Hamphrey Polepole aikubali Katiba Inayopendekezwa na kusema kuwa ni ya wananchi si ya Wanasiasa

Hamphrey Polepole aikubali Katiba Inayopendekezwa na kusema kuwa ni ya wananchi si ya Wanasiasa

Naam inawezekana wewe na huyo mwalimu wako mna kalugha chenu kilichofinyu kinachowafanya msitambue lugha ni nini.Hivyo uhuru unapatikana katika history tu. Puuuu! Tanuka kijana ujuwe nini maana ya uhuru ilivyo pana usibaki kufikiri uhuru ni kutoka kwenye makucha ya ukoloni tu kama ulivyosomeshwa na huyo mwalimu wako wa historia.

Usijifanye hujui nimesema makusudi ili wataalam wa history wakupe tafsiri ya neno uhuru pengine hujui!na kama hukusoma history basi pole ungejui ninazungumza nini? Na kwa hili wala hatuaelewana go back to school mwalimu wako wa Critical thinking and argumentation akupige msasa!akimaliza akufundishe pia reasoning ili ujue unafanya nini hapa! Kazi kujaza false statements!
 
Hilo swali wamuuliza nani? Kama hujui faida za katiba sasa wachangia nini? Na kama unajua haina msaada wowote wauliza nini? Kuhusu utekelezaji wake eleza kwanza umezaliwa wapi?

Siwezi kuchangia nisichokijuwa
Nimezaliwa Machame/K'njaro
Nimeuliza ina faida gani
Nimeuliza inatekelezwa iliyopo
 
Usijifanye hujui nimesema makusudi ili wataalam wa history wakupe tafsiri ya neno uhuru pengine hujui!na kama hukusoma history basi pole ungejui ninazungumza nini? Na kwa hili wala hatuaelewana go back to school mwalimu wako wa Critical thinking and argumentation akupige msasa!akimaliza akufundishe pia reasoning ili ujue unafanya nini hapa! Kazi kujaza false statements!
At least there are my false statements for you to digest, but when you start shouting for others to come and to enlighten me only because you are not able to, is quite sad for a person of your boisterous caliber!
 
Siwezi kuchangia nisichokijuwa
Nimezaliwa Machame/K'njaro
Nimeuliza ina faida gani
Nimeuliza inatekelezwa iliyopo

Kiruuuuuuuuu, jombaa endelea kunywa mbege aisee msalimie Lema na mzee
Kilenga tutaonana wakati wa kupiga kura ya maoni! Subiri tarehe ya kura tume watakueleza aisee!!,Tafadhali endelea kusubiri!
 
At least there are my false statements for you to digest, but when you start shouting for others to come and to enlighten me only because you are not able to, is quite sad for a person of your boisterous caliber!

Now ua coming atleast nimeboost akili yako to some extent!!! Ha ha ha sasa utakuwa na mawazo huru stop being dependant!akili unayo, fikiri sawasawa na amua sasa Katiba mpya haiepukiki!
 
Kiruuuuuuuuu, jombaa endelea kunywa mbege aisee msalimie Lema na mzee
Kilenga tutaonana wakati wa kupiga kura ya maoni! Subiri tarehe ya kura tume watakueleza aisee!!,Tafadhali endelea kusubiri!

Asante Mangi...kumbe na wewe uko kama mimi.Lakini kuna ndugu kani PM kaniambia katiba tuliyonayo sasa hivi inavunjwa kila siku yaani 365 days kila mwaka na hakuna anayechukuliwa hatuwa...sijui kama ni kweli maana sina uelewa.
 
Kwa hivyo sasa unafahamu' huru' sio hilo unalotaka mwalimu wako ajeanifunze?
Unakubali kuwa ni uhuru wangu kutumikia au kutotumikia. Haikuhitajika nguvu nyingi kama ulivyotumia.
 
Kwa hivyo sasa unafahamu' huru' sio hilo unalotaka mwalimu wako ajeanifunze?
Unakubali kuwa ni uhuru wangu kutumikia au kutotumikia. Haikuhitajika nguvu nyingi kama ulivyotumia.

Wewe hauko huru Unatumikishwa tu ndugu yangu
 
Back
Top Bottom