Samahani Sheikh Mohamed Said, suala langu ni kwa nini aliachia ngazi wiki sita baada ya uhuru? Mbona sababu inayotolewa ya kuijenga TANU bado ina mashaka kwangu?Kwezisho,
Wala hilo la Lofchie halipo katika niliyoeleza.
Michael Lofchie na mimi Chuo Kikuu cha Iowa
Nyerere alifanikiwa kuwafukuza wakoloni, hakuna asiyefahamu msimamo wa Nyerere dhidi ya mataifa ya Ulaya na Marekani na hata kwa baadhi ya Mataifa au Viongozi wa Afrika walioonyesha kutumiwa na hao wamagharibi. Alionekana hadharani akiwapinga waziwazi, hivi kwa akili yako unadhani leo akitokea "KANJANJA" mmoja anayetaka kumshusha hadhi Nyerere wataacha kumuunga mkono!? Hivi unadhani wataacha kumpigia nyimbo za pongezi! Wao wenyewe hawampendi kwa sababu alikuwa mwiba kwao hadi mauti yanamkuta! Hivyo mialiko hiyo inawezekana kabisa na nidhihaka kwako kwa kutotaka kuthamini mtu aliyewatoa jasho! Hivi kwa akili yako, hao kina Sykes unaowatukuza walishindwa nini kwenda wao kama wao huko kwa Malkia!? Hivi ni akili nzuri kweli kutaka kuwaweka mizani Sawa na Kambarage!? Wao walishindwa nini hata kumbembeleza ajiunge nao!? Nani anafahamika kimataifa!? Wataachaje kukualika wakati unajaribu kumshasha mtu ambao wao wenyewe wanatamani hata asitamkwe kwa sababu aliwawekea kauzibe!? Ukombozi wa Tanganyika ulianza siku mkoloni alipoingia Tanganyika na wala haukuasisiwa na hao kina Sykes unaotaka tuwaabudu!! Nani asiyefahamu kuwa kina Bwana Heri walinyongwa sababu ya kudai uhuru!? Nani asiyefahamu Kuwa kina Chief Mirambo, Mkwawa wote hao hawakumtaka mkoloni!? Hao kina Sykes ni kina nani hasa hadi unatulazimisha kwa nguvu zote tuwaabudu!? Hivi, hujui kuwa mtoto anaweza kuwa maarufu kuliko baba!? Hujui kuwa mtoto anaweza kupata mafanikio makubwa kuliko baba!? Obama ni Rais wa Marekani, historia itamkumbuka yeye au baba yake!? Hitler aliusumbua huu ulimwengu miaka ya 1939 - 1945, historia inamkumbuka baba yake au yeye!? Wewe unataka tumshushe hadhi Nyerere eti pazia limeshushwa, tumlaumu baba yako aliyejinyima ukapata hiyo elimu unayotaka kuitumia vibaya au tukulaumu wewe!? Nyerere alikibeba Chama baada ya kuingia hivyo lazima historia itamkumbuka tu! Hao kina Sykes ni kama WAZAZI wanaofurahia matunda yaliyo letwa na kijana Nyerere waliyemkaribisha chamani kama baba anavyojivunia mafanikio ya mwanae!!
Samahani Sheikh Mohamed Said, suala langu ni kwa nini aliachia ngazi wiki sita baada ya uhuru? Mbona sababu inayotolewa ya kuijenga TANU bado ina mashaka kwangu?
Samahani Sheikh Mohamed Said, suala langu ni kwa nini aliachia ngazi wiki sita baada ya uhuru? Mbona sababu inayotolewa ya kuijenga TANU bado ina mashaka kwangu?
Samahani Sheikh Mohamed Said, suala langu ni kwa nini aliachia ngazi wiki sita baada ya uhuru? Mbona sababu inayotolewa ya kuijenga TANU bado ina mashaka kwangu?
Kwezisho,Samahani Sheikh Mohamed Said, suala langu ni kwa nini aliachia ngazi wiki sita baada ya uhuru? Mbona sababu inayotolewa ya kuijenga TANU bado ina mashaka kwangu?
