, hapatolewi chakula cha njaa humu ndani.
 
kwi kwi kwi lol! Sijawahi kutumia id nyingine zaidi ya hii na wala sioni sababu ya kufanya hivyo. Ningekuwa mchumia tumbo ningejiunga na mafisadi kama mpumbavu wewe ili nifaidike huku nikiwasaliti watanzania wenzangu. Wewe taahira sijui hii ni id yako ya ngapi hapa katika juhudi zako za kuandika utaahira wako.

tehteh..anachofanya ni kukutoa njia kuu,ili udiscuss madai ya id mbili,,wakati suala lipo wazi wenyewe ndio wamekuja na id mpya mwezi march..
 
tehteh..anachofanya ni kukutoa njia kuu,ili udiscuss madai ya id mbili,,wakati suala lipo wazi wenyewe ndio wamekuja na id mpya mwezi march..
TYTA a.k.a TETTY a.k.a BAK a.k.a MWALLA huna lolote mchumia tumbo wewe mnaingia kwa zamu humu mmetumwa na UKAWA watu wameshawajua, njaa zitawaua nyie yani mnatafuta ugali kwa nguvu kiac hicho hahahaha duh nyie noma aseee. Mtauzwa angalieni.
 
Back
Top Bottom