Hamza Mwapachu, Abdulwahid Sykes na Chief Michael Lukumbuzya

Hamza Mwapachu, Abdulwahid Sykes na Chief Michael Lukumbuzya

Mohamed , Pasco alisema kuwa jitihada zako ni kuhakikisha unamdhalilisha Nyerere.

Ukaomba ushahidi, nikauweka mara tatu kwa maneno yako ''Nyerere si muhimu tena katika historia''

Ingawa umesema ni kwa mujibu wako tunajua nia yako dhidi ya Nyerere.

Una chuki dhidi ya Nyerere , unaandika na kuficha ukweli. Unamtukana kwa lugha laini na unajua kwa muumini unafiki kauzungumzia mwenyezi mungu

UtasemaNyerere alimfukuza Sheikh Amir, hutaeleza sheikh alikuwa nafanya nini misikitini dhidi ya Nyerere.

Hutasema Mwinyi alimwendea sawa Kassimu Juma, utatumia neno serikali.

Hata siku moja hujaandika Kikwete kamfunga Ponda, unatumia serikali.

Ikifika kwa Nyerere, si serikali ni mtu.

Mohamed, Nyerere ni figure ambayo huwezi kuiwekea katika mizani na yoyote katika nchi hii, Afrika na Dunia. Nyerere anabaki kuwa Nyerere. Period!

Amebadili harakati zikazaa matunda. Ameandika katiba ya chama na Nyaraka Hadi zitakapopatikana nyingine, ukweli, alibadili siasa kwa elimu na utaalamu.

Nyerere amewakuta, akawaongoza na kuongoza Taifa miaka zaidi ya 20.
Huwezi kudharu mchango wake na huwezi kufuta historia hiyo! Nitty gritty

Kuhusu majadiliano,kufunzwa adabu ni suala moja, kutumia mafunzo ni suala jingine na kuelewa mafunzo ni jingine.

ungekukwa umefunzwa adabu usingemtukana Nyerere kwa ''semantics''.
Ndiyo maana mimi situmii ''semantics' nakueleza ukweli.
Ndio maana hatutaki kuwa wanafiki tunasema wazi

Siwezi kuwa mshenzi wa kudharau mchango wa mzee yoyote yule aliyepigania uhuru wa nchi hii popote alipo, mwenyezi awarehemu waliotangulia

Siwezi kuvaa vazi la chuki na upumbavu kudhalilisha mzee au mtu yoyote wa nchi hii popote alipo kwa lugha yoyote.

Pazi la Nyerere haliwezi kushushwa, anazungumzwa Dunia kila siku

Unaweza kuwa na chuki na Nyerere ni haki yako, lakini chuki hizo si sehemu ya historia ya nchi hii. Ni chuki zako moyoni na zitafutie dawa, historia si mojawapo

Narudia tena, Kyaruzi, Kidaha, Chaurembo, Sykes, Mkwawa, Mirambo, Selengie n.k. wana nafasi zao katika nchi hii, tyunawashukuru. Nyerere ana nafasi yake ambayo haifutwi kwa pazia la Abdul hata siku moja. Ishi na uchungu huo

Abdul hakuwahi kuingia baraza lolote la utawala wa nchi hii.Ni ukweli.
Hakuwahi kutawala nchi hii hata kwa dakika moja, ni ukweli.
Unaposema anafunga pazia la show ya Nyerere ni matusi!
Mohamed , Pasco alisema kuwa jitihada zako ni kuhakikisha unamdhalilisha Nyerere.

Ukaomba ushahidi, nikauweka mara tatu kwa maneno yako ''Nyerere si muhimu tena katika historia''

Ingawa umesema ni kwa mujibu wako tunajua nia yako dhidi ya Nyerere.

Una chuki dhidi ya Nyerere , unaandika na kuficha ukweli. Unamtukana kwa lugha laini na unajua kwa muumini unafiki kauzungumzia mwenyezi mungu

UtasemaNyerere alimfukuza Sheikh Amir, hutaeleza sheikh alikuwa nafanya nini misikitini dhidi ya Nyerere.

Hutasema Mwinyi alimwendea sawa Kassimu Juma, utatumia neno serikali.

Hata siku moja hujaandika Kikwete kamfunga Ponda, unatumia serikali.

Ikifika kwa Nyerere, si serikali ni mtu.

Mohamed, Nyerere ni figure ambayo huwezi kuiwekea katika mizani na yoyote katika nchi hii, Afrika na Dunia. Nyerere anabaki kuwa Nyerere. Period!

Amebadili harakati zikazaa matunda. Ameandika katiba ya chama na Nyaraka Hadi zitakapopatikana nyingine, ukweli, alibadili siasa kwa elimu na utaalamu.

Nyerere amewakuta, akawaongoza na kuongoza Taifa miaka zaidi ya 20.
Huwezi kudharu mchango wake na huwezi kufuta historia hiyo! Nitty gritty

Kuhusu majadiliano,kufunzwa adabu ni suala moja, kutumia mafunzo ni suala jingine na kuelewa mafunzo ni jingine.

ungekukwa umefunzwa adabu usingemtukana Nyerere kwa ''semantics''.
Ndiyo maana mimi situmii ''semantics' nakueleza ukweli.
Ndio maana hatutaki kuwa wanafiki tunasema wazi

Siwezi kuwa mshenzi wa kudharau mchango wa mzee yoyote yule aliyepigania uhuru wa nchi hii popote alipo, mwenyezi awarehemu waliotangulia

Siwezi kuvaa vazi la chuki na upumbavu kudhalilisha mzee au mtu yoyote wa nchi hii popote alipo kwa lugha yoyote.

Pazi la Nyerere haliwezi kushushwa, anazungumzwa Dunia kila siku

Unaweza kuwa na chuki na Nyerere ni haki yako, lakini chuki hizo si sehemu ya historia ya nchi hii. Ni chuki zako moyoni na zitafutie dawa, historia si mojawapo

Narudia tena, Kyaruzi, Kidaha, Chaurembo, Sykes, Mkwawa, Mirambo, Selengie n.k. wana nafasi zao katika nchi hii, tyunawashukuru. Nyerere ana nafasi yake ambayo haifutwi kwa pazia la Abdul hata siku moja. Ishi na uchungu huo

Abdul hakuwahi kuingia baraza lolote la utawala wa nchi hii.Ni ukweli.
Hakuwahi kutawala nchi hii hata kwa dakika moja, ni ukweli.
Unaposema anafunga pazia la show ya Nyerere ni matusi!
Nguruvi3,
Tunaweza hapa tukaenda hivi hivi hadi wasomaji wakawa taaban.
Wewe umesema na mimi nimesema na wasomaji wametusoma.

Sitakuuliza kama umekubali kuwa wazee wangu waliandika katiba.
Kwangu mimi kubwa ni kuwa nimeweka sawa historia ya TANU.

Baada ya hilo pazia nimelishusha.
 
Nguruvi3,
Tunaweza hapa tukaenda hivi hivi hadi wasomaji wakawa taaban.
Wewe umesema na mimi nimesema na wasomaji wametusoma.

Sitakuuliza kama umekubali kuwa wazee wangu waliandika katiba.
Kwangu mimi kubwa ni kuwa nimeweka sawa historia ya TANU.