Huwezi ukumtusi katika maandishi, pembeni unamsumanga na kumtusi sana ukitawanya ile sumu watu wamchukie na wachukiane! Soma hapa chini halafu unishawishi kuwa wanaomfahamu Mwalimu wamefurahia maneno hayo. Nishawishi kuwa Familia ya Mwl ikisoma haya itafurahi. Nishawishi kuwa maneno haya yangeandikwa dhidi ya Abdul Sykes ungefurahi. Wewe siku zote humwendea mbio Nyerere kwasbabu bila yeye utaandika nini kuhusu Abdul Sykes? Na hilo ni kosa, Abdul Sykes hawekwi mizani moja na Nyerere. Ndio maana wengine tumeamua sasa kukuonyesha kuwa Abdul si size ya Nyerere wala baba yakeNguruvi3,
Umepandwa na hamaki hata unasema maneno ambayo mie sijasema.
Wala sitajitetea kwa kuwa hakuna maana.
Kwangu mimi historia ya Mwalimu Nyerere katika TANU na kudai uhuru
nimeieleza na hivyo nimelishusha pazia.
Baada ya hilo kilichofata ni ''reviews'' za kitabu mialiko kutoka vyuo kadhaa
Afrika, Ulaya na Marekani.
Hakuna hata mtafiti mmoja aliyesoma kitabu na paper zangu aliyenishutumu
mimi kwa matusi dhidi ya Nyerere.
Kwezisho,
Nasikitika kukufahamisha kuwa baada ya mimi kuandika
kitabu cha Abdul Sykes kumeingia ''disinterest'' kwa hii
historia ya Nyerere kwetu sote.
Nyerere amekuwa sasa si muhimu tena baada ya ukweli
kujulikana katika historia ya AA, TAA na TANU.
Na nadhani baada ya Abdul na Ally Sykes kupewa nishani
katika kumbukumbu ya miaka 50 wa uhuru wa Tanganyika
kutambua mchango wao katika kupambana wa ukoloni sasa
hakuna tena jipya.Imekuwa kama vile katika ''show,'' pazia limeshushwa.
Hapa tunawapa wana historia ni fursa ya kudadavua na kuangalia sababu halisi za hili tukio, sio kawaida kutokea na linahitaji kuangaliwa kwa mapana. Je huwezi kutusaidia kujua kiini cha hilo jambo?Kwezisho,
Sijui kilipitika kitu kipi.
Nguruvi3,Huwezi ukumtusi katika maandishi, pembeni unamsumanga na kumtusi sana ukitawanya ile sumu watu wamchukie na wachukiane! Soma hapa chini halafu unishawishi kuwa wanaomfahamu Mwalimu wamefurahia maneno hayo. Nishawishi kuwa Familia ya Mwl ikisoma haya itafurahi. Nishawishi kuwa maneno haya yangeandikwa dhidi ya Abdul Sykes ungefurahi. Wewe siku zote humwendea mbio Nyerere kwasbabu bila yeye utaandika nini kuhusu Abdul Sykes? Na hilo ni kosa, Abdul Sykes hawekwi mizani moja na Nyerere. Ndio maana wengine tumeamua sasa kukuonyesha kuwa Abdul si size ya Nyerere wala baba yake
Kwezisho,Hapa tunawapa wana historia ni fursa ya kudadavua na kuangalia sababu halisi za hili tukio, sio kawaida kutokea na linahitaji kuangaliwa kwa mapana. Je huwezi kutusaidia kujua kiini cha hilo jambo?
Nashukuru sana labda wapo wengine watatusaidia ili tuelimikeKwezisho,
Hapana sina nilijualo katika hilo.
Nguruvi3,Mohamed Saidi sina tatizo na historia yako unayoandika. Zimeandikwa nyingi na ni jukumu la wasomaji kuamua wenyewe. Sipangani na historia hata siku moja
Ninachokataa ni mambo yafutayo
1. Kuficha ukweli ili kupumbaza baadhi ya watu
2. Kupotosha umma makusudi kabisa
3. Kashfa na kejeli
4. Kuchomeka mbegu mbaya na chafu za ubaguzi
Tumekuwa katika mijadala nawe siku nyingi kuhusu haya.
Baada ya hapo wengine tukakaa kimya kwani hakuna jipya la kuongea nawe.
Ni yale yale, nimekula na wazungu, hiki na kile
Kilichonirudisha ni kashfa zako dhidi ya Nyerere ukitaka uwe sawa naye na Abdul Sykes awe zaidi ya Nyerere.
Sina tatizo ukipamba watu wako, lakini si kwa gharama ya Nyerere
Unawaweka Nyerere na Abdul katika mizani kama ulivyowahi ktk vitabu vyako.
