Hamza Johari anahusiakaje na Mkataba wa Bandari?

Hamza Johari anahusiakaje na Mkataba wa Bandari?

Povu linakusumbua. Mnakuja kutaka kuponda maamuzi ya serikali wakati hamna hoja zozote za msingi.
Maamuzi ya serikali?
Hivi unatambua ulivyokiazi hasa kuandika kitu kama hiki?

Hiyo serikali ndiyo inayotumiliki, siyo, kwamba inaweza kutuamlia jambo lolote lile na sisi tukubali kila inachoamua; hata kama si kwa faida yetu?

Sijakosea kabisa kukuona wewe kuwa na upungufu mkubwa katika mawazo yako.
 
Hii nchi inawatu vilaza sana. Yani watu hamtaki hata kushughulisha vichwa vyenu kwenye upembuzi wa mambo, mmebaki kudandia mambo juu kwa juu pasi na kuwa na taarifa za msingi. Acheni ushabiki!
 
Ni kifaa kinachotumika kuiuza Tanzania.

Ukumbuke kwamba kuna watu waliotumika kuwauza wenzao utumwani enzi zile.

Usidhani enzi hizi watu wa aina hiyo hawapo, wapo sana, hata humu ukumbini wamo.
Hizi porojo za kuuza utumwani wapelekewe watoto wa darasa la saba na form one wanaofanya bado mitihani ya history ili wakariri kwa kujiandaa na mitihani yao ya kumaliza mwaka. Upuuzi mtupu.

Jamaa wapo katika bandarini zaidi ya 30 duniani, kote huko lengo lao ni kuurudisha tena utumwa!?.
 
Hizi porojo za kuuza utumwani wapelekewe watoto wa darasa la saba na form one wanaofanya bado mitihani ya history ili wakariri kwa kujiandaa na mitihani yao ya kumaliza mwaka. Upuuzi mtupu.

Jamaa wapo katika bandarini zaidi ya 30 duniani, kote huko lengo lao ni kuurudisha tena utumwa!?.
haya nilishakueleza juu yake, hapa unarudia vile vile, ulivyoyasemea tokea huko mwanzo!
Wao kuwa sehemu zote duniani siyo hoja, hoja wanakuja kwa masharti gani hapa kwetu.

Masharti ya huko kwingine hatuyajui, na hata kama tungeyajua, si lazima yawe ndiyo na sisi inatupasa kukubaliana nao.
Sisi tunaweza kuwa na uhitaji maalum ulio tofauti na hao wengine, au hao hao DP World, anaweza kuja na masharti tofauti na anayoyataka huko kwingine.

Kwa nini hutaki tuhoji tunayoyaona hayatufai katika makubaliano hayo ya IGA; ambayo ndiyo tunajua ni msingi wa makubaliano ya mikataba itakayofuata?

Unachosha sana kwa kutokuwa na akili za kuelewa unachoelezwa.
 
haya nilishakueleza juu yake, hapa unarudia vile vile, ulivyoyasemea tokea huko mwanzo!
Wao kuwa sehemu zote duniani siyo hoja, hoja wanakuja kwa masharti gani hapa kwetu.

Masharti ya huko kwingine hatuyajui, na hata kama tungeyajua, si lazima yawe ndiyo na sisi inatupasa kukubaliana nao.
Sisi tunaweza kuwa na uhitaji maalum ulio tofauti na hao wengine, au hao hao DP World, anaweza kuja na masharti tofauti na anayoyataka huko kwingine.

Kwa nini hutaki tuhoji tunayoyaona hayatufai katika makubaliano hayo ya IGA; ambayo ndiyo tunajua ni msingi wa makubaliano ya mikataba itakayofuata?

Unachosha sana kwa kutokuwa na akili za kuelewa unachoelezwa.
Kuna uzi wa mkataba mzima umo humu JF, na mjadala unaendelea kifungu kwa kifungu.

Tatizo upotoshaji upo hata huko kwenye hivyo vifungu vya mikataba. Wanasheria wameshaweka wazi kwamba hao DPW wakija hapa Tanzania watalazimika kujisajili BRELA wakifuata sheria za humu humu nchini.