Baada ya hilo pazia nimelishusha.
Pazi la Nyerere hujalishusha na hutalishushwa

Lipo si Kariakoo, bali Johannesburg hadi Shanghai. London hadi Accra
Nyerere anazuzungumzwa Washington hadai Tokyo.

Pazia lake ni kubwa halishushwi hovyo au kwa mbadala.

Utamtukana weee, mwisho wa siku anabaki kuwa Julius Kambarage Nyerere

Nyaraka za katiba ukipata zilete, lakini leo lazima uelewe aliyeandika katiba ya chama cha siasa kwa elimu ni nyerere! Hakuna hadithi za kupotea kunyofolewa, ukweli unasimama!

Nyerere ameongoza watu aliowakuta kupata Uhuru! Ni ukweli tu

Ametawala nchi kwa miaka 20+ na ameshiriki mabaraza yote ya Mkoloni na Tanganyika huru kufikia maamuzi ya nchi hii.

Abdul ana mchango wake tunauthamini lakini hakuwahi kuongoza Taifa hili kwa sekunde 10! Atafuta vipi historia ya Nyerere?

Ukubali ukweli, chuki na unafiki si sehemu ya uungwana.

Una mengi ya kuifunza dunia hii, chuki isipoteze mwelekeo wako.

Utamchukia Nyerere mwisho wa siku ni Nyerere na heshima kubwa nchini na Duniani.

Nyerere alimfukuza Sheikh Ameir kama Mwinyi alivyomtenda Kassim Juma au Kikwete na Ponda. Ukweli usemwe tuache kujificha katika unafiki!

Unafiki una aya maalumu zilizoletwa kuuzungumzia!
 
Pazi la Nyerere hujalishusha na hutalishushwa

Lipo si Kariakoo, bali Johannesburg hadi Shanghai. London hadi Accra
Nyerere anazuzungumzwa Washington hadai Tokyo.

Pazia lake ni kubwa halishushwi hovyo au kwa mbadala.

Utamtukana weee, mwisho wa siku anabaki kuwa Julius Kambarage Nyerere

Nyaraka za katiba ukipata zilete, lakini leo lazima uelewe aliyeandika katiba ya chama cha siasa kwa elimu ni nyerere! Hakuna hadithi za kupotea kunyofolewa, ukweli unasimama!

Nyerere ameongoza watu aliowakuta kupata Uhuru! Ni ukweli tu

Ametawala nchi kwa miaka 20+ na ameshiriki mabaraza yote ya Mkoloni na Tanganyika huru kufikia maamuzi ya nchi hii.

Abdul ana mchango wake tunauthamini lakini hakuwahi kuongoza Taifa hili kwa sekunde 10! Atafuta vipi historia ya Nyerere?

Ukubali ukweli, chuki na unafiki si sehemu ya uungwana.

Una mengi ya kuifunza dunia hii, chuki isipoteze mwelekeo wako.

Utamchukia Nyerere mwisho wa siku ni Nyerere na heshima kubwa nchini na Duniani.

Nyerere alimfukuza Sheikh Ameir kama Mwinyi alivyomtenda Kassim Juma au Kikwete na Ponda. Ukweli usemwe tuache kujificha katika unafiki!

Unafiki una aya maalumu zilizoletwa kuuzungumzia!
Nguruvi,
Mimi sina tatizo na yote usemayo.
Kitabu cha Abdul Sykes kimechapwa mwaka wa 1998.

Kimesomwa na kinaendelea kusomwa na hivi sasa
tunakwenda toleo la nne.

Kitabu kimependwa na kimejaza kile kilichopungua katika
historia ya nchi yetu.

Kwa upande wangu baada ya kuandika kitabu hicho nina
vitabu nimeandika na nimealikwa kwenye vyuo kadhaa
kuzungumza.

Utafiti wa historia ya TANU kwangu umekwisha imebaki
simulizi na ndiyo nasema pazia nimelishusha.
 
Pazi la Nyerere hujalishusha na hutalishushwa

Lipo si Kariakoo, bali Johannesburg hadi Shanghai. London hadi Accra
Nyerere anazuzungumzwa Washington hadai Tokyo.

Pazia lake ni kubwa halishushwi hovyo au kwa mbadala.

Utamtukana weee, mwisho wa siku anabaki kuwa Julius Kambarage Nyerere

Nyaraka za katiba ukipata zilete, lakini leo lazima uelewe aliyeandika katiba ya chama cha siasa kwa elimu ni nyerere! Hakuna hadithi za kupotea kunyofolewa, ukweli unasimama!

Nyerere ameongoza watu aliowakuta kupata Uhuru! Ni ukweli tu

Ametawala nchi kwa miaka 20+ na ameshiriki mabaraza yote ya Mkoloni na Tanganyika huru kufikia maamuzi ya nchi hii.

Abdul ana mchango wake tunauthamini lakini hakuwahi kuongoza Taifa hili kwa sekunde 10! Atafuta vipi historia ya Nyerere?

Ukubali ukweli, chuki na unafiki si sehemu ya uungwana.

Una mengi ya kuifunza dunia hii, chuki isipoteze mwelekeo wako.

Utamchukia Nyerere mwisho wa siku ni Nyerere na heshima kubwa nchini na Duniani.

Nyerere alimfukuza Sheikh Ameir kama Mwinyi alivyomtenda Kassim Juma au Kikwete na Ponda. Ukweli usemwe tuache kujificha katika unafiki!

Unafiki una aya maalumu zilizoletwa kuuzungumzia!

Povu linakutoka kwa kuungulika matumbo, moyo unakudunda kwa maradhi uliyonayo.

Jee, unajuwa kuwa Nyerere aliwahi kuwa mgeni wa Abdul Sykes nyumbani kwa akina Sykes?

Kama jibu ni ndiyo, Why?

Kwanini asifikie kwa akina Nguruvi3?

Hapo sasa!

Alama Mohamed Said kaandika historia ambayo huna njia ya kuipinga hata chembe, unajidai kuja na tactics zilizopitwa na wakati za character assassination. Ambazo hazizidishi hazipunguzi, kitabu kipo madukani, kipo vyuo vikuu, kipo majumbani, tumekisoma na tunaendelea kukisoma haituishii hamu.

Jee, unamjuwa Mshume Kiyate kabla ya kumsoma kwa Alama Mohamed Said?
 
Nguruvi,
Mimi sina tatizo na yote usemayo.
Kitabu cha Abdul Sykes kimechapwa mwaka wa 1998.

Kimesomwa na kinaendelea kusomwa na hivi sasa
tunakwenda toleo la nne.

Kitabu kimependwa na kimejaza kile kilichopungua katika
historia ya nchi yetu.

Kwa upande wangu baada ya kuandika kitabu hicho nina
vitabu vitabu nimeandika na nimealikwa kwenye vyuo
kadhaa kuzungumza.

Utafiti wa historia ya TANU kwangu umekwisha imebaki
simulizi na ndiyo nasema pazia nimelishusha.
Mimi sina tatizo na vitabu vyako, wala historia unayoandika.

Nina tatizo na jinsi ulivyovaa koti la kinafiki.
Naomba nikuambie ukweli! Unafiki umekatazwa na mwenyezi mungu

Nyerere kamfukuza Amir, huelezi sababu bali kuaminisha ni hivyo tu
Mwinyi alimtenda Kasim Juma, kwa unafiki unasema Serikali
Kikwete kamsweka rumande Ponda , kwa unafiki unasema serikali

Nyerere alikuwa mwanasiasa kuanzia Makerere na Tabora.
Na alihudhuria mkutano mkuu mwaka 1948.
Kwa unafiki unasema kaja Dar 1952. Unaficha ukweli

Yapo unayoyaandika na kuyarudia ukijua hayana ukweli,kwa unafiki unaendelea nayo.