Sasa hivi unawaweka katika mizani kisha unawapa maksi na matusi hapo hapo
Nakuambia wazi bila kuuma maneno, huwezi kumlinganisha Nyerere na Sykes
Na wewe pamoja nao hamuwezi kushusha pazia la mwalimu katika historia
Hatuna interest na picha za album yako tunataka haya
1. Katiba ya chama cha siasa iliyowahi kuandikwa na Familia ya Sykes 1929-1950
2. Mkutano ambao TANU ilitajwa kabla ya kuzuinduliwa na Nyerere(kadi namba 1)kwavile jina alikuja nalo Abd Sykes kutoka Burma, moja tu
Yericko,Mzee wangu Mohamed Said, mengi unaandika mazuri, lakini mengi unaandika uongo, Nitakujibu hapa hapa upotoshaji wako, lakini mengi nimekujibu kupitia kitabu changu kiitwacho Ujasusi wa Kidola na Kiuchumi.
Dowload hapa chini sasa..
Amazon.com: Ujasusi wa Kidola na Kiuchumi (Afrikaans Edition) eBook: YERICKO NYERERE: Kindle Store
Kwa waliopo Dar wanaohitaji kitabu cha Ujasusi wa Kidola na Kiuchumi kwa mauzo ya jumla na rejareja fika Posta mtaa wa Samora Jengo la NHC ghorofa ya kwanza duka la House of Wisdom Bookshop,
Au piga simu 0715865544. / 0755865544 Utaletewa mahali ulipo
Bei Rejareja ni Shilingi 30,000 na Bei ya jumla ni 25,000
Wale waliopo nje ya Tanzania, nunueni kupitia mtandao wa Amazon.com
Sijaamini historia ya kivukoni, in fact niliwahi kuhoji hata kabla hujaandika kitabuKatiba ya TAA 1950 haikuandikwa na Abdul peke yake.
Iliandikwa na TAA Political Subcommittee na wajumbe wake nimekutajia.
Nyerere alikuwa mwanadamu kama wengine. Mwaka 1929 alikuwa na miaka 4 tu, ni obvious hakushiriki wala kujua uwepo wa vyama vya siasa
Nyerere alikuta vyama vipo, ni ukweli kabisa na alijiunga
Hata hivyo, hatuwezi kudharau, kukejeli na kumtusi Nyerere ili kuwafanya akina Abdul Sykes wawe maarufu. Hili halikubaliki kama unavyolitenda na kulifanya
Tunawaheshimu hawa wazee wote waliotusaidia kufika hapa.
Kitendo cha kusema Nyerere si Muhimu katika historia kuliko Abdul Sykes, ni kuwaweka wawili hawa katika mizani
Hapo ndipo tatizo linapoanza , maana tukiuliza facts mnakimbia
Tuwaweke katika mizani tu hakuna shida.
Lakini hatutakaa kimya watu wakitumia jina la Nyerere kumtuhumu, kumzuishia, kumdhalilisha kumtukana kama unavyofanya Mohamed Said ili Abdul awe maarufu! Ney!
Abdul Sykes siyo saizi ya Nyerere the least to say
Nguruvi3,Sijaamini historia ya kivukoni, in fact niliwahi kuhoji hata kabla hujaandika kitabu
Na wala sikuamini Dar iliyokuwepo haikuwa na historia.
Haya sikUyajua katika vitabu vyako, nimejifunza siku nyingi sana.
Nimevisoma vitabu vyako na vya wengine ili kupata mizania nzuri, ndio hasa msingi wa kuweza kukubana nikitaka. Nina background sikusubiri masimulizi uya microfilm
Historia yako imejikita zaidi Tandamti, una resource za kutosha kuipanua
Hukufanikiwa kuipanua, uliiandika kwa jicho la dini kuliko historia
Ukasahau, dini haihitaji historia ili iwepo, ilikuwepo kabla
Ulitumia historia kama platform ya kuonyesha kuna waliopigania uhuru haswa
Kwa mtazamo huo, nikilinganisha na wengine nakusoma katika jicho la ubaguzi
Unajua wazi Nyerere alikuwa educated kuliko Abdul
Unajua harakati zilikuwepo bila mweleko.
Unajua chini ya uongozi wa Nyerere kilichomshinda Kleist na Abdul kwa miaka takribani 20 Nyerere alikimaliza kwa miaka 10. You know that
Njia ya mkato uliyotafuta baada ya ile ya dini kugonga mwamba ni kumfanya Nyerere public enemy, hilo limekwama, unakuja na dharau na kumdhalilisha.
