Hamza Johari anahusiakaje na Mkataba wa Bandari?

Hamza Johari anahusiakaje na Mkataba wa Bandari?

Ni kifaa kinachotumika kuiuza Tanzania.

Ukumbuke kwamba kuna watu waliotumika kuwauza wenzao utumwani enzi zile.

Usidhani enzi hizi watu wa aina hiyo hawapo, wapo sana, hata humu ukumbini wamo.
Akili za kijuha kweli kweli hizi. Mwarabu wa DPW yupo mpaka Uingereza anaendesha bandari mbili. Na huko na kwenyewe kawauza waingereza utumwani!. Foolish minds.
 
Navyomfahamu huyu jamaa ndie Director General wa TANZANIA CIVIL AVIATION AUTHORITY, Yaan mamlaka ya Usalama wa Anga.

Sasa Anga na Bandari vinahusianaje basi labda mwengine anaeelewa zaidi aelezee.

..labda ni Mzanzibari.

..huyu Mama kweli hajui kula na kipofu.

..kwa hali ya kawaida angeweka Mtanganyika hapo baadhi ya makelele yasingekuwepo.

..tatizo Maza amejisahau. Anajiona yeye ni Mama, na sisi ni watoto.
 
Nshamalizane na wewe.kwa sababu nishajua huna akili za kukuwezesha kuelewa yanayoelezwa...; na hata mara moja moja akili ikikuwezesha kuelewa, unajifanya huelewi, kwa sababu wewe ni kati ya hao wanaotumiwa na mafisadi.

Mkataba wa hao DP World walioingilia huko Uingereza umeuchambua ukaona unayo mambo ya kipuuzi kama haya wanayotetea akina Hamza Johari?

Tafadhali, usiendelee kunipotezea muda wangu.

Huna lolote la ziada kunionyesha kuwa una uelewa wowote wa jambo linalojadiliwa.

Wewe huna tofauti yoyote na akina 'Lord Denning' atu ambao nilishawadharau siku nyingi.
Akili za kijuha kweli kweli hizi. Mwarabu wa DPW yupo mpaka Uingereza anaendesha bandari mbili. Na huko na kwenyewe kawauza waingereza utumwani!. Foolish minds.
 
Nshamalizane na wewe.kwa sababu nishajua huna akili za kukuwezesha kuelewa yanayoelezwa...; na hata mara moja moja akili ikikuwezesha kuelewa, unajifanya huelewi, kwa sababu wewe ni kati ya hao wanaotumiwa na mafisadi.

Mkataba wa hao DP World walioingilia huko Uingereza umeuchambua ukaona unayo mambo ya kipuuzi kama haya wanayotetea akina Hamza Johari?

Tafadhali, usiendelee kunipotezea muda wangu.

Huna lolote la ziada kunionyesha kuwa una uelewa wowote wa jambo linalojadiliwa.

Wewe huna tofauti yoyote na akina 'Lord Denning' atu ambao nilishawadharau siku nyingi.
Povu linakusumbua. Mnakuja kutaka kuponda maamuzi ya serikali wakati hamna hoja zozote za msingi.
 
Nshamalizane na wewe.kwa sababu nishajua huna akili za kukuwezesha kuelewa yanayoelezwa...; na hata mara moja moja akili ikikuwezesha kuelewa, unajifanya huelewi, kwa sababu wewe ni kati ya hao wanaotumiwa na mafisadi.

Mkataba wa hao DP World walioingilia huko Uingereza umeuchambua ukaona unayo mambo ya kipuuzi kama haya wanayotetea akina Hamza Johari?

Tafadhali, usiendelee kunipotezea muda wangu.

Huna lolote la ziada kunionyesha kuwa una uelewa wowote wa jambo linalojadiliwa.

Wewe huna tofauti yoyote na akina 'Lord Denning' atu ambao nilishawadharau siku nyingi.
Kwani wa hapa we umeuona wapi?

Sent from my Infinix X6511E using JamiiForums mobile app
 
Navyomfahamu huyu jamaa ndie Director General wa TANZANIA CIVIL AVIATION AUTHORITY, Yaan mamlaka ya Usalama wa Anga.

Sasa Anga na Bandari vinahusianaje basi labda mwengine anaeelewa zaidi aelezee.
Kama sisi tuna haki ya kuukosoa Mkataba bila ya kuulizwa Ajira zetu tuwape wengine haki ya kuutetea ili mjadala uwe mpana na wa uwazi zaid

au kuna agenda tofauti ?

Huu Mkataba kwa maoni yangu haufai hata afufuke Dr Masumbuko Lamwai au Nimrod Mkono

Tuwape na wengine haki ya kutoa maoni yao
 
Akili za kijuha kweli kweli hizi. Mwarabu wa DPW yupo mpaka Uingereza anaendesha bandari mbili. Na huko na kwenyewe kawauza waingereza utumwani!. Foolish minds.

..wanaopinga wanasema mkataba ni mbaya, hawasemi kwamba Dp sio kampuni kubwa yenye uwezo.
 
Hana undugu na FaizaFoxy KWELI? Wacha niunganishe dots
Fox na kichuguu wanapatana sana
1687482231827.png
 
KUNA mwanasheia mmoja anaitwa HAMZA JOHARI ndiye anayetolea ufafanuzi vipengele vya Mkataba wa Bandari kunaopigiwa kelele na watanzania kila siku kwenye vyombo vya habari. JE YEYE NDIYE MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI? Au ni Nani sijaelewa

View attachment 2664532
Hamza Johari
Kuwadi
 
Back
Top Bottom