Kinachoogopwa ni namna TPA itakavyokwenda kubadilisha mifumo yote ya uendeshaji na wezi wetu wanaokwepa kodi watakosa pa kukimbilia, hizi pesa za bure bure wanazogawa sasa hivi zitafikia mwisho.
 
Kuna uzi wa mkataba mzima umo humu JF, na mjadala unaendelea kifungu kwa kifungu.

Tatizo upotoshaji upo hata huko kwenye hivyo vifungu vya mikataba. Wanasheria wameshaweka wazi kwamba hao DPW wakija hapa Tanzania watalazimika kujisajili BRELA wakifuata sheria za humu humu nchini.

Kinachoogopwa ni namna TPA itakavyokwenda kubadilisha mifumo yote ya uendeshaji na wezi wetu wanaokwepa kodi watakosa pa kukimbilia, hizi pesa za bure bure wanazogawa sasa hivi zitafikia mwisho.
This is a reasonable response, lakini nikwambie jambo:

Serikali ikfanya jambo muhimu kama hili, na ionekane kama inafanya jambo lenyewe gizani, halafu ikishatiliwa mashaka makubwa katika mambo inayoyafanya ije na 'response' kama ilivyofanyika/inavyofanyika hapa, ni lazima watu watakuwa na mashaka makubwa.

Kumbuka, DP World siyo mwekezaji wa kwanza kuja kutaka kuwekeza hapa. TICTS, tayari tulikuwa nao hapa hapa, na walipokuwa wakichumbia, hali haikuwa tofauti na hii tunayoiona sasa hivi.

Nisiandike mengi, itoshe tu kusema hapa: 'credibility' ya Samia na serikali yake ipo mashakani sana, siyo katika jambo hili pekee, bali katika mambo mengi ambayo yamefanyika na watu kuhoji juu yake.

Mfano rahisi na ulio wazi zaidi ni mazungumzo ya maridhiano na CHADEMA na maswala yote yanayohusu Katiba Mpya, n.k.

Rais Samia siyo mtu wa kumwamini kwa lolote. Hii ndiyo staili yake ya utendaji na kuhadaa watu, kwa ujanja ujanja tu, katika maswala yaliyo muhimu sana katika nchi yetu.

Hao TPA unaowasema hapa, sina lolote la kuwatetea hao, na kwa kweli siyo hao tu. Nenda sehemu yoyote katika serikali yetu hii unipe mfano wowote wa kuigwa katika utendaji mzuri.
Sasa, una maana tutafute wawekezaji kila sehemu ili tufanyiwe kazi vizuri?

Kwa nini tusianzie huko juu, kwa kina Samia, ambao ndio wanaoshindwa kuwasimamia hawa wadogo wafanye kazi zetu vizuri.

haya yote nimekwishayaeleza kwako, lakini picha hiyo haikuingii kichwani kabisa. Naona unajojua kuliko kitu kingine chochote ni DP World (na siyo mwingine yeyote) aje hapa.
Hii ni ajenda yenu, siyo ajenda ya waTanzania.
 
haya nilishakueleza juu yake, hapa unarudia vile vile, ulivyoyasemea tokea huko mwanzo!
Wao kuwa sehemu zote duniani siyo hoja, hoja wanakuja kwa masharti gani hapa kwetu.

Masharti ya huko kwingine hatuyajui, na hata kama tungeyajua, si lazima yawe ndiyo na sisi inatupasa kukubaliana nao.
Sisi tunaweza kuwa na uhitaji maalum ulio tofauti na hao wengine, au hao hao DP World, anaweza kuja na masharti tofauti na anayoyataka huko kwingine.

Kwa nini hutaki tuhoji tunayoyaona hayatufai katika makubaliano hayo ya IGA; ambayo ndiyo tunajua ni msingi wa makubaliano ya mikataba itakayofuata?

Unachosha sana kwa kutokuwa na akili za kuelewa unachoelezwa.
Mkataba wa IGA hauendi kutumika kibiashara moja kwa moja, msijaribu kuleta upotoshaji na uzushi kwa wasomaji.

Hiyo mikataba mingine ndiyo yenye kwenda kutekelezwa na ubia kati ya mwekezaji na mzalendo. Mnajaribu kuja na taswira mbaya ili kujenga negative perception, hawasaidii, serikali ikiwa na la kwake ni ngumu sana kuzuia ufanisi wake usije kutokea.
 