Lete ushahidi wa katiba iliyoandikwa na Sykes, hatuhitaji bla bla za
subcommittee n.k. Lete katiba aliyoandika Kleist au Mwanae Abdul au wote
Lete ushahidi wa mkutano aliofanya Abdul kabla ya Kambarage hajasema sasa ni TANU.
Mwisho sina interest na picha zako hazi add value katika knowledge yangu.
In fact unazitumia kuziba ombwe la inferiority complex ulingane lingane...
Unadhani kunywa chai na mzungu it's a big deal! lol
Mzee Muhamed unajua kila binaadam amepata malezi tofauti ktk udogo wake mpaka ukubwani.Yericko,
Hongera kwa kuandika kitabu.
Unastahili pongezi kwani uandishi wa kitabu si kazi nyepesi.
Ungeweza kusema ''sisemi kweli,'' ni lugha ya kistaarabu kuliko
kuniita ''muongo.''
Ushachapa kitabu iko miiko yake katika lugha na semi lazima
ujifunze kwa kuwa utaalikwa kuzungumza kwingi.
Usende huko ukatufedhehesha.
Sahimtz,Mzee Muhamed unajua kila binaadam amepata malezi tofauti ktk udogo wake mpaka ukubwani.
Kuna wengine wamekosa kabisa malezi sikuhizi wanaitwa watoto wa mitaani.
Kwahiyo kuitwa MUONGO usishangae pengine nikatika hao watoto wa mitaani.
Mtu aliekosa malezi ni mtu anaeweza kutamka lolote lile bila kijali nani anamtamkia au kufanya lolote bila kujali athari zake.
Kutunga kitabu hakuondoi makuzi machafu ya mtunzi.
Nimemuwekee matusi kwa Nyerere mara 4, hajajibu hata mojaUmekazana kutapika "kumtusi Nyerere" lakini mpaka sasa hujaweka nukuu hata moja ya kuonesha hilo. Unabwabwaja na kuhororoja bila mpango wakati Alama Mohamed Said anakupa vitu kimpangilio na "citations" na mapicha juu.
Wacha kupinga hewa, njoo na vitu "solid", unajizidishia maradhi bure bilash.
Hayo ndiyo unataka kusikia ukisifiwa hutaki kuelezwa ukweli. Huyo wa msg ndio wa blog yako, na nilishakuambia waje hapa tuzungumze. Mohamed, tatizo lako una bragging nyingi katika kuficha inferiority complex.Nguruvi3,
Ushahidi wa TAA Political Subcommiittee nimekuwekea ''source,'' mbili na
zote umezikataa.
Nimekuwekea taarifa ya Abdul Sykes (1951) mwenyewe na ya Judith
Listowel katika kitabu chake, ''The Making of Tanganyika,'' (1965) na
ya Cranford Pratt, ''Critical Phase in Tanzania,'' (1976).
Hawa wamezungumza kuhusu hiyo katiba kabla yangu.
Hayo mengine sina haja ya kukujibu kwa kuwa umeghadhibika.
Kuna mtu simjui kaniletea msg ningependa na wewe uione:
''shkrn sheikh inshaAllah. umefanya wajibu mkubwa sana.
tunasoma tupo pmja. rejea zote fanunuzi zote zipo sahihi
lugha vinakidhii hadhi kubwa sheikh shkrn kwa muda uliotumia
kukusanya hizii data...''
Nguruvi3,Hayo ndiyo unataka kusikia ukisifiwa hutaki kuelezwa ukweli. Huyo wa msg ndio wa blog yako, na nilishakuambia waje hapa tuzungumze. Mohamed, tatizo lako una bragging nyingi katika kuficha inferiority complex.
Kuhusu katiba ya chama chochote cha siasa, hatutaki maelezo, weka ushahidi hapa wa kuonyesha uwepo wa katiba hiyo. Umehamisha goli, siyo microfilm tena iliyonyofolewa
Umesema ya Nyerere alikopi, nasema onyesha ya Abdul aliyo kopi nitashukuru
Kuanzia mwaka 1929-1968 hakuna Sykes yoyote aliyewahi kuandika, kudurusu, kunukushi au kukopi katiba. Hakuna ! Hawakujua, si kosa hata kidogo
Mjanja mmoja aliyafahamu haya kutoka Scotland, akafanya kazi ya miaka 20 kwa miaka 10, akawaongoza wakashinda kwa pamoja. Hakuwa Abdul Sykes
Nguruvi3,Nimemuwekee matusi kwa Nyerere mara 4, hajajibu hata moja