Hamphrey Polepole aikubali Katiba Inayopendekezwa na kusema kuwa ni ya wananchi si ya Wanasiasa

Hamphrey Polepole aikubali Katiba Inayopendekezwa na kusema kuwa ni ya wananchi si ya Wanasiasa

Mada nimeipitia na sio mimi tu wako kibao watu makini wenye michango yenye maana,huwezi zuia watu kuongea let them talk then ukweli utaprevail kwani shida hapa nini,nachojua kuna baadhi ya watu hata na hiyo katiba inayopendekezwa wamepqta copy but they dont read na kuna wale wenye ile ya 1977 nao vilevile hawajaisoma na hawaijui,tuwe serious kwenye mamb muhimu ya nchi yetu.
Nafikiri lingekuwa jambo la maana sana kuachiwa kila mmoja akatowa mawazo yake.
Hili la eti "nawakumbusha watu kuwa mchakato wa kampeni za katiba pendekezwa bado" Eti oh "Tutafungia mashirika ya dini na NGOs" Oh "viongozi wa dini wasijihusishe na siasa (eti kwa hili tu), yasingehitajika kutolewa na upande uliotengeneza hiyo Katiba.
 
Nafikiri lingekuwa jambo la maana sana kuachiwa kila mmoja akatowa mawazo yake.
Hili la eti "nawakumbusha watu kuwa mchakato wa kampeni za katiba pendekezwa bado" Eti oh "Tutafungia mashirika ya dini na NGOs" Oh "viongozi wa dini wasijihusishe na siasa (eti kwa hili tu), yasingehitajika kutolewa na upande uliotengeneza hiyo Katiba.
Tupatie ushahidi japo kidogo wa haya uliyoyaandika???
 
Ukweli kuhusu jambo fulani anao mtu mwenyewe,hao wanaosema kuongea hapana ni kufungiwa sio kweli hawajielewi,UKAWA isingekuwa na onezeko la wa wabunge kikubwa hapa ni kujitambua na kuchukua hatua kwa kuamua sahihi.
Unakusudia serikali haijielewi? Halafu unanipinga ninaposema kuwa mchakato mzima una mushkeli au unawaona wanaoupinga ni mbumbumbu, huku ukjuwa kuwa alietengeneza hiyo katiba (serikali) haijijui. Kuwa na msimamo ndugu yangu nyumba haiwi salama iwapo mjenzi hajielewi.
 
Unakusudia serikali haijielewi? Halafu unanipinga ninaposema kuwa mchakato mzima una mushkeli au unawaona wanaoupinga ni mbumbumbu, huku ukjuwa kuwa alietengeneza hiyo katiba (serikali) haijijui. Kuwa na msimamo ndugu yangu nyumba haiwi salama iwapo mjenzi hajielewi.

Serikali haiwezi kukwepa juku u lake la kuhakikisha mchakato huu unakamilika,huwezi kuitenga
Serikali otherwise sisi wananchi tujitoe muhanga tusimame kwenye nafasi za watu tuliowapa dhamana, jambo ambalo haliwezekani!tuna jukumu moja tu la Kusema NDIYO au HAPANA shida iko wapi hao wanaoshawishi upige ndiyo au hapana watakupigia kura?hapana kazi kwako!na kuwazuia wanaokampeni dhidi kura hizi mbili ni kupoteza muda.
 
Uko dunia hii ndugu yangu? Au ulikurpuka tu kwasababu ya maslahi binafsi?
Sheria ya takwimu iko njiani, na siku ukiulizwa for justification na wewe utauliza hivi hivi uone kama hupigwi mvua! Thibitisha hapo acha kujizungusha na kupoteza muda.
 
Mjumbe wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Bwana Hamphrey Pole Pole amevunja ukimya na kusema Katiba ni ya Wananchi na si ya wanasiasa. Hebu mwangalie alivyotamka mwenyewe,"" Katiba hii siyo ya wanasiasa ni ya wananchi wenyewe, lakini cha kushangaza hapa ni wanasiasa wanavyochukua nafasi kubwa ya kuuteka mchakato huu na hii yote wanataka wapate nafasi ya kulinda masilahi yao na kuendelea kututawala watakavyo, hivyo ndugu zangu wa Mbeya na Watanzania wote chukueni hatua.” Asante Bwana Pole Pole kwa kutuelimisha kwa maana wengi tulipotoshwa na kuambi;wa kuwa Katiba ni ya fulani na fulani mara ni ya chama fulani. Sasa ninyi mlioshiriki kuitunga akiwemo comredi Mbatia mnapotwambia hivyo mnatusaidia sana katika kuelewa Katiba Inayopendekezwa. Endelea kutueleza na mengine zaidi.

Chanzo: Mwananchi

Inawezekana kabisa kuna shida ya kupambanua mambo. Comrade polepole kama amesema katiba ni ya wananchi je wananchi si ndio waliotoa maoni? Sasa hoja ni kwamba iweje baadhi ya maoni ya wananchi hawa wenye haki na kutungwa kwa katiba yaondolewe na wanasiasa wachache? Kwa maana maoni mengi yaliyoondolewa ni ya kuwabana hao wanasiasa na viongozi. Sasa kusema katiba mpya ni ya wananchi sidhani kama kuna uhalali.
 
