Hamza atakuwa alijifunzia wapi ile silaha ya kivita?

Hamza atakuwa alijifunzia wapi ile silaha ya kivita?

Kina wakt mwaka 2013 nilitaka kuiba silah Kama ile ya hmza ..ilikuwa HV mm nilikuwa. Nimeajiriwa ktk kampuni ya mikopo sas siku ya kugawa mikopo huwa tunaita askar waje kusimamia pesa zile kuweza kugaiwa kwa kina mam bas bhna baada ya kumalizia kugawa mikopo askri yule mm nilijuwa aliondoka kwa vile ndio mtu wa mwisho kuondoka pale ofcn mm nilibaki kwa vile kulikuwa na demu nilimuandaa kuja kumchakata siku hyo baada demu kaja nikampeleka ktk chumba Cha mliz wa usku kwa vile mlinz wa usku alipewa room kbsa ktk ofc ile
Demu alivyokuja mm nikapeleka Moja kwa moja chumbani kwa mlinz huku na mm nikitoka nnje kucheki usalama ..bas nikaona fresh mm nikarud zangu kuchata kbla cjachakata nikacheki mazingira Kama kuko fresh mkp ufunguni kukagua baanae kumbe jamaa alificha silah yake ufunguni akaenda kunywa pombe jirani bila kumuaga mtu ....duh bas nikaitoa wazo la kutaka kuiba lilinijia ila niliona huyu mzichan anaweza kuja nisaliti ..ingawa nilifikiru ikikah had saamoja hawajaja kufata bas ningeiba ili akili iwakae sawa polis wale ...leo na mm ningekuta namiliki chuma
 
Nimeshangaa sana nimeona video ya mazishi yake waswahili na watu wenye asili ya asia wanamwombea kwa dhati kabisa, sasa najiuliza kwao alichokifanya ni halali? Hawakumbuki hata kidogo kuwaombea watoto wa watu aliozulumu uhai wao kwa kumwaga damu zao bila hatia yoyote?

wao wanaamini jamaa alikuwa anaenda kuuza madini masaki.

sijui masaki kuna soko gani la madini!!
 
mleta mada umesahau kuwa hamza ni muuza madini ya dhahabu na ukiwa kwenye shughuli hzo vyuma vya mzungu ni kawaida kuwa navyo.na hili jambo walilisahau wale waliomfanyia ubaya.
 
Kina wakt mwaka 2013 nilitaka kuiba silah Kama ile ya hmza ..ilikuwa HV mm nilikuwa. Nimeajiriwa ktk kampuni ya mikopo sas siku ya kugawa mikopo huwa tunaita askar waje kusimamia pesa zile kuweza kugaiwa kwa kina mam bas bhna baada ya kumalizia kugawa mikopo askri yule mm nilijuwa aliondoka kwa vile ndio mtu wa mwisho kuondoka pale ofcn mm nilibaki kwa vile kulikuwa na demu nilimuandaa kuja kumchakata siku hyo baada demu kaja nikampeleka ktk chumba Cha mliz wa usku kwa vile mlinz wa usku alipewa room kbsa ktk ofc ile
Demu alivyokuja mm nikapeleka Moja kwa moja chumbani kwa mlinz huku na mm nikitoka nnje kucheki usalama ..bas nikaona fresh mm nikarud zangu kuchata kbla cjachakata nikacheki mazingira Kama kuko fresh mkp ufunguni kukagua baanae kumbe jamaa alificha silah yake ufunguni akaenda kunywa pombe jirani bila kumuaga mtu ....duh bas nikaitoa wazo la kutaka kuiba lilinijia ila niliona huyu mzichan anaweza kuja nisaliti ..ingawa nilifikiru ikikah had saamoja hawajaja kufata bas ningeiba ili akili iwakae sawa polis wale ...leo na mm ningekuta namiliki chuma

bora hukuiba uliwaza kama mbuzi yaani,sema malaika wako mweupe alikutia kwenzu ukarestart ubongo.

