Hamza atakuwa alijifunzia wapi ile silaha ya kivita?

Hamza atakuwa alijifunzia wapi ile silaha ya kivita?

Ukiangalia ule utumiaji wa silaha na jinsi alivyoishikia pale begani na namna alivyokuwa ana piga na kujilinda kama unajua au uliwahi pitia huko yule jamaa anaonekana ni mtaalam kweli kweli.

Na silaha kama silaha kama hujawahi jifunza kuitumia, risasi moja ukipiga silaha inakupeleka/kukuvuta eidha kulia au kushoto wakati mwingine inakuangusha au kuchoropoka mikononi, lakini Hamza kwa utaalaam wa ushikaji tena madhubuti utembeaji na upigaji kwa kweli yule alikuwa sio mwalimu tuu ni sniper kabisa Je? Atakuwa haya mafunzo alijifunzia /kufundishiwa wapi?
Green guide ndo mafunzo yao hayo.
 
Wameshasema juu hapo.wao wanafikiri kufundisha kwenye mtandao ni sawa na kufanya live kama hamza.
Mnavuna mlichipanda makada wameuana
JamiiForums401596260.jpg
 
Ukiangalia ule utumiaji wa silaha na jinsi alivyoishikia pale begani na namna alivyokuwa ana piga na kujilinda kama unajua au uliwahi pitia huko yule jamaa anaonekana ni mtaalam kweli kweli.

Na silaha kama silaha kama hujawahi jifunza kuitumia, risasi moja ukipiga silaha inakupeleka/kukuvuta eidha kulia au kushoto wakati mwingine inakuangusha au kuchoropoka mikononi, lakini Hamza kwa utaalaam wa ushikaji tena madhubuti utembeaji na upigaji kwa kweli yule alikuwa sio mwalimu tuu ni sniper kabisa Je? Atakuwa haya mafunzo alijifunzia /kufundishiwa wapi?
Ni gaidi kama magaidi wengine
 
Hahahah umejibu vizuri kabisa mkuu sasa mtua anashangaaje mwanaume mtu mzima kutumia bunduki tena ukute huyu mtu na jkt amepitia ila anaona bunduki kitu special
[emoji23]
 
Yani unauliza gaidi kajifunzia wapi silaha? Kajaribu wewe kupora na hauna mafunzo yoyote inaweza hata kukushnda kufyatua risasi ukaibeba Kama rungu
Na mwsho utavuna ulicho kipanda Kama Hamza alivyo vuna mazao yake
Nani kakuambia ni gaidi
 
Back
Top Bottom