Hamza Mohamed Hassan azikwa makaburi ya Kisutu, Dar. Mazishi yachelewa kutoa risasi zilizokwama mwilini

Hamza Mohamed Hassan azikwa makaburi ya Kisutu, Dar. Mazishi yachelewa kutoa risasi zilizokwama mwilini

Usiku katoka kukesha bar asubuhi anasema anampigania Allah tusichanganye pombe na mambo ya dini pombe ni haram kwa mujib wa Quran yeye anajidai mtu wa jihad huku ana swaki na beer [emoji482]
Mtoto mjinga ni hasara kwa mamake Toto la hovyo sana hilo
 
Itafaa sana kama Mbatia atamuwakilisha Mbowe kwenye mazishi ya Gaidi Hamza.
Wakati Mwamba Hamza anaifadhili CCM ya Magufuli 200m, Ulikua unakata viuono mbele yake Bibie kwa furaha, maiti yake mnaikana pumbavu sana nyie MaCCM



1B213515-3AB0-470B-93D1-802DAC6077E3.jpeg
 
Mauaji yalisababushwa na polisi kutotenda haki, dhuluma! Mungu amuweke Mahali Pema Peponi
Hamza alisema anampigania Allah, hiyo yako ya kudhulumiwa umeisikia wapi?

Hamza yuko kwenye records akisema anampigania Allah.

Hamza ni Gaidi hilo liko wazi.

Serikali iwaondolee ndugu zake wasomali uraia, warudi kwao somalia wakauane.
 
Not at all, hakuna mahali ameacha MAANDISHI kuwa anampigania Allah. Amekufa akitoa indication All pointing to protest against police brutality
Hakuacha maandishi, ameonekana kwenye records za video akisema anampigania allah, hilo liko wazi.

Hiyo ya pointing police brutality alikwambia lini ama aliisema wapi?

Magaidi mnajaridu kumtetea gaidi mwenzenu wakati alisema mwenyewe anampigania allah.

Hata mumtetee vipi hamza ni gaidi na amesema mwenyewe.
 
Back
Top Bottom