Hamza atakuwa alijifunzia wapi ile silaha ya kivita?

Hamza atakuwa alijifunzia wapi ile silaha ya kivita?

Wa stendi unaonekana mshamba sana tena wakuja Hamza hakuwa solger kivile anaonekana wazi sio mjuzi kabisaa kabisa wa yale .Wa stendi ile kitu si mchezo ikipata mwenyewe hao polisi wakisikia tu ule upigaji wako wanajua huyu jamaa si mchezo Hamza alikuwa ngawira tu uwanjani pk yake anasema piga mimi ingekuwa kidume cha sawa sawa alikuwa anapiga na kuwafuata huko huko wakajua mziki wake .
Aisee...
 
Asili pia inachangia, wengine tumezaliwa tumezikuta na tumetambaa juu ya hivo vitu.
 
Back
Top Bottom