Pamoja na hayo uthubutu nao unatakiwa hivi unajua ukishika silaha kama ni mara yako ya kwanza unaweza amsha kichaa?hata wewe unaweza kutumia hyo smg ukiingia tu you tube utapata maelekezo yote dunia sasa kila kitu kipo wazi utundu wako tu
Uthubutu unategemea na nini ulichofanyiwa ndo maana hata askari kama wakienda mission/kutumia silaha hupewa maneno ya sumu/munkari/mori so akiingia huko amna salia mtume so hatujui upande wa hamza ulikuwajePamoja na hayo uthubutu nao unatakiwa hivi unajua ukishika silaha kama ni mara yako ya kwanza unaweza amsha kichaa?
Hiyo ya askari naijua ukiwa pori moral unapewa hadi unafurahia unachofanyauthubutu unategemea na nini ulichofanyiwa ndo maana hata askari kama wakienda mission/kutumia silaha hupewa maneno ya sumu/munkari/mori so akiingia huko amna salia mtume so hatujui upande wa hamza ulikuwaje
Mnatetea kitu gani? Zile siraha aalizowapola ma-askari zilikuwa siyo silaha za kivita? Askari huwa wanabeba bunduki ya kuwindia enhee!Kwanza hiyo siyo silaha ya kivita
Pili kama unataka kununua silaha unapata na mafunzo ya jinsi ya kutumia vile vile mtu yoyote anaweza kukufundisha
Hapo ni uthubutu hamza ameweza na amekipata alichostahiliSawa hata mimi mtandaoni naweza lakini sio kuingia nayo front nianze kurushiana marisasi kiasi kile