Ili kukamilisha azma sasa unafikia mahali pa kuporomosha mitusi kwa Nyerere.

Kwa umri hulingani naye, kwa elimu hamlingani na kwa heshima hampo sawa

Huwezi kumtukana Nyerere ili kumkuza Abdul Sykes.Nyerere anabaki kuwa hivyo na historia yake. Huwezi kuibadili historia yake kwa matusi , kashfa na kejeli

Ndio maana tunasema, unachofanya ni kuwatukana hawa wazee ingawa uwezo wako wa kuliona hilo umevia.

Kila mmoja kati ya hao ana nafasi yake.Tukiwalinganisha ni kuwadhalilisha
Nyerere ametawala miaka 23 ,Abdul hakuwahi kutawala kwa sekunde 10.
Ndiyo unataa yazungumzwe haya? Huoni tatizo mkuu

Unazungumza mambo kwa njia za kinafiki.

Leo unamsuta Pasco kwa kusema mapinduzi matukufu.
Unamlaumu Nyerere kupeleka jeshi.

Unasema ni dhambi kuhusu mapinduzi maana watu walikufa.
Huu ni unafiki, waambie wazanzibar mapinduzi hukubaliani nayo.

Unaogopa kuwaambia unachikiri ukijua wazanzibar hawatavulia mitusi

Usiwatukane wazanzibar kwa njia za kinafiki.
Waambie wznz kuwa mapinduzi yalikuwa haramu na ya Nyerere

Mwisho nakushauri uende ukasome aya zinazohusu unafiki na manafiki
 
Mimi sina tatizo na vitabu vyako, wala historia unayoandika. Nina tatizo na jinsi ulivyovaa koti la kinafiki. Naomba nikuambie ukweli! Unafiki umekatazwa na mwenyezi mungu

Nyerere kamfukuza Amir, huelezi sababu bali kuaminisha ni hivyo tu
Mwinyi alimtenda Kasim Juma, kwa unafiki unasema Serikali
Kikwete kamsweka rumande Ponda , kwa unafiki unasema serikali

Nyerere alikuwa mwanasiasa kuanzia Makerere na Tabora.
Na alihudhuria mkutano mkuu mwaka 1948.
Kwa unafiki unasema kaja Dar 1952. Unaficha ukweli

Yapo mengi unayoyaandika na kuyarudia ukijua hayana ukweli lakini kwa unafiki unaendelea nayo.

Ili kukamilisha azma sasa unafikia mahali pa kuporomosha mitusi kwa Nyerere.
Kwa umri hulingani naye, kwa elimu hamlingani na kwa heshima hampo sawa
Huwezi kumtukana Nyerere ili kumkuza Abdul Sykes

Ndio maana tunasema, unachofanya ni kuwatukana ingawa uwezo wako wa kuliona hilo umevia. Kila mmoja kati ya hao ana nafasi yake.
Tukiwalinganisha ni kuwadhalilisha

Unazungumza mambo kwa njia za kinafiki. Leo unamsuta Pasco kwa kusema mapinduzi matukufu. Unamlaumu Nyerere kupeleka jeshi.

Unasema ni dhambi kuhusu mapinduzi maana watu walikufa.
Huu ni unafiki, waambie wazanzibar mapinduzi hukubaliani nayo.

Si kuwatukana wazanzibar kwa njia za kinafiki.
Waambie wznz kuwa mapinduzi yalikuwa haramu na ya Nyerere

Mwisho nakushauri uende ukasome aya zinazohusu unafiki
Nguruvi3,
Ngoja nianze na sifa za mnafik.
Akisema anasema uongo.

Akiahidi hatimizi.
Akiaminiwa anavunja amana.

Hivi ndivyo Mtume wetu SAW alivyotufunza.

Mtafute nani mwenye sifa hizi katika historia ya TANU na kudai uhuru
wa Tanganyika.

Nani kasema uongo katika historia hii?
Nani aliahidi na hakutimiza?

Na nani alivunja amana?
Unataka kumjua Sheikh Hassan bin Amir?

Ingia hapa:
Mohamed Said: KUTOKA JF: SHEIKH HASSAN BIN AMIR ALIVYOIONGOZA TANU KUWA CHAMA CHA KISEKULA

Hayo mengine sikuona haja ya kuyajibu kwani kama nilivyosema hiki
kitabu ni toka mwaka wa 1998 kilijibu historia iliyokuwapo hadi hapo.

Lazima ifike mahali hata katika ''show,'' ndefu pazia lishushwe.
Historia ya TANU sasa inajulikana kwa upana na marefu yake.
 
Lazima ifike mahali hata katika ''show,'' ndefu pazia lishushwe.
Historia ya TANU sasa inajulikana kwa upana na marefu yake.
N sifa nyingine ya mnafiki ni kukcheka aikuchukia. Kusifu akikung'ong'a

Huwezi kumtukana Nyerere ukasema unamheshimu !
Huwezi kuwatukana wazanzibar ukajificha nyuma ya Uislam

Vyovyote iwavyo, Nyerere ni smart. Unawajua wajumbe wa LEGCO?

Historia ya TANU kujulikana ni jambo jema kabisa.
Hata hivyo, historia haiwezi kubadilishwa kama ilivyokuwa.

Nyerere alibadilisha mtazamo wa siasa za Tanganyika.

Aliongoza mapambano dhidi ya mkoloni, alipewa uhuru wa nchi hii na mwingereza uwanja wa Taifa. Aliongoza kwa miaka 20
Kuanzia ujana wake alionekana smart,Makerere, Tabora hadi Edinburgh etc

Umahiri wake ulivuka mipaka na kuwagusa watu wengine

Nyerere alikuwa mwenyekiti wa front-line states kupinga ubaguzi na uonevu

Alikuwa kiongozi wa AU na statesman wa Afrika.

Huko UN wanamtambua kwa weledi na misimamo yake thabiti

Nyerere alikuwa miongoni mwa viongozi 6 waliounda kamati ya 'disarmament'

Na alikuwa mjumbe wa South-south commission

Kila siku anatajwa katika jamii na ni reference ya uongozi na viongozi

Anajulikana kila kona ya nchi hii licha ya kuwa kaburini miaka zaidi ya 10
Anajulikana Afrika na duniani kwa heshima zake, si kupakwa mafuta ya lazima

Pazia lake halifungwi kwa historia ya mtu mwingine. Na hakuna anayewekwa katika mizani ya siasa za nchi hii katika miaka ya 1900 na Nyerere.Hakuna

Pazia la Nyerere halifungwi na maandishi ya kinafiki! Umma umetambua sasa

Nyerere alikuja, akawaelimisha, akawaongoza!
Akabadili siasa za masoko na chini ya miembe kuwa za kisasa.

Aliandika katiba ya kwanza ya siasa!