silaha ikipotea mazingira hayo mpaka huyo demu ingebidi aseme kwanini alikuja halafu ikapotea.

baada ya kupatikana ingebidi useme pia ulikuwa unaiiba uipeleke kufanyia nini!!yaani ungejibu majibu ambayo kimsingi sio yakweli ili upunguze dozi ya kifinyo.
 
mleta mada umesahau kuwa hamza ni muuza madini ya dhahabu na ukiwa kwenye shughuli hzo vyuma vya mzungu ni kawaida kuwa navyo.na hili jambo walilisahau wale waliomfanyia ubaya.

vyuma vya mzungu ambavyo unakuwa navyo karibu ni pistol,sio hiyo SMG.

sheria ya tz imekataza kabisa umilikaji wa silaha ambazo ni automatic kwa watu binafsi na makampuno ya ulinzi,swali amejifunia wapi na kwa lengo lipi??
 
Hamza alikua na extensive knowledge and skills za kutumia hizo military style ruffles.

Ukiangalia jinsi alvyokua anazishikilia, anazitumia, yule ana mafunzo ya juu yautumiaji wa siraha, hasa defensive and offensive firing techniques, tena advanced, military style.

Angalia alipokua kwenye kale kakibanda pale ubalozini anarushiana na yule jamaa risasi. Alikua anapiga risasi comfortably kabisa.

Kutumia siraha kubwa lazima uwe na mafunzo.
watu wanabisha ukisema ivi,
minakuunga mkono boss.

yule Jamaa ni fundi aisee, tena fundi kwel katika matumiz ya siraha.

yan hata vijana wetu awa 4m 6 wengi waloenda jkt kwa mujibu washeria, hawafikii umahili wa bwana yule aisee....
 
Mkorinto sasa mtu alisalimu amri wakamtwanga vyuma.haya maswali yenu mngepata majibu kama mngemuacha akiwa hai.hata hvyo ukijifunza gari ya toyota chuoni ukiletewa gari ya suzuki unatakiwa uende tena chuo kujifunza kuendesha suzuki?
 
Bastola na SMG triggers zake ni tofauti.
Ni sawa na lory tani 80 na Suzuki ya tani moja.
Mkorinto sasa mtu alisalimu amri wakamtwanga vyuma.haya maswali yenu mngepata majibu kama mngemuacha akiwa hai.hata hvyo ukijifunza gari ya toyota chuoni ukiletewa gari ya suzuki unatakiwa uende tena chuo kujifunza kuendesha suzuki?
 
Sandali ali mimi ninachojua kaka hamza amemuacha mzee siro na ganzi.unataka kusema kaka hamza ametoka msumbiji?basi mzee siro aunde tume tujue ukweli.hayo mengine shida ni kwamba polisi hawakutaka kuja kuyajua maan uwezo wa kumkamata walikuwa nao
 
bora hukuiba uliwaza kama mbuzi yaani,sema malaika wako mweupe alikutia kwenzu ukarestart ubongo.

silaha ikipotea mazingira hayo mpaka huyo demu ingebidi aseme kwanini alikuja halafu ikapotea.

baada ya kupatikana ingebidi useme pia ulikuwa unaiiba uipeleke kufanyia nini!!yaani ungejibu majibu ambayo kimsingi sio yakweli ili upunguze dozi ya kifinyo.
Hahahaa yani angethubutu angekoma. Na huwa ni lazima ipatikane kwavyovyote vile

Ndomaana hata majambazi hawajihusishi nazo huo ni msala yani
 
Hata mimi mwanzo nilihisi ana mafunzo rahisi rahisi ya kiraia ila nimezipitia sana zile video nikawa 50/50

Ilipokuja ile video aliyopost tar 24 (siku moja kabla ya tukio) Snapchat sijui anaimba kiarabu kashika bastola na magazine mbili nimehisi red flag fulani
Tuwekee hiyo video tuone na tupate ujuzi wa kugundua mambo ya usalama
 
Mkorinto sasa mtu alisalimu amri wakamtwanga vyuma.haya maswali yenu mngepata majibu kama mngemuacha akiwa hai.hata hvyo ukijifunza gari ya toyota chuoni ukiletewa gari ya suzuki unatakiwa uende tena chuo kujifunza kuendesha suzuki?
Ni wapi alionekana kasalimu amri?
 
