Asante sana kwa mohammed said kukwataka kuandika historia mpya ya tanganyia kama sio tanzania,
Lakini lazima ujue uwezi kuandia historia mpya bila ya kumweka nyerere pia kama wao hao kina syks ,sijui tewa waliona umuimu wa nyerere iweje ww nani kukataa mchango wake kama wao wenyewe waliona hawawezi kuendelea bila kumkabizi chama nyerere, siwezi nikakubishia kwa sababu mm n kijana mdogo sana wa miaka ya tisini , na pia siwezi kukubaliana na ww kwa sababu unavyoonekana huko biasi sana nakutaka kumtenga nyerere kwa sababu n mkristo ma hao kina syks ma ww n waislam
Ahsante, na hakika ni kijana mdogo unayesoma na kufikiri.
Wengi wanadhani tupingana na maandishi. La hasha, tunapinga upotoshaji na udhalilishaji ambao Mohamed ameufanya kwa muda mrefu, tulimpuuza lakini kadri siku zinavyokwenda anafikia pabaya
Alichokifanya Nyerere hakisemwi kama serikali bali Nyerere
Mwinyi akimsweka Rumande Kassim Juma ilikuwa ni serikali si Mwinyi
Majuzi Ponda katiwa korokoni na Kikwete, ilikuwa serikali, si Kikwete
Hayo yanaonyesha chuki mbaya iliyojaa kifuani kwa huyu mzee
Kwamba hukumu yake ni dhidi ya mtu kwa kumwangalia kupitia jicho lingine
Maandishi yake yamelenga kumdhalilisha Nyerere na hilo amefanikiwa sana.
Bado kiu na matamanio ya kumsumanga Nyerere hayajaisha,anadai amefunga pazi la historia ya Nyerere na kwamba Nyerere si muhimu tena si lolote si chote katika sisi na Tifa! Tazama alipofikia
Yeye na Abdul Sykes sasa wamefunga pazia la Nyerere! real
Mohamed anajiweka level ya Nyerere ili Abdul awe juu zaidi! Tazama hatari hii
Huyu Mohamed analingana na Nyerere kweli kiasi cha kufikia pazia lake ktk show
Hayo yote anayafanya ili kumuonyesha Sykes na familia yao kuwa ni watu muhimu sana katika Taifa hili.
Na anafanya hivyo kumweka katika mizani Abdul Sykes na Nyerere
Tukiwaweka katika mizani utaona dhalili. Ima wanadhalilika wote, na likely Abdul
Ndiyo maana tunamsihi aandike historia, asiandike kwa lengo la kumtukana Nyerere, kumdhalilisha na kumfanya nothing.
Anaweza kuandika tu bila chuki za kikabila au kidini na akasomeka vizuri