This is a reasonable response, lakini nikwambie jambo:

Serikali ikfanya jambo muhimu kama hili, na ionekane kama inafanya jambo lenyewe gizani, halafu ikishatiliwa mashaka makubwa katika mambo inayoyafanya ije na 'response' kama ilivyofanyika/inavyofanyika hapa, ni lazima watu watakuwa na mashaka makubwa.

Kumbuka, DP World siyo mwekezaji wa kwanza kuja kutaka kuwekeza hapa. TICTS, tayari tulikuwa nao hapa hapa, na walipokuwa wakichumbia, hali haikuwa tofauti na hii tunayoiona sasa hivi.

Nisiandike mengi, itoshe tu kusema hapa: 'credibility' ya Samia na serikali yake ipo mashakani sana, siyo katika jambo hili pekee, bali katika mambo mengi ambayo yamefanyika na watu kuhoji juu yake.

Mfano rahisi na ulio wazi zaidi ni mazungumzo ya maridhiano na CHADEMA na maswala yote yanayohusu Katiba Mpya, n.k.

Rais Samia siyo mtu wa kumwamini kwa lolote. Hii ndiyo staili yake ya utendaji na kuhadaa watu, kwa ujanja ujanja tu, katika maswala yaliyo muhimu sana katika nchi yetu.

Hao TPA unaowasema hapa, sina lolote la kuwatetea hao, na kwa kweli siyo hao tu. Nenda sehemu yoyote katika serikali yetu hii unipe mfano wowote wa kuigwa katika utendaji mzuri.
Sasa, una maana tutafute wawekezaji kila sehemu ili tufanyiwe kazi vizuri?

Kwa nini tusianzie huko juu, kwa kina Samia, ambao ndio wanaoshindwa kuwasimamia hawa wadogo wafanye kazi zetu vizuri.

haya yote nimekwishayaeleza kwako, lakini picha hiyo haikuingii kichwani kabisa. Naona unajojua kuliko kitu kingine chochote ni DP World (na siyo mwingine yeyote) aje hapa.
Hii ni ajenda yenu, siyo ajenda ya waTanzania.
Rais angekuwa ni JPM muda huu tungekuwa tumeshamaliza hii biashara na wote wanaopinga hivi sasa wangekuwa wa kwanza kupokea mkataba kwa kupiga makofi mengi.

Samia kuamua kila kitu kijadiliwe hakuwa mjinga kama tunavyodhania. SSH ameshasema kuwa ndani ya miezi sita kuanzia sasa atakuwa anasoma kinachoendelea pale TPA akiwa ikulu.

Hatuwezi kuendeleza siasa nyingi za majitaka za majibizano wakati fursa ya kuongeza pato la taifa tunayo pale bandarini.

Hatuwezi kuendelea kusikiliza hoja nyingi za wapotoshaji wakati in reality ni muda wa kuleta mapinduzi ya uendeshaji wa bandari zetu.

Haupo uwezekano wa suala hili kuungwa mkono wakati linaziba mianya ya wapigaji wa humu humu ndani. Hii ni vita na waswahili wanasema maji ukiyavulia nguo sharti uyaoge, na tunaanza kuyaoga muda sio mrefu ujao.
 
Mkataba wa IGA hauendi kutumika kibiashara moja kwa moja, msijaribu kuleta upotoshaji na uzushi kwa wasomaji.
Itakuwa unayo matatizo katika kusoma na kuelewa ulichosoma, siyo bure.

Niseme mara ngapi, kwamba IGA ikiwa na matatzo ndani yake, itasababisha matatizo katika hiyo mikataba mingine, ndipo uelewe?
Hiyo mikataba mingine ndiyo yenye kwenda kutekelezwa na ubia kati ya mwekezaji na mzalendo. Mnajaribu kuja na taswira mbaya ili kujenga negative perception, hawasaidii, serikali ikiwa na la kwake ni ngumu sana kuzuia ufanisi wake usije kutokea
Sasa angalia ujuha huu hapa; tena unauandika bila ya aibu yoyote?
Umekwisha wadharau TPA, ambao hata mimi ninawadharau. Hii mikataba unayoisema hapa hao malaika watakaohusika nayo kuiandaa wakishirikiana na hao DP World safari hii utakwenda kuwaokota wapi?

