Hamza atakuwa alijifunzia wapi ile silaha ya kivita?

Hamza atakuwa alijifunzia wapi ile silaha ya kivita?

Siku hizi Polisi wanatumia slahaa za kivita?
Ndio Smg zile na copy yake Norinco AK47 ya China ni ya kivita

BTW hadi mabomu ya kurusha kwa mkono polisi wanatumia pia na Artillery launchers ndogo ndogo sijaongelea LMGs na MGs zenyewe pia
 
Asante sana umenielewa nachouliza hapa.
Kuna watu wanasema eti you tube kuna kila kitu ukiingia.
Hata mimi mwanzo nilihisi ana mafunzo rahisi rahisi ya kiraia ila nimezipitia sana zile video nikawa 50/50

Ilipokuja ile video aliyopost tar 24 (siku moja kabla ya tukio) Snapchat sijui anaimba kiarabu kashika bastola na magazine mbili nimehisi red flag fulani
 
Mnatetea kitu gani? Zile siraha aalizowapola ma-askari zilikuwa siyo silaha za kivita? Askari huwa wanabeba bunduki ya kuwindia enhee.......!!!
😆😆 Huyo jamaa iyo handle yake tu inatosha kutambua ubongo wake upoje
Annafikir AK47 ni manati ya kuulia kwalee
 
Hamza alikua na extensive knowledge and skills za kutumia hizo military style ruffles.

Ukiangalia jinsi alvyokua anazishikilia, anazitumia, yule ana mafunzo ya juu yautumiaji wa siraha, hasa defensive and offensive firing techniques, tena advanced, military style.

Angalia alipokua kwenye kale kakibanda pale ubalozini anarushiana na yule jamaa risasi. Alikua anapiga risasi comfortably kabisa.

Kutumia siraha kubwa lazima uwe na mafunzo.
Yaan ukiwaza tu ivyo una conclude ya kwamba jamaa hakuwa mwananchi wa kawaida ni haki kusema ni gaidi aliyetokaa mafunzoni ... Lzm mtu ujiulize ivi mtu mmoja kazungukwa na watu kibao lkn walikuwa hampati mpaka alipotupiwa bomu la machozi aisee yule jamaa aalikuwa ni mtu hatari sana anapo shika silaha ana mafunzo ya kutosha
 
Ukiangalia ule utumiaji wa silaha na jinsi alivyoishikia pale begani na namna alivyokuwa ana piga na kujilinda kama unajua au uliwahi pitia huko yule jamaa anaonekana ni mtaalam kweli kweli.

Na silaha kama silaha kama hujawahi jifunza kuitumia, risasi moja ukipiga silaha inakupeleka/kukuvuta eidha kulia au kushoto wakati mwingine inakuangusha au kuchoropoka mikononi, lakini Hamza kwa utaalaam wa ushikaji tena madhubuti utembeaji na upigaji kwa kweli yule alikuwa sio mwalimu tuu ni sniper kabisa Je? Atakuwa haya mafunzo alijifunzia /kufundishiwa wapi?
Huyo ni Taleban, tumeambiwa kabla hajaenda masomoni Misri alikuwa mtu poa sana lakini baada ya kwenda masomoni huko Misri na kurudi akawa amebadirika sana, hata kuongea na watu ambao alizoea nao aliacha yeye alikuwa ni kuingia ndani na kujifungia, polisi walitakiwa watumie risasi za usingizi kama zile wanazopigwa wanyama,ili jamaa akamatwe akiwa hai labda tungeweza kujua mengi.
 
Hujasikia kuwa aliwahi kwenda masomoni nchi mojawapo ya kiarabu. Wazazi wachunguze watoto wao huko nje wawe wamewapeleka wenyewe au wamepelekwa kwenye taasisi zinazojifanya ni za kidini
Kuna mmoja kazamia Iran huu ni mwaka wa 15 hajawahi kurudi hata kusalimia. Kaenda kusoma masomo ya dini.
 
Huyo ni Taleban, tumeambiwa kabla hajaenda masomoni Misri alikuwa mtu poa sana lakini baada ya kwenda masomoni huko Misri na kurudi akawa amebadirika sana, hata kuongea na watu ambao alizoea nao aliacha yeye alikuwa ni kuingia ndani na kujifungia, polisi walitakiwa watumie risasi za usingizi kama zile wanazopigwa wanyama,ili jamaa akamatwe akiwa hai labda tungeweza kujua mengi.
Kosa kubwa sana walifanya
 
Hamza alikua na extensive knowledge and skills za kutumia hizo military style ruffles.

Ukiangalia jinsi alvyokua anazishikilia, anazitumia, yule ana mafunzo ya juu yautumiaji wa siraha, hasa defensive and offensive firing techniques, tena advanced, military style.

Angalia alipokua kwenye kale kakibanda pale ubalozini anarushiana na yule jamaa risasi. Alikua anapiga risasi comfortably kabisa.

Kutumia siraha kubwa lazima uwe na mafunzo.

ng'ombe wanasema jamaa alikuwa muuza madini[emoji16][emoji16][emoji16].

kuna wakati ili uelewe jambo fulani inabidi uwe mpumbavu kwanza.
 
Shabaha kwa mtu uliyenaye urefu wa mita 2 au 10?

Kapiga traffic aliyeko barabarani,hajui kama yeye ni target.

