Hamza atakuwa alijifunzia wapi ile silaha ya kivita?

Hamza atakuwa alijifunzia wapi ile silaha ya kivita?

wa stendi

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2016
Posts
25,190
Reaction score
27,434
Ukiangalia ule utumiaji wa silaha na jinsi alivyoishikia pale begani na namna alivyokuwa ana piga na kujilinda kama unajua au uliwahi pitia huko yule jamaa anaonekana ni mtaalam kweli kweli.

Na silaha kama silaha kama hujawahi jifunza kuitumia, risasi moja ukipiga silaha inakupeleka/kukuvuta eidha kulia au kushoto wakati mwingine inakuangusha au kuchoropoka mikononi, lakini Hamza kwa utaalaam wa ushikaji tena madhubuti utembeaji na upigaji kwa kweli yule alikuwa sio mwalimu tu ni sniper kabisa

Je, atakuwa haya mafunzo alijifunzia /kufundishiwa wapi?
 
Pamoja na hayo uthubutu nao unatakiwa hivi unajua ukishika silaha kama ni mara yako ya kwanza unaweza amsha kichaa?
Uthubutu unategemea na nini ulichofanyiwa ndo maana hata askari kama wakienda mission/kutumia silaha hupewa maneno ya sumu/munkari/mori so akiingia huko amna salia mtume so hatujui upande wa hamza ulikuwaje
 
uthubutu unategemea na nini ulichofanyiwa ndo maana hata askari kama wakienda mission/kutumia silaha hupewa maneno ya sumu/munkari/mori so akiingia huko amna salia mtume so hatujui upande wa hamza ulikuwaje
Hiyo ya askari naijua ukiwa pori moral unapewa hadi unafurahia unachofanya
 
Hamza alikua na extensive knowledge and skills za kutumia hizo military style riffles.

Ukiangalia jinsi alvyokua anazishikilia, anazitumia, yule ana mafunzo ya juu yautumiaji wa siraha, hasa defensive and offensive firing techniques, tena advanced, military style.

Angalia alipokua kwenye kale kakibanda pale ubalozini anarushiana na yule jamaa risasi. Alikua anapiga risasi comfortably kabisa.

Kutumia siraha kubwa lazima uwe na mafunzo.
 
Back
Top Bottom