KUNA mwanasheia mmoja anaitwa HAMZA JOHARI ndiye anayetolea ufafanuzi vipengele vya Mkataba wa Bandari kunaopigiwa kelele na watanzania kila siku kwenye vyombo vya habari. JE YEYE NDIYE MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI? Au ni Nani sijaelewa
UPDATE (Agosti 14, 2024)
- Hamza Johari ateuliwa kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali
Hamza Johari
UPDATE (Agosti 14, 2024)
- Hamza Johari ateuliwa kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali