mfianchi
Platinum Member
- Jul 1, 2009
- 11,904
- 8,371
Unauliza tena kwani mwenye chawa wake hapa ni nani? kama humjui basi nadhani unaishi Eswatini.Chawa wa Nani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unauliza tena kwani mwenye chawa wake hapa ni nani? kama humjui basi nadhani unaishi Eswatini.Chawa wa Nani?
SAWA.DPW anafunga mitambo pale bandarini muda wowote kuanzia sasa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aendelee mola atamaliza ugomvi wetu na yeye .
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukiona mwanaume anatumia jina la mama yake kama ndio jina la baba yake jua kuna shidaa..
Hatukatai biashara ya bandairi tatizo ni terms and conditions of investment agreement between DPWORLD and republic of TanzaniaKUNA mwanasheia mmoja anaitwa HAMZA JOHARI ndiye anayetolea ufafanuzi vipengele vya Mkataba wa Bandari kunaopigiwa kelele na watanzania kila siku kwenye vyombo vya habari. JE YEYE NDIYE MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI? Au ni Nani sijaelewa
View attachment 2664532
Hamza Johari
KUNA mwanasheia mmoja anaitwa HAMZA JOHARI ndiye anayetolea ufafanuzi vipengele vya Mkataba wa Bandari kunaopigiwa kelele na watanzania kila siku kwenye vyombo vya habari. JE YEYE NDIYE MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI? Au ni Nani sijaelewa
View attachment 2664532
Hamza Johari
Tunataka majibu ya hoja zetu.KUNA mwanasheia mmoja anaitwa HAMZA JOHARI ndiye anayetolea ufafanuzi vipengele vya Mkataba wa Bandari kunaopigiwa kelele na watanzania kila siku kwenye vyombo vya habari. JE YEYE NDIYE MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI? Au ni Nani sijaelewa
View attachment 2664532
Hamza Johari
Kwani mkataba alioandikiana na Uingereza ni sawa na wa Tanzania?, Mikataba inatofautiana?Akili za kijuha kweli kweli hizi. Mwarabu wa DPW yupo mpaka Uingereza anaendesha bandari mbili. Na huko na kwenyewe kawauza waingereza utumwani!. Foolish minds.
Dalali wa kuuza nini hapa?Madalali wanaotumwa na mafisadi wa bandari, mmoja wao ni huyo.
Unaposema mikataba mibovu unashikiwa kalamu ili uisaini?. Wasomi wetu wametumia zaidi ya miezi sita kukaa mezani na wataalam wa DPW kupitia kifungu baada ya kifungu mpaka ukaandikwa huo mkataba.Dalali wa kuuza nini hapa?
Anayepinga mikataba mibovu hawezi kuwa dalali. Anayepigania Tanzania tupate mikataba mibovu ya kutufanya kuwa watumwa maisha yetu yote, huyo ana sifa ya kuwa dalali ( Na vizuri akae kimya, Kwasababu ana mawazo ya kitoto ya kudhani kuwa mara zote watu fulani ni wema).
MzalendoKUNA mwanasheia mmoja anaitwa HAMZA JOHARI ndiye anayetolea ufafanuzi vipengele vya Mkataba wa Bandari kunaopigiwa kelele na watanzania kila siku kwenye vyombo vya habari. JE YEYE NDIYE MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI? Au ni Nani sijaelewa
View attachment 2664532
Hamza Johari
Atakuwa mwanasheria wa familia ya malkia.KUNA mwanasheia mmoja anaitwa HAMZA JOHARI ndiye anayetolea ufafanuzi vipengele vya Mkataba wa Bandari kunaopigiwa kelele na watanzania kila siku kwenye vyombo vya habari. JE YEYE NDIYE MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI? Au ni Nani sijaelewa
View attachment 2664532
Hamza Johari
Hamza alichukuliwa na serikali ya JPM kwa ajili ya kusaidia katika masuala ya mikataba. Ni mkurugenzi mkuu wa TCAA aliyekwenda kusaidia pale TPA kwa muda tu.KUNA mwanasheia mmoja anaitwa HAMZA JOHARI ndiye anayetolea ufafanuzi vipengele vya Mkataba wa Bandari kunaopigiwa kelele na watanzania kila siku kwenye vyombo vya habari. JE YEYE NDIYE MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI? Au ni Nani sijaelewa
View attachment 2664532
Hamza Johari
Mikataba ya wenye akili (Conservative) ni tofauti na ya (CCM) wasio na akili.Akili za kijuha kweli kweli hizi. Mwarabu wa DPW yupo mpaka Uingereza anaendesha bandari mbili. Na huko na kwenyewe kawauza waingereza utumwani!. Foolish minds.
Mkataba wa Uingereza au nchi zingine unafanana na mkataba wa JMT.Watanzania hawakatai kubinafsishwa au kukodishwa kwa Bandari.Watanzania,hususan wazalendo wanashauri kupitiwa upya vipengere vyenye mashaka, kazi uendelee.Akili za kijuha kweli kweli hizi. Mwarabu wa DPW yupo mpaka Uingereza anaendesha bandari mbili. Na huko na kwenyewe kawauza waingereza utumwani!. Foolish minds.
Naam na sauti ya wengi ni ya Mungu, wamesikika wote wanaosema vipengele vipitiwe.Mkataba wa Uingereza au nchi zingine unafanana na mkataba wa JMT.Watanzania hawakatai kubinafsishwa au kukodishwa kwa Bandari.Watanzania,hususan wazalendo wanashauri kupitiwa upya vipengere vyenye mashaka, kazi uendelee.
4.) Ni kwa faida ya nani, kwamba sisi tuliowekeza matrillion ya mikopo kuendeleza bandari na tukiwa kama wamiliki wa rasimali ya bandari, tupate 0% ya faida itakayotokana na uendeshaji wa huduma za kibandari, yaani ni kana kwamba yeye kawekeza 100% na hivyo achukue 100%? Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?KUNA mwanasheia mmoja anaitwa HAMZA JOHARI ndiye anayetolea ufafanuzi vipengele vya Mkataba wa Bandari kunaopigiwa kelele na watanzania kila siku kwenye vyombo vya habari. JE YEYE NDIYE MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI? Au ni Nani sijaelewa
View attachment 2664532
Hamza Johari