Hakuna mwingine aliyewahii kuandika katiba ya chama cha siasa! Hakuna

Ukimlinganisha Nyerere na Abdul unamtafutia dhalili!
Abdul halingani na Nyerere! Nitty gritty

Ni kidonge kichungu huna budi kukimeza
 
N sifa nyingine ya mnafiki ni kukcheka aikuchukia. Kusifu akikung'ong'a

Huwezi kumtukana Nyerere ukasema unamheshimu !
Huwezi kuwatukana wazanzibar ukajificha nyuma ya Uislam

Vyovyote iwavyo, Nyerere ni smart. Unawajua wajumbe wa LEGCO?

Historia ya TANU kujulikana ni jambo jema kabisa.
Hata hivyo, historia haiwezi kubadilishwa kama ilivyokuwa.

Nyerere alibadilisha mtazamo wa siasa za Tanganyika.

Aliongoza mapambano dhidi ya mkoloni, alipewa uhuru wa nchi hii na mwingereza uwanja wa Taifa. Aliongoza kwa miaka 20
Kuanzia ujana wake alionekana smart,Makerere, Tabora hadi Edinburgh etc

Umahiri wake ulivuka mipaka na kuwagusa watu wengine

Nyerere alikuwa mwenyekiti wa front-line states kupinga ubaguzi na uonevu

Alikuwa kiongozi wa AU na statesman wa Afrika.

Huko UN wanamtambua kwa weledi na misimamo yake thabiti

Nyerere alikuwa miongoni mwa viongozi 6 waliounda kamati ya 'disarmament'

Na alikuwa mjumbe wa South-south commission

Kila siku anatajwa katika jamii na ni reference ya uongozi na viongozi

Anajulikana kila kona ya nchi hii licha ya kuwa kaburini miaka zaidi ya 10
Anajulikana Afrika na duniani kwa heshima zake, si kupakwa mafuta ya lazima

Pazia lake halifungwi kwa historia ya mtu mwingine. Na hakuna anayewekwa katika mizani ya siasa za nchi hii katika miaka ya 1900 na Nyerere.Hakuna

Pazia la Nyerere halifungwi na maandishi ya kinafiki! Umma umetambua sasa

Nyerere alikuja, akawaelimisha, akawaongoza!
Akabadili siasa za masoko na chini ya miembe kuwa za kisasa.

Aliandika katiba ya kwanza ya siasa!

Hakuna mwingine aliyewahii kuandika katiba ya chama cha siasa! Hakuna

Ukimlinganisha Nyerere na Abdul unamtafutia dhalili!
Abdul halingani na Nyerere! Nitty gritty

Ni kidonge kichungu huna budi kukimeza

Nnaona kidonge kimekuingia wewe na ni kigumu kwako kukimeza. Umeandika yote tuliyoyazowea, Mohamed Said kaja na ambayo hukuyategemea kuyasikia na yanakuwia vigumu kuyameza, kuyakataa unashindwa kwa kuwa ndiyo ukweli na ukweli ukidhihiri uongo hujitenga.

Duniani sasa tunaelewa kuwa kumbe hata jina la TANU Nyerere alilikuta tayari lipo na lilishabuniwa zamani kimataifa. Dah! Kuna cha kupinga hapo?

Sasa tunaelewa kumbe harakati za kujitafutia uhuru zilianza toka 1929 kabla hata ya nchi kukabidhiwa kwa Waingereza na Umoja wa Mataifa na hazikuanzia kwa Nyerere. Kuna cha kupinga hapo?

Povu linakutoka kwa kuungulika matumbo, moyo unakudunda kwa maradhi uliyonayo.

Jee, unajuwa kuwa Nyerere aliwahi kuwa mgeni wa Abdul Sykes nyumbani kwa akina Sykes?

Kama jibu ni ndiyo, Why?

Kwanini asifikie kwa akina Nguruvi3?

Hapo sasa!

Alama mohamed Said kaandika historia ambayo huna njia ya kuipinga hata chembe, unajidai kuja na tactics zilizopitwa na wakati za character assassination. Ambazo hazizidishi hazipunguzi, kitabu kipo madukani, kipo vyuo vikuu, kipo majumbani, tumekisoma na tunaendelea kukisoma haituishii hamu.

Jee, unamjuwa Mshume Kiyate kabla ya kumsoma kwa Alama Mohamed Said?
 
"FaizaFoxy, post: 16540492, member: 43551"]]Mohamed Said[/USER] kaja na ambayo hukuyategemea kuyasikia, kuyakataa unashindwa kwa kuwa ndiyo ukweli na ukweli ukidhihiri uongo hujitenga.
Aha ndiyo maana nipo hapa kuyakataa. Ni kweli kaja na mapya, kwa mfano, kusema Nyerere aliletwa Dar na Kaselabantu mwaka 1952 kutoka Makerere ni habari mpya.

Nyerere alikuwa mwanachama wa chama cha wanafunzi akiwa Makerere. Alipokuwa Tabora alikuwa katibu wa chama, na Tabora ilikuwa ni tawi kubwa.

Alihudhuria mkutano mwaka 1948. Alifundisha Pugu kabla ya kujiuzulu.

Kwamba, alibebwa kutoka Makerere mzobe mzobe hadi kwa Abdul Sykes ni historia mpya
Duniani sasa tunaelewa kuwa kumbe hata jina la TANU Nyerere alilikuta tayari lipo na lilishabuniwa zamani kimataifa
. Jina hilo ilitumika wapi officially kabla ya Nyerere kulitangaza? Nionyeshe kati ya 1900 hadi 1954 wapi TANU ilitumika kama jina la chama cha siasa?
Sasa tunaelewa kumbe harakati za kujitafutia uhuru zilianza toka 1929 kabla hata ya nchi kukabidhiwa kwa Waingereza na Umoja wa Mataifa na hazikuanzia kwa Nyerere
harakati zilianza miaka mingi kabla ya hapo.
Maji maji ikiwemo.
Jee, unajuwa kuwa Nyerere aliwahi kuwa mgeni wa Abdul Sykes nyumbani kwa akina Sykes?
Yes, kama vile Mandela alipokuwa mgeni wa Nyerere na kulala kwa Nsilo Swai
Kwanini asifikie kwa akina Nguruvi3?
Well, Nyerere alikuwa mtu mmoja, angefika kila nyumba na kwa kila mtu angepata wapi muda wa kuandika katiba ya chama?
Alama mohamed Said kaandika historia ambayo huna njia ya kuipinga hata chembe,kitabu kipo madukani, kipo vyuo vikuu, kipo majumbani, tumekisoma na tunaendelea kukisoma haituishii hamu.
Nani anaweza kupinga historia? Historia haiumbwi , inaelezwa na inajieleza.

Utapinga vipi kuwa Nyerere ndiye aliyeandika katiba ya chama cha siasa Tanganyika?

Utapinga vipi kuwa Nyerere ndiye alikabidhiwa nchi na Waingereza?

Utapinga vipi ukweli Abdul Sykes alikwenda Burma na alikuwa pay master wa Kariakoo?

Historia haipingwi kinachopingwa ni upotoshaji ndani ya historia.
 
Aha ndiyo maana nipo hapa kuyakataa. Ni kweli kaja na mapya, kwa mfano, kusema Nyerere aliletwa Dar na Kaselabantu mwaka 1952 kutoka Makerere ni habari mpya.

Nyerere alikuwa mwanachama wa chama cha wanafunzi akiwa Makerere. Alipokuwa Tabora alikuwa katibu wa chama, na Tabora ilikuwa ni tawi kubwa.