Kapiga askari wawili kwa kuwashtukiza.
Kapiga askari wa SGA.
pale barabarani hahaha yeyote.

wewe hujui unachoongea,kanunue hata pistol tu uende range,utaelewa ni kipi unachoambiwa hapa.

silaha sio kijiko cha wali,kwamba kila mtu anashika tu na kuchotea hata supu au chai,kushika smg na kurenga kupata shabaha ni swala zito sana,usione watu wanatamka kauli moja kwamba hamza ni gaidi ukaona ni waropokaji tu.

ile silaha ikitoa risasi kama huna mafunzo unaweza kaa chini kwa mtikisiko,haijalishu mazoezi unafanya kiasi gani,ije kwenye target!!!kumbuka traffic alikimbia akaemda mbali tu,achana na hizo mita 10 zako sijui umezitolea wapi!!!
 
Kada huyo wa CCM si huwa wanawapa mafunzo! Ila Siro kamwita mtu wa ovyo, kweli angekuwa wa ovyo angeweza kweli kumiliki silaha kivile. Na ile bastola nani kamilikisha kijana wa Ovyo? hapa kuna kitu kinafunikwa. Majibu ya kamanda Siro nikayasikia lazima niyageuze upande wa pili na kuyadadavua.......... yaani yapo kisiasa zaidi

ukiaminiwa halafu ukayafanya ya wavutabangi au wenye ugonjwa wa akili unakuwa mtu wa hovyo.
 
Huyo ni Taleban, tumeambiwa kabla hajaenda masomoni Misri alikuwa mtu poa sana lakini baada ya kwenda masomoni huko Misri na kurudi akawa amebadirika sana, hata kuongea na watu ambao alizoea nao aliacha yeye alikuwa ni kuingia ndani na kujifungia, polisi walitakiwa watumie risasi za usingizi kama zile wanazopigwa wanyama,ili jamaa akamatwe akiwa hai labda tungeweza kujua mengi.

mkuu risasi ya sindano ya usingizi kwa ajili ya binaadam haipo,ikipigwa ikakufikia mwilini itasababisha jelaha kubwa kuliko faida zinazotakiwa.

labda unambie kwanini silaha zenye virengeo ni adimu jeshi la polisi,maana eneo lile ndipo mtaalam alitakiwa alenge bega peke yake ili hamza aachie silaha,kamanda sirro badala ya kukaa unajibi jibu maswali mpaka unatamka maneno magumu,ungeangalia nana ya kurekebisha madhaifu kama haya kwenye chombo chako.

tension iliyokuwepo ni moja hamza anataka afanye kitu gani na hizo silaha,vipi akianza kuua watu!!!tutalaumiwa.wacha auawe kwa namna yoyote tu.
 
Hamza alikua na extensive knowledge and skills za kutumia hizo military style ruffles.

Ukiangalia jinsi alvyokua anazishikilia, anazitumia, yule ana mafunzo ya juu yautumiaji wa siraha, hasa defensive and offensive firing techniques, tena advanced, military style.

Angalia alipokua kwenye kale kakibanda pale ubalozini anarushiana na yule jamaa risasi. Alikua anapiga risasi comfortably kabisa.

Kutumia siraha kubwa lazima uwe na mafunzo.
Hakuna silaha nzito hapo , akina Mwajei wakimaliza F6 wazipigia range hapo mafinga.
Sema ujibga mwingi wa askari na kubweteka unachangia kupigwa ambush kindezi , askari mwenye silaha hujihami kuliko asiye nayo.
Tatizo ni hili keyboard .kuchat hata lindoni. Wee soma comment za watoto wa shule hunu utajua kuwa hatuna kizazi cha maana kinakuja ni vishoga shoga tu bora wale
1.Panya road
2. Wamarekani
3.Komando Yoso
4. Mbwa mwitu
5. Na wanaofanana nao
Hao wanaweza kusimama sio hawa watoto wa afande mwita
 
Kwa maelezo ya jamaa zake wanadai alionewa
Nimeshangaa sana nimeona video ya mazishi yake waswahili na watu wenye asili ya asia wanamwombea kwa dhati kabisa, sasa najiuliza kwao alichokifanya ni halali? Hawakumbuki hata kidogo kuwaombea watoto wa watu aliozulumu uhai wao kwa kumwaga damu zao bila hatia yoyote?
 
Hakuna silaha nzito hapo , akina Mwajei wakimaliza F6 wazipigia range hapo mafinga.
Sema ujibga mwingi wa askari na kubweteka unachangia kupigwa ambush kindezi ,
mh,sawa komandoo la nyuma ya keyboard
askari mwenye silaha hujihami kuliko asiye nayo.
askari mwenye silaha kama smg anajihami kwa kuitumia tu,haimpi nafasi hata ya kurusha ngumi wala kumsukuma mtu.

Tatizo ni hili keyboard .kuchat hata lindoni. Wee soma comment za watoto wa shule hunu utajua kuwa hatuna kizazi cha maana kinakuja ni vishoga shoga tu bora wale
mnaporwa simu na mikoba ya vipodozi,akili mnakiwa mmeweka kwenye simu hizo!!
embu kaa chini,tafakari ujione ulivyo kiazi eneo lile askari anachart vipi na amesimama muda mwingi!!
1.Panya road
2. Wamarekani
3.Komando Yoso
4. Mbwa mwitu
5. Na wanaofanana nao
hawa wanaowalaza ndani nyinyi na kaka zenu saa mbili!!!
Hao wanaweza kusimama sio hawa watoto wa afande mwita
 
Back
Top Bottom