Sasa ninakuomba rasmi, acha kuniwekea takataka hizi na kupoteza muda wangu bure.
 
Itakuwa unayo matatizo katika kusoma na kuelewa ulichosoma, siyo bure.

Niseme mara ngapi, kwamba IGA ikiwa na matatzo ndani yake, itasababisha matatizo katika hiyo mikataba mingine, ndipo uelewe?

Sasa angalia ujuha huu hapa; tena unauandika bila ya aibu yoyote?
Umekwisha wadharau TPA, ambao hata mimi ninawadharau. Hii mikataba unayoisema hapa hao malaika watakaohusika nayo kuiandaa wakishirikiana na hao DP World safari hii utakwenda kuwaokota wapi?

Sasa ninakuomba rasmi, acha kuniwekea takataka hizi na kupoteza muda wangu bure.
IGA haina matatizo hayo unayoyasema wewe. Kama yapo yaweke hapa ili yafanyiwe kazi.

IGA imeandikwa na wajuzi wa sheria za uwekezaji na za kimataifa na usidhani ni kazi ya wiki moja au mbili, ni kazi iliyoumiza vichwa vya watu kwa miezi kadhaa.

Tuliingia mkataba na TICTS miaka 22 iliyopita, mbona nchi mpaka kesho bado imesimama?.

Unajaribu kupotosha kwa kujifanya muungwana anayetumia lugha za kiungwana.

Ni wale wale tu.
 
Haya sasa, hebu ona ulaghai anaofanya Samia kwa waTanzania?
Ni ajabu sana huyu mama anavyowaona watu wa nchi hii na kufikiri hawana akili kabisa.
Sasa naanza kuelewa ni kwanini lukuvi na Kabudi ilibidi wawe nje ya Baraza
 
Rais angekuwa ni JPM muda huu tungekuwa tumeshamaliza hii biashara na wote wanaopinga hivi sasa wangekuwa wa kwanza kupokea mkataba kwa kupiga makofi mengi.

Samia kuamua kila kitu kijadiliwe hakuwa mjinga kama tunavyodhania. SSH ameshasema kuwa ndani ya miezi sita kuanzia sasa atakuwa anasoma kinachoendelea pale TPA akiwa ikulu.

Hatuwezi kuendeleza siasa nyingi za majitaka za majibizano wakati fursa ya kuongeza pato la taifa tunayo pale bandarini.

Hatuwezi kuendelea kusikiliza hoja nyingi za wapotoshaji wakati in reality ni muda wa kuleta mapinduzi ya uendeshaji wa bandari zetu.

Haupo uwezekano wa suala hili kuungwa mkono wakati linaziba mianya ya wapigaji wa humu humu ndani. Hii ni vita na waswahili wanasema maji ukiyavulia nguo sharti uyaoge, na tunaanza kuyaoga muda sio mrefu ujao.
Hizi ni propaganda nisizokuwa na muda nazo kabisa.
Samia akitaka kuwa kiongozi mzuri wa nchi hii, asimamie serikali yake na watendaji wake watimize wajibu wao kwa wananchi.
Afanye kazi na waTanzania zaidi kuliko kudhani waTazania hawawezi kufanya kazi kwa ufanisi.

Aaachane na hii tabia ya kufanya mambo kiujanja ujanja na hadaa. WaTanzania ni watu waelewa sana; wanapoona hila wanazitambua kuwa ni hila.
Wewe usidhani waTanzania hawakuelewa Magufuli alikuwa akifanya nini, pamoja na ukichaa wake mwingi aliokuwa akiuonyesha mara kwa mara.

Kama wewe unadhani Samia haleti uharibifu mkubwa katika anayoyafanya sasa, kuliko alivyokuwa akifanya Magufuli, waTanzania wanaelewa ni nani mwenye madhara makubwa kwa nchi yetu, kati ya Magufuli na Samia.

Kwa hiyo usije hapa na vitisho vya Magufuli, na kusifu umalaika wa Samia.
 
Back
Top Bottom