Alihudhuria mkutano mwaka 1948. Alifundisha Pugu kabla ya kujiuzulu.

Kwamba, alibebwa kutoka Makerere mzobe mzobe hadi kwa Abdul Sykes ni historia mpya
. Jina hilo ilitumika wapi officially kabla ya Nyerere kulitangaza? Nionyeshe kati ya 1900 hadi 1954 wapi TANU ilitumika kama jina la chama cha siasa? harakati zilianza miaka mingi kabla ya hapo.
Maji maji ikiwemo. Yes, kama vile Mandela alipokuwa mgeni wa Nyerere na kulala kwa Nsilo Swai
Well, Nyerere alikuwa mtu mmoja, angefika kila nyumba na kwa kila mtu angepata wapi muda wa kuandika katiba ya chama? Nani anaweza kupinga historia? Historia haiumbwi , inaelezwa na inajieleza.

Utapinga vipi kuwa Nyerere ndiye aliyeandika katiba ya chama cha siasa Tanganyika?

Utapinga vipi kuwa Nyerere ndiye alikabidhiwa nchi na Waingereza?

Utapinga vipi ukweli Abdul Sykes alikwenda Burma na alikuwa pay master wa Kariakoo?

Historia haipingwi kinachopingwa ni upotoshaji ndani ya historia.

Mpaka sasa sijaona unalolipinga kuhusu maandiko ya Mohamed Said. Nnaona mengi unayarudia yale yale ambayo Mohamed Said kuyaandika tayari na umeyatoa kwake bali unajaribu kuyapindisha.

Jee, uliwahi kumsoma Mshume Kiyate kabla ya kumsoma kwa Mohamed Said?
 
N sifa nyingine ya mnafiki ni kukcheka aikuchukia. Kusifu akikung'ong'a

Huwezi kumtukana Nyerere ukasema unamheshimu !
Huwezi kuwatukana wazanzibar ukajificha nyuma ya Uislam

Vyovyote iwavyo, Nyerere ni smart. Unawajua wajumbe wa LEGCO?

Historia ya TANU kujulikana ni jambo jema kabisa.
Hata hivyo, historia haiwezi kubadilishwa kama ilivyokuwa.

Nyerere alibadilisha mtazamo wa siasa za Tanganyika.

Aliongoza mapambano dhidi ya mkoloni, alipewa uhuru wa nchi hii na mwingereza uwanja wa Taifa. Aliongoza kwa miaka 20
Kuanzia ujana wake alionekana smart,Makerere, Tabora hadi Edinburgh etc

Umahiri wake ulivuka mipaka na kuwagusa watu wengine

Nyerere alikuwa mwenyekiti wa front-line states kupinga ubaguzi na uonevu

Alikuwa kiongozi wa AU na statesman wa Afrika.

Huko UN wanamtambua kwa weledi na misimamo yake thabiti

Nyerere alikuwa miongoni mwa viongozi 6 waliounda kamati ya 'disarmament'

Na alikuwa mjumbe wa South-south commission

Kila siku anatajwa katika jamii na ni reference ya uongozi na viongozi

Anajulikana kila kona ya nchi hii licha ya kuwa kaburini miaka zaidi ya 10
Anajulikana Afrika na duniani kwa heshima zake, si kupakwa mafuta ya lazima

Pazia lake halifungwi kwa historia ya mtu mwingine. Na hakuna anayewekwa katika mizani ya siasa za nchi hii katika miaka ya 1900 na Nyerere.Hakuna

Pazia la Nyerere halifungwi na maandishi ya kinafiki! Umma umetambua sasa

Nyerere alikuja, akawaelimisha, akawaongoza!
Akabadili siasa za masoko na chini ya miembe kuwa za kisasa.

Aliandika katiba ya kwanza ya siasa!

Hakuna mwingine aliyewahii kuandika katiba ya chama cha siasa! Hakuna

Ukimlinganisha Nyerere na Abdul unamtafutia dhalili!
Abdul halingani na Nyerere! Nitty gritty

Ni kidonge kichungu huna budi kukimeza
Nguruvi3,
Sifa zote hizo ulizompa Mwalimu Nyerere anastahili kabisa na ni
zake hakuna wa kuzipinga ila hili la historia ya TANU hiki chama
hakikuanza kwake.

Na kusema hivi si kuwa namdharau Nyerere au namfananisha
na Abdul Sykes.

La hasha ila kila mtu nampa kile alichostahili.

Ni bahati mbaya sana kuwa Nyerere alitaka sana iwe yeye ndiye
aliyeasisi TANU.

Hii ndiyo sababu wewe unataabika kwa kuwa umekuwa ukiamini
kitu ambacho si kweli na imekuwa hivyo kuanzia miaka ya 1960.

Angalia tu mpangilio wa kadi za TANU.

TANU Kadi No. 1 Julius Nyerere, kadi No. 2 Ally Sykes, kadi No.
3 Abdulwahid Sykes, kadi No. 4 Dossa Aziz, kadi no. 5 Denis
Pombeah, Dome Budohi
(kutoka Kenya), kadi no. 6 John Rupia,
kadi no 7 Titi Mohamed, kadi no. 16 na Iddi Tosiri, kadi no. 25
kuzitaja kadi chache za TANU.

Mwandishi wa kadi hizi alikuwa Ally Sykes na ndiye aliyezichapa
Tanganyika Standard kwa fedha zake binafsi.

Kuandika historia hii si kumdharau Mwalimu Nyerere bali ni
kuiweka sawa historia ya TANU.

Angalia hii picha hapo chini:

20160617_063824.jpg


Picha hii ilipigwa mwaka wa 1972 Ruiru Nairobi.

Kushoto ni mimi na kulia ni Dome Budohi mwenye kadi ya TANU no. 6 na
hawa wote niliokutajia walimjua Nyerere 1952/53 kupitia mgongo wa
Abdul Sykes.

Unaweza ukakataa na ukapenda kuamini unachoamini lakini katiba ya
Waafrika wa Tanganyika ya siasa iliandikwa 1950 na si mimi nimesema haya.

Judith Listowel (1965) na Cranford Pratt (1976) wote wameeleza hili
achilia mbali Abdul Sykes (1951).

Hili la katiba si moja ya sifa za Nyerere hata ukitakaje hili haliwezi kuwa.
Kunyofolewa kwa nyaraka na microfilm hakukusaidia.

Hilo soko unalolidharau leo ndilo lililomjenga Nyerere akapata kufahamika
na jamaa wengi wa kimjini kama Mshume Kiyate, Shariff Abdallah Attas
na wengineo watu ambao walikuja kuwa msaada mkubwa kwa TANU, Nyerere
na harakati za kudai uhuru.


