Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko sahihi kabisa!! Na upande wa chama dola, nako tumtegemee Katibu Mkuu, au Katibu Mwenezi wa chama bila shaka!Itafaa sana kama Mbatia atamuwakilisha Mbowe kwenye mazishi ya Gaidi Hamza.
Wakati Mwamba Hamza anaifadhili CCM ya Magufuli 200m, Ulikua unakata viuono mbele yake Bibie kwa furaha, maiti yake mnaikana pumbavu sana nyie MaCCMItafaa sana kama Mbatia atamuwakilisha Mbowe kwenye mazishi ya Gaidi Hamza.
Endelea kudhulumu wengine mkikutana na akina Hamza msitupigie kelelehamza anajinasibu kumpigania Allah, jamaa lilikua kichwa maji jamaa
Shujaa anazikwaHamza Mohamed Hassan aliyefanya mauaji pale Selender bridge anazikwa leo na waislamu na rafiki na ndugu zake.
Tukio liko mubashara Global tv!
Palepale kwenye tukio.Sanamu la Hamza linajengwa wapi jamani?
Peponi na mahala pema ndo wapi? Ulishaga paona?Mauaji yalisababushwa na polisi kutotenda haki, dhuluma! Mungu amuweke Mahali Pema Peponi
Hamza alisema anampigania Allah, hiyo yako ya kudhulumiwa umeisikia wapi?Mauaji yalisababushwa na polisi kutotenda haki, dhuluma! Mungu amuweke Mahali Pema Peponi
Na warudishe madini waliyompora kwa ndugu zakeHamza Mohamed Hassan aliyefanya mauaji pale Selender bridge anazikwa leo na waislamu na rafiki na ndugu zake.
Tukio liko mubashara Global tv!
Nani?Na warudishe madini waliyompora kwa ndugu zake
WaliomdhurumuNani?
Hakuacha maandishi, ameonekana kwenye records za video akisema anampigania allah, hilo liko wazi.Not at all, hakuna mahali ameacha MAANDISHI kuwa anampigania Allah. Amekufa akitoa indication All pointing to protest against police brutality
Sanamu la Hamza linajengwa wapi jamani?
Salender bridgeSanamu la Hamza linajengwa wapi jamani?