Avogadro rudia tena kuangalia lile tukio.baada ya kupigwa mabomu ya machozi alitoka nje.
 
Ndiyo.

Mbona siku hizi watu wanajifunza kuendesha kwa simulation.
Huyu hawezi amini kuwa hata fighter pilots wanajifunza kwa computer simulations na tena wanafanya engagements za maana uko. Tena pilots wa nchi za duniani achana na hizi shit hole. Simulationa ndio zinafanya watu watumie drones, unakuta watu wana vitambi hawajawahi vaa buti ila wanaendesha hizo drone strikes mitaa ya Afghanistan uko na hawajawahi fika.

Kuna war games za simulation maofisa wa kijeshi hucheza na kupewa marks. Kuna gamers waliwahi kusanywa na US military wakatumike kuendesha drones kwa vile hizo games wanazocheza zinahitaji akili na uzoefu wa hali ya juu, situation awareness na fast response ambavyo wanajeshi hawakuwa navyo.

Tukija kwa Hamza. Ni kada mkubwa wa chama, ana hela, anafanya biashara ya madini, anamiliki bastola. Hizi sifa zinafanya asinishtue kama akijua kutumia riffle. Ukienda machimbo ya madini ukakutana na mabosi kule ndio utajua kutumia silaha ni kitu cha kawaida kwao
 
wao wanaamini jamaa alikuwa anaenda kuuza madini masaki.

sijui masaki kuna soko gani la madini!!
Kwahiyo kwavile Masaki hakuna soko la madini ndo watu hawawezi kwenda kuuza madini?! Unasema hayo kwa sababu unajua kuna yale masoko aliyoyaasisi Magu! Je, kabla ya hapo watu walikuwa wanauza wapi?! Na hivi unadhani kila mmoja anaenda kuuza madini kwenye masoko ya Magu?
 
Huyu hawezi amini kuwa hata fighter pilots wanajifunza kwa computer simulations na tena wanafanya engagements za maana uko. Tena pilots wa nchi za duniani achana na hizi shit hole. Simulationa ndio zinafanya watu watumie drones, unakuta watu wana vitambi hawajawahi vaa buti ila wanaendesha hizo drone strikes mitaa ya Afghanistan uko na hawajawahi fika.

Kuna war games za simulation maofisa wa kijeshi hucheza na kupewa marks. Kuna gamers waliwahi kusanywa na US military wakatumike kuendesha drones kwa vile hizo games wanazocheza zinahitaji akili na uzoefu wa hali ya juu, situation awareness na fast response ambavyo wanajeshi hawakuwa navyo.

Tukija kwa Hamza. Ni kada mkubwa wa chama, ana hela, anafanya biashara ya madini, anamiliki bastola. Hizi sifa zinafanya asinishtue kama akijua kutumia riffle. Ukienda machimbo ya madini ukakutana na mabosi kule ndio utajua kutumia silaha ni kitu cha kawaida kwao
Hata waendesha formula 1 wananoa skills kwa simulation. Ni labda kwavile hawajajua kama hayo yanawezekana na yanafanyika huko nje.
 
watu wanabisha ukisema ivi,
minakuunga mkono boss.

yule Jamaa ni fundi aisee, tena fundi kwel katika matumiz ya siraha.

yan hata vijana wetu awa 4m 6 wengi waloenda jkt kwa mujibu washeria, hawafikii umahili wa bwana yule aisee....
Unaambiwa alienda Egypt kujifunza Dini huko ndo akajifunza Na matumizi ya silaha
 
Back
Top Bottom