MabatiBeiNafuu
Member
- Aug 24, 2021
- 72
- 65
Muacheni Hamza apumzike. Do not be so cold blooded!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Video ina more than 3 hours wewe umeangalia mpaka mwisho au umekurupuka tu kujibu?Hao "maelfu" mbona hawaonekani sasa?
Sasa mbona umeweka avatar yake je? na ww ni mpumbavuHamza ni mpumbavu...
Sio shujaaa...
Unaipenda Argentina kwanza kabla ya Tanzania?Mwenyewe nimestaajabu 🤣
🇦🇷🇹🇿❤
Mtadakwa kama kuku wa sikukuuNashauri zitengenezwe tshirt zenye jina na picha yake, wadau tuzivae kitaa.
Unaipenda Argentina kwanza kabla ya Tanzania?
Luangalila pole sana kwa msiba usilie utazoea.kikubwa tuache dhulma
Ndio Mkuu ulisemalo ni kweli inafika muda wananchi uvumilivu unawashinda Polisi wa nchi nyingi ni Vimeo Sana Mkuu,Political stability hamza hana cha kupoteza.amejitoa muhanga kudai haki yake.ule ni ujasiri .tukienda hv dhulma itapungua
Upambavu wake, umemfanya afe kijinga , na kuua askari wasio kuwa na hatia..
Kama ka dhulumiwa, yeye sio kwanza kudhulumiwa hapa duniani.. Ona sasa, anaicha familia yake kwenye machungu, hana tofauti na mtu aliye jinyonga kisa kaachwa na mpenz wake.
Na mabikira sabini😃😃😃😃Sawa,ataenda peponi