Magaidi wafichuliwe na washughulikiwe kama wale wa Kibiti na Mozambique as we are speakingAcha stori zako ndugu
Hamza ni kada mtiifu na chama tawala kinamtambua, watuambie wamemtenda nini?
Gaidi gani anamiliki silaha kihalali?
Ina maana mnataka kuivua nguo serikali kwamba ilifanya poor vetting ndo maana Hamza akaruhusiwa kumiliki silaha??
Tungeitwa Chama cha Magaidi (CCM)Sipati picha Hamza angekuwa chadema
Yes, his message was very clear, IGP and his staff to stop brutuality. He had a golden chance to kill at least 200 inocent and unarmed civiliants but he did not! RIP Hamza!Not at all, hakuna mahali ameacha MAANDISHI kuwa anampigania Allah. Amekufa akitoa indication All pointing to protest against police brutality
You must be a law enforcer, a corrupted police I bet."...Huyo hata kumzika ni kumpendelea Sana "
pale sarenda yanapita madaladala ya kwenda tegeta n.k hayo madaladala yanajaza sana abiria angeamua kuchagua daladala moja akapiga vyuma vya kutosha leo tungesema hamza ni gaidi. mbili.pale mbele ya sarenda kuna benk ya stanbic kama angekuwa jambaz angeingia pale na kumwaga vyuma vya kutosha le tungesema mengine. tatu,kama hamza angekuwa chizi basi asingechagua wa kumtwaga vyuma angepiga yeyote aliyemuona mbele yake.Hamza ni mpumbavu...
Sio shujaaa...
Mauaji yalisababushwa na polisi kutotenda haki, dhuluma! Mungu amuweke Mahali Pema Peponi
Not at all, hakuna mahali ameacha MAANDISHI kuwa anampigania Allah. Amekufa akitoa indication All pointing to protest against police brutality
Mamwindi ni dini gani?Alichokifanya Hamza nakifananisha kiasi na alichowahi kukifanya Said Mwamwindi kwa RC Dr Kleruu.
Nami nitalichangia
Hao vijana ni wahanga tu wa mfumo wa dhulma uliopo ndani ya PT.Probably Mwamwindi had an issue with the RC. Ingawa njia ya kutatua tatizo haikuwa sahihi kabisa, Wale vijana aliowauwa Hamza walikosa nini?