5yOgGLiB21TJibkfHctUxG1ubRS5xtCnSh0PhfU6qNcenn49sLTM8IGIHg94qeCQCwWuXGE3III6oIC9sBcUBKPtUCBRQHHlR3DIqyeChRdIF7PzPCA1Pgs4p9gkc4b4BpGAGYMBlcI_uPdbdCumRRZSyP2XdG5ArKliIZ4uCxvIeVMI6CVoIk7tZTz65auPFyLy59j_J0TPVu4hyiK7A47W6m2xVzufsCCpXEjG5FqGyqADY5XHLYGjhPwgNytruDA5KhyDvW-Scml1Nezq-xMjY3zyOss18BYXJBFXmukPj1xXdlz9pQhEJhCAxYhE6SGrjyRLV7Ya_mM93copF2PdvzlwC8xnhHCRDfPWRLxbbaiGkMxvY-S0lN0_6QzMyrRlnU2EcSXdfdk9_LLwx10yFoY8wVPrUUwIZOMdHtkYLMREpJOpxqVFDzA9DxtPRuKK-DvfxtJ0sOGqFa7DwpIpIeaIaoXrwHf0SKwF6riamc53gdoWoVSEU1GeAiwhyk1SKsOd9LSVmdKwXg03SVXD-De8OX4eo-vutmSoHF6-8_T_An5nFBHWA4D5PqrUjUPOOKgpRYBSt4o94XAbjWrbQU5wKE0=w493-h657-no

Shariff Abdallah Attas

Bahati mbaya wewe hujui michango ya watu hawa katika TANU na ukielezwa
unachafukwa na roho.

Nyerere hakumuelimisha yeyote katika mambo ya kudai uhuru harakati kazikuta
pevu kabisa na ushahidi ni huu niliokuwekea hapa.

Abdul Sykes na Earle Seaton ndiyo walifungua ukurasa mpya wa siasa 1950.
Je ungependa nikupe darsa hili Bwana Nguruvi3?
 
Mpaka sasa sijaona unalolipinga kuhusu maandiko ya Mohamed Said. Nnaona mengi unayarudia yale yale ambayo Mohamed Said kuyaandika tayari na umeyatoa kwake bali unajaribu kuyapindisha.

Jee, uliwahi kumsoma Mshume Kiyate kabla ya kumsoma kwa Mohamed Said?
Hapana, napkataa upotoshaji. Narudia tena siwezi kupinga Abdul kwenda Burma au kuwa pay master, ni ukweli. Lakini kwamba ndiye aliyeleta uhuru ni urongo

Mshume Kiyate ni muuza ng'onda maarufu sana. Siku moja alikutana na Nyerere akiwa anaenda kuomba mboga sokoni, akampa sh 200.
Tunamshukuru kwa mchango wake kwani ni kupitia watu kama hawa uhuru uliwezekana

Hata hivyo, umuhimu wa Nyerere hauondolewi na mtu, kila mmoja ana nafasi yake
Na kwamba historia haikamiliki bila Nyerere ni ukweli usio na shaka

Kwamba Nyerere alibadiili siasa za mitaani kuwa modern politics halihitaji certificate kulijua
 
"Mohamed Said, post: 16540866, member: 12431"]Nguruvi3,
Sifa zote hizo ulizompa Mwalimu Nyerere anastahili kabisa na ni
zake hakuna wa kuzipinga ila hili la historia ya TANU hiki chama
hakikuanza kwake.
Ahsante kutambua hilo kwa dhati kabisa
Chama kilianza kwa Nyerere. Nionyeshe mahali popote au mkusanyiko wowote uliotumia jina la TANU kabla ya Nyerere kutangaza.
Na kusema hivi si kuwa namdharau Nyerere au namfananisha na Abdul Sykes
Ni jambo baya kuwafananisha watu hawa. Ima utaishia kumdhalilisha mmoja au wote, likely utamdhalilisha Abdul. Nyerere hawekwi katika mizani na Abdul.
Ni bahati mbaya sana kuwa Nyerere alitaka sana iwe yeye ndiye
aliyeasisi TANU.
Tunaomba ushahidi kuwa 'Nyerere alitaka' kama kuna nyaraka yoyote ya Nyerere kutaka iweke hapa, kama huna huko ndiko kumsingizia katika ile kauli ya 'ukitaka kumuua mbwa mpe jina'
TANU Kadi No. 1 Julius Nyerere, kadi No. 2 Ally Sykes, kadi No.3 Abdulwahid Sykes, kadi No. 4 Dossa Aziz, kadi no. 5 Denis
Pombeah, Dome Budohi
(kutoka Kenya), kadi no. 6 John Rupia,
kadi no 7 Titi Mohamed, kadi no. 16 na Iddi Tosiri, kadi no. 25
kuzitaja kadi chache za TANU.
Alaa kumbe kadi ya kwanza ni ya Nyerere na si ya mwenye chama Abdul! ahsante maana hapa unatueleza TANU
Mwandishi wa kadi hizi alikuwa Ally Sykes na ndiye aliyezichapaTanganyika Standard kwa fedha zake binafsi.
Tunamshukuru kwa mchango wake, kama Rupia na akina Selengie
Unaweza ukakataa na ukapenda kuamini unachoamini lakini katiba ya
Waafrika wa Tanganyika ya siasa iliandikwa 1950 na si mimi nimesema haya.
wazungu wanasema out of sight out of mind. Kilichopo ni Nyerere kuandika katiba ya kwanza ya chama cha siasa Tanganyika. Hadi itakapoletwa nyaraka nyingine huo utabaki ukweli na ukweli mtupu.

Hizi habari za makabrasha kuliwa na panya , kupotea ni hadithi njema, si ukweli. The fact is Nyerere ndiye aliyeandika katiba na ku-modernize politics za Tanganyika kutoka katika vijiwe na migahawa na kuwa katika international std.

Ni ukweli tu usihangaike kujibu. Utajibu vipi ukweli?

Judith Listowel (1965) na Cranford Pratt (1976) wote wameeleza hili
achilia mbali Abdul Sykes (1951).
Wameeleza tu , nyaraka ipo wapi?

Hatuwezi kuishi kwa hadithi za mapokeo. Hizi ndizo zinazopotosha umma.

Kama wanadhani au kuhisi hilo ni sawa, kama wana evidence weka hapa
Hili la katiba si moja ya sifa za Nyerere hata ukitakaje hili haliwezi kuwa.
Kunyofolewa kwa nyaraka na microfilm hakukusaidia.
Limekuwa maana ndilo lenye ushahidi.

Hayo mengine ya micro film ni hadithi. Kinachojulikana Nyerere msomi alitazama siasa na kuona umuhimu wa kuandika katiba kama chama cha siasa.

Hadi itakapopatikana nyaraka mbadala, hii iliyopo ndiyo ukweli
Bahati mbaya wewe hujui michango ya watu hawa katika TANU na ukielezwaunachafukwa na roho.
Kutokujua si dhambi, dhambi ni kupotosha umma na hilo ndilo linachefua kama ulivyosema.

Historia ya TANU haiandikwi kwa kumtuhumu Nyerere, wala picha za watu.

Inaandikwa kwa facts, ndiyo maana tunasema lete katiba aliyoandika Abdul K sykes Mbuwane
Nyerere hakumuelimisha yeyote katika mambo ya kudai uhuru harakati kazikutapevu kabisa na ushahidi ni huu niliokuwekea hapa.
Alipowaandikia katiba ilikuwa elimu. Aliokuja na kuwaongoza ilikuwa elimu.

Alipopewa nchi ilikuwa elimu.

Akija kuungana nao alikuwa na elimu yake njema tu na exposure nzuri ya kisiasa na si mizinga. Kwa elimu yake kadi yake ni number 1. Hata wenyewe walitambua hilo
Abdul Sykes na Earle Seaton ndiyo walifungua ukurasa mpya wa siasa 1950.
Je ungependa nikupe darsa hili Bwana Nguruvi3?
Well, sihitaji upotoshaji maana ndio nina upinga.

