Hamza Johari anahusiakaje na Mkataba wa Bandari?

Hamza Johari anahusiakaje na Mkataba wa Bandari?

KUNA mwanasheia mmoja anaitwa HAMZA JOHARI ndiye anayetolea ufafanuzi vipengele vya Mkataba wa Bandari kunaopigiwa kelele na watanzania kila siku kwenye vyombo vya habari. JE YEYE NDIYE MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI? Au ni Nani sijaelewa

View attachment 2664532
Hamza Johari
Aendelee mola atamaliza ugomvi wetu na yeye .
 
IGA haina matatizo hayo unayoyasema wewe. Kama yapo yaweke hapa ili yafanyiwe kazi.

IGA imeandikwa na wajuzi wa sheria za uwekezaji na za kimataifa na usidhani ni kazi ya wiki moja au mbili, ni kazi iliyoumiza vichwa vya watu kwa miezi kadhaa.

Tuliingia mkataba na TICTS miaka 22 iliyopita, mbona nchi mpaka kesho bado imesimama?.

Unajaribu kupotosha kwa kujifanya muungwana anayetumia lugha za kiungwana.

Ni wale wale tu.
Mimi nitaikubali hiyo sifa ya kupotosha, kama itasaidia kuinusuru nchi yetu na ujinga huu unaoendelea ndani ya serikali hii.
 
Hizi ni propaganda nisizokuwa na muda nazo kabisa.
Samia akitaka kuwa kiongozi mzuri wa nchi hii, asimamie serikali yake na watendaji wake watimize wajibu wao kwa wananchi.
Afanye kazi na waTanzania zaidi kuliko kudhani waTazania hawawezi kufanya kazi kwa ufanisi.

Aaachane na hii tabia ya kufanya mambo kiujanja ujanja na hadaa. WaTanzania ni watu waelewa sana; wanapoona hila wanazitambua kuwa ni hila.
Wewe usidhani waTanzania hawakuelewa Magufuli alikuwa akifanya nini, pamoja na ukichaa wake mwingi aliokuwa akiuonyesha mara kwa mara.

Kama wewe unadhani Samia haleti uharibifu mkubwa katika anayoyafanya sasa, kuliko alivyokuwa akifanya Magufuli, waTanzania wanaelewa ni nani mwenye madhara makubwa kwa nchi yetu, kati ya Magufuli na Samia.

Kwa hiyo usije hapa na vitisho vya Magufuli, na kusifu umalaika wa Samia.
Uoga wako ni wa kawaida sana kusikika miongoni mwa watanzania. Mapinduzi ya TPA yalikuwa yanacheleweshwa na wezi wanaovaa masuti na tai nyekundu, dawa yao imeshapatikana.
 
Uoga wako ni wa kawaida sana kusikika miongoni mwa watanzania. Mapinduzi ya TPA yalikuwa yanacheleweshwa na wezi wanaovaa masuti na tai nyekundu, dawa yao imeshapatikana.
EEeeenHeeee!

Badala ya suti na tai nyekundu; kuna kundi jingine ambalo ni hatari zaidi, sitaki kueleza mavazi yao yalivyo.
Hata wakija uchi wa mnyama, ni matendo yao tu ndiyo yanayotuhusu.
 
KUNA mwanasheia mmoja anaitwa HAMZA JOHARI ndiye anayetolea ufafanuzi vipengele vya Mkataba wa Bandari kunaopigiwa kelele na watanzania kila siku kwenye vyombo vya habari. JE YEYE NDIYE MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI? Au ni Nani sijaelewa

View attachment 2664532
Hamza Johari
Hapana siyo mwanasheria wa serikali. Yeye ni mvaa kobazi.
 
KUNA mwanasheia mmoja anaitwa HAMZA JOHARI ndiye anayetolea ufafanuzi vipengele vya Mkataba wa Bandari kunaopigiwa kelele na watanzania kila siku kwenye vyombo vya habari. JE YEYE NDIYE MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI? Au ni Nani sijaelewa

View attachment 2664532
Hamza Johari
Mwenyekiti wa Timu ya majadiliano
 
Back
Top Bottom