Hamza atakuwa alijifunzia wapi ile silaha ya kivita?

Hamza atakuwa alijifunzia wapi ile silaha ya kivita?

Ndio maana igp katukumbusha wazazi kuhusu malezi
Sirro atakua na taarifa nyingi kuhusu makuzi ya hamza
 
Kwahiyo kwavile Masaki hakuna soko la madini ndo watu hawawezi kwenda kuuza madini?! Unasema hayo kwa sababu unajua kuna yale masoko aliyoyaasisi Magu! Je, kabla ya hapo watu walikuwa wanauza wapi?! Na hivi unadhani kila mmoja anaenda kuuza madini kwenye masoko ya Magu?

sijasema hivyo kwasababu nataka nikubishie,ila ni kwa sababu hakuna soko la dhahabu na wala hamza hakuwa na madini ya aina yeyote.

kama wanauza kwenye nyumba za watu kama matunda sio issue,ila hamza hakuwa nayo hata hayo ya kutembeza.
 
Wasomali wanajifunza Silaha zote Nymbani.
Ila Hamza alisoma Sudani, akajiingiza ktk Harakati za Makundi ya Siasa Kali.
 
Ukiangalia ule utumiaji wa silaha na jinsi alivyoishikia pale begani na namna alivyokuwa ana piga na kujilinda kama unajua au uliwahi pitia huko yule jamaa anaonekana ni mtaalam kweli kweli.

Na silaha kama silaha kama hujawahi jifunza kuitumia, risasi moja ukipiga silaha inakupeleka/kukuvuta eidha kulia au kushoto wakati mwingine inakuangusha au kuchoropoka mikononi, lakini Hamza kwa utaalaam wa ushikaji tena madhubuti utembeaji na upigaji kwa kweli yule alikuwa sio mwalimu tu ni sniper kabisa

Je, atakuwa haya mafunzo alijifunzia /kufundishiwa wapi?
Wa stendi unaonekana mshamba sana tena wakuja Hamza hakuwa solger kivile anaonekana wazi sio mjuzi kabisaa kabisa wa yale .Wa stendi ile kitu si mchezo ikipata mwenyewe hao polisi wakisikia tu ule upigaji wako wanajua huyu jamaa si mchezo Hamza alikuwa ngawira tu uwanjani pk yake anasema piga mimi ingekuwa kidume cha sawa sawa alikuwa anapiga na kuwafuata huko huko wakajua mziki wake .
 
Ukiangalia ule utumiaji wa silaha na jinsi alivyoishikia pale begani na namna alivyokuwa ana piga na kujilinda kama unajua au uliwahi pitia huko yule jamaa anaonekana ni mtaalam kweli kweli.

Na silaha kama silaha kama hujawahi jifunza kuitumia, risasi moja ukipiga silaha inakupeleka/kukuvuta eidha kulia au kushoto wakati mwingine inakuangusha au kuchoropoka mikononi, lakini Hamza kwa utaalaam wa ushikaji tena madhubuti utembeaji na upigaji kwa kweli yule alikuwa sio mwalimu tu ni sniper kabisa

Je, atakuwa haya mafunzo alijifunzia /kufundishiwa wapi?
J.K.T
 
Kwanza hiyo siyo silaha ya kivita

Pili kama unataka kununua silaha unapata na mafunzo ya jinsi ya kutumia vile vile mtu yoyote anaweza kukufundisha
Smg sio silaha ya kivita mkuu?kwako wewe silaha ya kivita ni silaha gani?
 
sijasema hivyo kwasababu nataka nikubishie,ila ni kwa sababu hakuna soko la dhahabu na wala hamza hakuwa na madini ya aina yeyote.
Hakuwa na madini yoyote kwa mujibu wa maelezo ya nani? Au ni lini hiyo unayosema "hakuwa na madini ya aina yoyote"?
kama wanauza kwenye nyumba za watu kama matunda sio issue,ila hamza hakuwa nayo hata hayo ya kutembeza.
Kwanini wasiuzie kwenye nyumba za watu? Nini kisichowezekana kwa wafanyabiashara wa hayo madini kukutana ama nyumbani kwa mtu au hotelini? Au unachukulia kuuza madini ni kama kwenda kuuza nyanya; kwamba unaondoka na nyanya zako wakati hujui unaenda kumuuzia nani?!
 
Hakuwa na madini yoyote kwa mujibu wa maelezo ya nani? Au ni lini hiyo unayosema "hakuwa na madini ya aina yoyote"?

Kwanini wasiuzie kwenye nyumba za watu? Nini kisichowezekana kwa wafanyabiashara wa hayo madini kukutana ama nyumbani kwa mtu au hotelini? Au unachukulia kuuza madini ni kama kwenda kuuza nyanya; kwamba unaondoka na nyanya zako wakati hujui unaenda kumuuzia nani?!

wewe unatoa wapi taarifa kwamba alikuwa na madini!!!nan anayekudanganya kwa dharau namna hiyo hakupi hata nafasi ya kumuuliza alishuhudia hayo akiwa amekaa wapi!!!ni polis wepi waliompora hayo madini hao aliowaua au wengine!!![emoji116][emoji116]

kama ni wengine kwanini hakuua hao na pistol alikuwa nayo tayari??kama ni hawa kwanini alipomaliza kuwaua hakuchukua madini yake!!au shuhuda wako anaendela kukudharau kwa kukwambia shujaa wako alikutwa na madini akiwa kalala pale chini!!!

swala la madini kuuzaa masaki kwenye geto la mtu mimi sijapingana nalo,ninachopingana nacho ni wewe kisema alikuwa anakwenda kuuza madini ambayo sio kweli.
 
Ukiangalia ule utumiaji wa silaha na jinsi alivyoishikia pale begani na namna alivyokuwa ana piga na kujilinda kama unajua au uliwahi pitia huko yule jamaa anaonekana ni mtaalam kweli kweli.

Na silaha kama silaha kama hujawahi jifunza kuitumia, risasi moja ukipiga silaha inakupeleka/kukuvuta eidha kulia au kushoto wakati mwingine inakuangusha au kuchoropoka mikononi, lakini Hamza kwa utaalaam wa ushikaji tena madhubuti utembeaji na upigaji kwa kweli yule alikuwa sio mwalimu tu ni sniper kabisa

Je, atakuwa haya mafunzo alijifunzia /kufundishiwa wapi?
Kwanza ile body inam favour kumudu silaha.

Pili sasa hivi tunaishi kwenye dunia ya utandawazi, mambo mengi yako mtandaoni kwa hiyo sio kazi ngumu sana kuelewa jambo jepesi kama lile. Japokuwa inawezekana kabisa kuwa alikuwa na mafunzo.
 
Back
Top Bottom