Nyerere ndiye aliyefungua ukurasa wa siasa za kileo.

Kakaa chini kaandika katiba na kuanza mipango ya kuwaongoza aliowakuta.

Hadi nyaraka nyingine itakapoletwa ukweli unabaki kuwa kupitia Nyerere siasa za mitaani zikachukua nafasi ya modern politics

Unaweza kupinga utakavyo, lakini si ndiye alikuwa Rais wa TANU na kupewa nchi?
 
Aha ndiyo maana nipo hapa kuyakataa. Ni kweli kaja na mapya, kwa mfano, kusema Nyerere aliletwa Dar na Kaselabantu mwaka 1952 kutoka Makerere ni habari mpya.

Nyerere alikuwa mwanachama wa chama cha wanafunzi akiwa Makerere. Alipokuwa Tabora alikuwa katibu wa chama, na Tabora ilikuwa ni tawi kubwa.

Alihudhuria mkutano mwaka 1948. Alifundisha Pugu kabla ya kujiuzulu.

Kwamba, alibebwa kutoka Makerere mzobe mzobe hadi kwa Abdul Sykes ni historia mpya
. Jina hilo ilitumika wapi officially kabla ya Nyerere kulitangaza? Nionyeshe kati ya 1900 hadi 1954 wapi TANU ilitumika kama jina la chama cha siasa? harakati zilianza miaka mingi kabla ya hapo.
Maji maji ikiwemo. Yes, kama vile Mandela alipokuwa mgeni wa Nyerere na kulala kwa Nsilo Swai
Well, Nyerere alikuwa mtu mmoja, angefika kila nyumba na kwa kila mtu angepata wapi muda wa kuandika katiba ya chama? Nani anaweza kupinga historia? Historia haiumbwi , inaelezwa na inajieleza.

Utapinga vipi kuwa Nyerere ndiye aliyeandika katiba ya chama cha siasa Tanganyika?

Utapinga vipi kuwa Nyerere ndiye alikabidhiwa nchi na Waingereza?

Utapinga vipi ukweli Abdul Sykes alikwenda Burma na alikuwa pay master wa Kariakoo?

Historia haipingwi kinachopingwa ni upotoshaji ndani ya historia.
Nguruvi3,
Tuliza akili yako unisome kwa makini.

Sijasema kuwa Kasella Bantu kamtoa Nyerere Makerere kumleta
nyumbani kwa Abdul Sykes.

Mwalimu Nyerere kwa kauli yake siku anaaga pale Diamond Jubilee
Hall kasema mtu aliyempeleka kwa Abdul Sykes ni Kasella Bantu
ambae wakifudisha wote Pugu.

Baada ya uhuru Nyerere na Kasella Bantu wakaja kuwa maadui.
TANU ikijulikana kwa kila mwanasiasa wa wakati ule aliyeaminika.

Chief Kidaha Makwaia akiijua, Abdallah Said Fundikira akiijua,
Earle Seaton akiijua na aliyekuwa akisukuma fkra hii ya kuasisi TANU
alikuwa Abdul Sykes na Hamza Mwapachu.

Na Nyerere alipojuana na Abdul 1952 na yeye akalezwa habari za TANU.

Hili la TANU lisikupe shida.

Hivi Nguruvi3 unajua kuwa hata hiyo nyumba iliyokuwa ofisi ya TAA/TANU
na TANU ikaasisiwa mle ndani kajenga baba yake Abdul kati ya 1929 - 1933?

Hapa Dar es Salaam kwa miaka ile ukitaja siasa umewataja akina Sykes.

Lakini katika miaka ya 1950haya yakifanywa kwa siri kuwakwepa Special
Branch ya kina Amri Kweyamba.

Kachero huyu aliwataabisha sana wanaharakati wa TAA hadi TANU.

Abdul Sykes hakuwa Pay Master alikuwa Market Master Kariakoo Market
na wakati ule akihangaika na kuunda TANU alikuwa na ''admission,'' ya
Princeton University, New Jersey.

Ndipo ninapokuhurumia.
Unataka kufanya ubishi kwenye historia usioijua.
 
Hapana, napkataa upotoshaji. Narudia tena siwezi kupinga Abdul kwenda Burma au kuwa pay master, ni ukweli. Lakini kwamba ndiye aliyeleta uhuru ni urongo

Mshume Kiyate ni muuza ng'onda maarufu sana. Siku moja alikutana na Nyerere akiwa anaenda kuomba mboga sokoni, akampa sh 200.
Tunamshukuru kwa mchango wake kwani ni kupitia watu kama hawa uhuru uliwezekana

Hata hivyo, umuhimu wa Nyerere hauondolewi na mtu, kila mmoja ana nafasi yake
Na kwamba historia haikamiliki bila Nyerere ni ukweli usio na shaka

Kwamba Nyerere alibadiili siasa za mitaani kuwa modern politics halihitaji certificate kulijua
Nguruvi3,
Sichukui tabu kukujibu.

Nitaweka haya uloandika katika blog yangu wasomaji wangu
wakusome.
 
Nguruvi3,
Sichukui tabu kukujibu.

Nitaweka haya uloandika katika blog yangu wasomaji wangu
wakusome.
Alaa kumbe ni wasomaji wako, sasa nitegemee nini hapo!
Naona unaomba msaada, wakusanye waje hapa tuongee

Waambie waje na katiba ya chama chochote aliyoandika Abdul Sykes K. Mbuwane
 
Hapana, napkataa upotoshaji. Narudia tena siwezi kupinga Abdul kwenda Burma au kuwa pay master, ni ukweli. Lakini kwamba ndiye aliyeleta uhuru ni urongo

Mshume Kiyate ni muuza ng'onda maarufu sana. Siku moja alikutana na Nyerere akiwa anaenda kuomba mboga sokoni, akampa sh 200.
Tunamshukuru kwa mchango wake kwani ni kupitia watu kama hawa uhuru uliwezekana

Hata hivyo, umuhimu wa Nyerere hauondolewi na mtu, kila mmoja ana nafasi yake
Na kwamba historia haikamiliki bila Nyerere ni ukweli usio na shaka

Kwamba Nyerere alibadiili siasa za mitaani kuwa modern politics halihitaji certificate kulijua

Bado una rusha rusha na hajaja na nukuu hata moja ya maandiko ya Mohamed Said yanayoashiria upotoshaji kama unavyojaribu kutoaminiana kwa porojo zako binafsi na kutia maneno yako kusingizia ya Mohamed Said.

Nnaona kijiba kimekukaa kooni hakitemeki hakimezeki, sasa tunaelewa kuwa Nyerere hakuwa wa mwanzo katika harakati za kudai Uhuru, alikuta tayari watu wapo kwenye harakati na yeye akawekwa hapohapo nyumba ilipoanzia harakati toka 1929, nyumbani kwa Abdul Wahid Sykes. Tungeyajuwaje?

Jee, ulimjuwa Mshume Kiyate kabla ya kumsoma kwa Mohamed Said?

Nyerere mwenyewe alikiri kuhusu jina la TANU kuwa lilikuwepo, sasa wewe ulifikiri lilikuwepo la nini? Kuchezea bao?
 