Serikali haiwezi kukwepa juku u lake la kuhakikisha mchakato huu unakamilika,huwezi kuitenga
Serikali otherwise sisi wananchi tujitoe muhanga tusimame kwenye nafasi za watu tuliowapa dhamana, jambo ambalo haliwezekani!tuna jukumu moja tu la Kusema NDIYO au HAPANA shida iko wapi hao wanaoshawishi upige ndiyo au hapana watakupigia kura?hapana kazi kwako!na kuwazuia wanaokampeni dhidi kura hizi mbili ni kupoteza muda.
Kwa maana hiyo hakuna haja ya kuitana majina na kulaumiana iwapo kila mmoja ana uhuru wake.
 
Sheria ya takwimu iko njiani, na siku ukiulizwa for justification na wewe utauliza hivi hivi uone kama hupigwi mvua! Thibitisha hapo acha kujizungusha na kupoteza muda.
Ni kweli hasa iwapo Rais anatowa hutuba kila mwezi na tunamsikiliza na kurikodiwa iwapo wewe husikilizi wala husomi magazeti shauri yako subiri hizo sheria unazozitegemea.
 
Hili ndio tatizo la baadhi ya watz hawapendi mabadiliko unaambiwa justfy unaanza kukimbilia shortcut haipendezi,hoja hapa ni huyo Polepole kudeclare kuwa Katiba ni ya wananchi tatizo liko wapi hapo?
 
Mie kwangu iwe pole pole alisema hivi wala lile sijui,maana he is not my dictionary hasa katika suala la umhimu wa kupiga Kura ya ndiyo kwa katiba pendekezwa mengine haya ni hadithi za muazima Jamvi msibani wakati anaona majamvi yote yamekaliwa na waombolezaji!!!! Vote yes kwa katiba pendekezwa katiba ndo muongozo popote pale
 
Huyo polepole ndo role mode wa wanaharakati wasiotaka katiba ya tz,kwa hiyo ukimtaja kwa criticism wanakuja juu as if hakosei au ndo dictionary yao!
 
aaaaah unajua Mkuu sidanganyiki baadhi ya watu !badala ya kuangalia mwenyewe uzito na umhimu wa katiba pendekezwa!anaangalia wengine wanasemaje tena Bahati mbaya ameamua kujifunza kwa wanaopinga tu!
 
Kumbe hujui maana ya neno uhuru? Mimi kuchagua wa kunituma na wewe kuwachagua wa kuwatumikia wote ni uhuru huo.

Ha ha ha ha duuu mwalimu wangu wa history njoo uokoe hii jamaa hapa eti haijui maana ya neno uhuru!!! Haha ha ha ha Eti kutumwa na kutumikia ndo uhuru ha ha ha kwishaaaaa wewe��������
 
Hongera polepole kwa kutufungua wananchi kutoka katika kifungo cha baadhi ya wanasiasa waliokuwa wanatupotosha eti katiba inayopendekezwa ni wanasiasa sio ya wananchi,tumeujua ukweli kwamba kwa kuwa tuliotoa maoni kuhusu katoba inayopendekezwa ni sisi wananchi basi katiba hii ni yakwetu,lazima tuiunge mkono kwa kujiandikisha na mwisho kupiga kura ya ndio
Kwa kuwa tulitoa maoni sisi, na kwa kuwa Sitta na Chenge waliandika mawazo yao hivyo tuipigie kura ya HAPANA mpaka watakaporudisha tuliyoyataka.
 
Kwani KATIBA inafaida gani....???? Je hii tuliyonayo inatusaidia nini......????Je hii tuliyonayo tunaitekeleza.....Simama kwa miguu yako na useme ukweli huku ukijuwa kuna MUNGU
 
Ha ha ha ha duuu mwalimu wangu wa history njoo uokoe hii jamaa hapa eti haijui maana ya neno uhuru!!! Haha ha ha ha Eti kutumwa na kutumikia ndo uhuru ha ha ha kwishaaaaa wewe��������
Naam inawezekana wewe na huyo mwalimu wako mna kalugha chenu kilichofinyu kinachowafanya msitambue lugha ni nini.Hivyo uhuru unapatikana katika history tu. Puuuu! Tanuka kijana ujuwe nini maana ya uhuru ilivyo pana usibaki kufikiri uhuru ni kutoka kwenye makucha ya ukoloni tu kama ulivyosomeshwa na huyo mwalimu wako wa historia.
 
Kwani KATIBA inafaida gani....???? Je hii tuliyonayo inatusaidia nini......????Je hii tuliyonayo tunaitekeleza.....Simama kwa miguu yako na useme ukweli huku ukijuwa kuna MUNGU

Hilo swali wamuuliza nani? Kama hujui faida za katiba sasa wachangia nini? Na kama unajua haina msaada wowote wauliza nini? Kuhusu utekelezaji wake eleza kwanza umezaliwa wapi?
 
Back
Top Bottom