Wapi nimesema alikuwa na madini? Post yangu ni hii hapa chiniwewe unatoa wapi taarifa kwamba alikuwa na madini!!
Sijasema popote kwamba alikuwa na madini bali nilikuwa na-crash hoja yako ya kwamba Masaki hakuna soko la madini!! Baada ya kuku-crash, ndipo pamoja na mambo mengine ukasema "hakuwa na madini", nami ndipo nikakuuliza "umepata wapi maelezo kwamba hakuwa na madini! Hilo swali hujajibu, unaniulizaKwahiyo kwavile Masaki hakuna soko la madini ndo watu hawawezi kwenda kuuza madini?! Unasema hayo kwa sababu unajua kuna yale masoko aliyoyaasisi Magu! Je, kabla ya hapo watu walikuwa wanauza wapi?! Na hivi unadhani kila mmoja anaenda kuuza madini kwenye masoko ya Magu?
Sasa ni nani aliyedanganywa?! Ni mimi niliyehoji "...kwavile Masaki hakuna soko la madini ndo watu hawawezi kwenda kuuza madini" au wewe uliye-conclude kwamba "hakuwa na madini" ingawaje umeshindwa kujibu wapi umepata maelezo kwamba hakuwa na madini?!nan anayekudanganya kwa dharau namna hiyo hakupi hata nafasi ya kumuuliza alishuhudia hayo akiwa amekaa wapi!!!
Maswali yote hayo hayana mantiki kwa sababu hakuna niliposema kanya'ngwanya madini!!ni polis wepi waliompora hayo madini hao aliowaua au wengine!!![emoji116][emoji116
kama ni wengine kwanini hakuua hao na pistol alikuwa nayo tayari??
kama ni hawa kwanini alipomaliza kuwaua hakuchukua madini yake!!au shuhuda wako anaendela kukudharau kwa kukwambia shujaa wako alikutwa na madini akiwa kalala pale chini!!!
Onesha nilipoandika "alikuwa anaenda kuuza madini"!swala la madini kuuzaa masaki kwenye geto la mtu mimi sijapingana nalo,ninachopingana nacho ni wewe kisema alikuwa anakwenda kuuza madini ambayo sio kweli.