Ahsante kutambua hilo kwa dhati kabisa
Chama kilianza kwa Nyerere. Nionyeshe mahali popote au mkusanyiko wowote uliotumia jina la TANU kabla ya Nyerere kutangaza.Ni jambo baya kuwafananisha watu hawa. Ima utaishia kumdhalilisha mmoja au wote, likely utamdhalilisha Abdul. Nyerere hawekwi katika mizani na Abdul. Tunaomba ushahidi kuwa 'Nyerere alitaka' kama kuna nyaraka yoyote ya Nyerere kutaka iweke hapa, kama huna huko ndiko kumsingizia katika ile kauli ya 'ukitaka kumuua mbwa mpe jina' Alaa kumbe kadi ya kwanza ni ya Nyerere na si ya mwenye chama Abdul! ahsante maana hapa unatueleza TANU Tunamshukuru kwa mchango wake, kama Rupia na akina Selengie wazungu wanasema out of sight out of mind. Kilichopo ni Nyerere kuandika katiba ya kwanza ya chama cha siasa Tanganyika. Hadi itakapoletwa nyaraka nyingine huo utabaki ukweli na ukweli mtupu.

Hizi habari za makabrasha kuliwa na panya , kupotea ni hadithi njema, si ukweli. The fact is Nyerere ndiye aliyeandika katiba na ku-modernize politics za Tanganyika kutoka katika vijiwe na migahawa na kuwa katika international std.

Ni ukweli tu usihangaike kujibu. Utajibu vipi ukweli?

Wameeleza tu , nyaraka ipo wapi?

Hatuwezi kuishi kwa hadithi za mapokeo. Hizi ndizo zinazopotosha umma.

Kama wanadhani au kuhisi hilo ni sawa, kama wana evidence weka hapa Limekuwa maana ndilo lenye ushahidi.

Hayo mengine ya micro film ni hadithi. Kinachojulikana Nyerere msomi alitazama siasa na kuona umuhimu wa kuandika katiba kama chama cha siasa.

Hadi itakapopatikana nyaraka mbadala, hii iliyopo ndiyo ukweliKutokujua si dhambi, dhambi ni kupotosha umma na hilo ndilo linachefua kama ulivyosema.

Historia ya TANU haiandikwi kwa kumtuhumu Nyerere, wala picha za watu.

Inaandikwa kwa facts, ndiyo maana tunasema lete katiba aliyoandika Abdul K sykes MbuwaneAlipowaandikia katiba ilikuwa elimu. Aliokuja na kuwaongoza ilikuwa elimu.

Alipopewa nchi ilikuwa elimu.

Akija kuungana nao alikuwa na elimu yake njema tu na exposure nzuri ya kisiasa na si mizinga. Kwa elimu yake kadi yake ni number 1. Hata wenyewe walitambua hilo Well, sihitaji upotoshaji maana ndio nina upinga.

Nyerere ndiye aliyefungua ukurasa wa siasa za kileo.

Kakaa chini kaandika katiba na kuanza mipango ya kuwaongoza aliowakuta.

Hadi nyaraka nyingine itakapoletwa ukweli unabaki kuwa kupitia Nyerere siasa za mitaani zikachukua nafasi ya modern politics

Unaweza kupinga utakavyo, lakini si ndiye alikuwa Rais wa TANU na kupewa nchi?

Nguruvi3,
Unaniomba ushahidi wa ''document,'' ambayo nikekueleza
kuwa imenyofolewa na kote haionekani?

Kwani wewe humuamini Listowel na Pratt?
Kwa taarifa yako Pratt alikuwa rafiki wa Nyerere.

Ninaweka hapa ushahidi kwa faida ya wasomaji:

''In his analysis of the TAA memorandum to the Constitutional Development Committee, Pratt reported:

The most detailed African submission came from the Dar es Salaam branch of the Tanganyika African Association. It asked that the distribution of seats (i.e. an official majority and one-half of the unofficial to be African) should be held constant for the next twelve years and that in the thirteenth year a common electoral roll should be introduced with a majority of the council then being elected.[1]

Governor Edward Twining’s committee ignored TAA’s recommendations. The government continued with its long-term plans of strengthening the positions of minority Europeans and Asians in the political development of the territory while pushing aside the indigenous Africans contrary to the United Nations Charter. Many learned Africans were of the opinion that the TAA submission should have rightly formed the basis of the future constitution of the territory as a multi-racial society. But the spirit of that document did not die. It surfaced at the TANU founding conference on 7 th July, 1954 and was to form the basis of Julius Nyerere’s speech before the Trusteeship Council of the United Nations in New York in March, 1955. [2]''


[1] Pratt op. cit. p. 30.

[2] There are old men, TANU veterans, who believe to this day that the March 1955 speech by Julius Nyerere before the Trusteeship Council was written by Abdulwahid, and so was the constitution of Tanganyika. The author has come across this story several times in his interviews with early members of TANU. The reason for this belief is that the document was drafted by the TAA Political Subcommittee in 1950.
 
"Mohamed Said, post: 16541306, member: 12431"]Nguruvi3,
Tuliza akili yako unisome kwa makini.

Sijasema kuwa Kasella Bantu kamtoa Nyerere Makerere kumleta
nyumbanikwa Abdul Sykes.
Kasome mabandiko yako vizuri ufanya uhariri. Kama hutafanya hivyo nitatumia maneno yako kuonyesha ulichosema


Chief Kidaha Makwaia akiijua, Abdallah Said Fundikira akiijua,
Earle Seaton akiijua na aliyekuwa akisukuma fkra hii ya kuasisi TANU
alikuwa Abdul Sykes na Hamza Mwapachu.
Ndiyo maana nimekuomba uonyesha mkutano, mkusanyiko mmoja tu uliotokea chini ya jina la TANU kabla ya Nyerere kutangaza

Na Nyerere alipojuana na Abdul 1952 na yeye akalezwa habari za TANU.
Nyerere alikuwa katibu wa tawi kubwa la Tabora, Abdul makao makuu. Hwakujuana hata kwa habari tu. Je, Mkutano wa 1948 Nyerere alihudhuria au hakuhudhuria? Abdul alikuwa na nafasi gani wakati huo? Nyerere alihudhuria kwa sifa zipi?
Hivi Nguruvi3 unajua kuwa hata hiyo nyumba iliyokuwa ofisi ya TAA/TANU
na TANU ikaasisiwa mle ndani kajenga baba yake Abdul kati ya 1929 - 1933?
Haitoshi kutueleza kuwa katiba iliandikwa hapo. Mpaka itoke huko iliko, katiba ya chama iliandikwa na Julius. Nyerere.

Tunashukuru kwa mchango wa nyumba, hilo haliondoi umuhimu wa Nyerere au mabadiliko aliyoleta ambayo wenyewe waliyakubali na kumpa kadi nambari one (number uno)
Lakini katika miaka ya 1950haya yakifanywa kwa siri kuwakwepa Special
Branch ya kina Amri Kweyamba.
Nyerere hakuwaogopa akajitosa na kuongoza

Unaona umuhimu wakei! Unaposema si muhimu tena inatia shaka na dhamira yako
Abdul Sykes hakuwa Pay Master alikuwa Market Master Kariakoo Market
na wakati ule akihangaika na kuunda TANU alikuwa na ''admission,'' ya
Princeton University, New Jersey.
Wakati huo Nyerere alishamaliza Edinburgh na ndio maana nakueleza elimu ilikuwa muhimu kubadili siasa, hata Abdi alijua hilo
 
Back
Top Bottom