Hamza Mwapachu, Abdulwahid Sykes na Chief Michael Lukumbuzya

Hamza Mwapachu, Abdulwahid Sykes na Chief Michael Lukumbuzya

Alaa kumbe ni wasomaji wako, sasa nitegemee nini hapo!
Naona unaomba msaada, wakusanye waje hapa tuongee

Waambie waje na katiba ya chama chochote aliyoandika Abdul Sykes K. Mbuwane
Nguruvi3,
Blog yangu inatumika kwa utafiti wa historia ya Tanganyika.
Hakuna majibizano toa hofu.

Nimekusudia kukuweka ili watafiti wapate hoja tofauti kuhusu
historia ya TANU.
 
Kasome mabandiko yako vizuri ufanya uhariri. Kama hutafanya hivyo nitatumia maneno yako kuonyesha ulichosema


Ndiyo maana nimekuomba uonyesha mkutano, mkusanyiko mmoja tu uliotokea chini ya jina la TANU kabla ya Nyerere kutangaza

Nyerere alikuwa katibu wa tawi kubwa la Tabora, Abdul makao makuu. Hwakujuana hata kwa habari tu. Je, Mkutano wa 1948 Nyerere alihudhuria au hakuhudhuria? Abdul alikuwa na nafasi gani wakati huo? Nyerere alihudhuria kwa sifa zipi?

Haitoshi kutueleza kuwa katiba iliandikwa hapo. Mpaka itoke huko iliko, katiba ya chama iliandikwa na Julius. Nyerere. Tunashukuru kwa mchango wa nyumba, hilo haliondoi umuhimu wa Nyerere au mabadiliko aliyoleta ambayo wenyewe waliyakubali na kumpa kadi nambari one (number uno)Nyerere hakuwaogopa akajitosha na kuongoza
Unaona umuhimu wake lakini! Unaposema si muhimu tena inatia shaka na dhamira yako
Wakati huo Nyerere alishamaliza Edinburgh na ndio maana nkueleza elimu iliku muhimu kubadili siasa, hata Abdi alijua hilo
Nguruvi3,
Historia ya TANU nimeisahihisha toka 1998.
Sasa ni miaka 18.

Nimejitahidi kuwarejesha katika historia wazee wangu
waliofutwa.

Umuhimu wa somo hili kama somo la kufanyia utafiti
kwangu mimi haupo tena.
 
Bado una rusha rusha.

Jee, ulimjuwa Mshume Kiyate kabla ya kumsoma kwa Mohamed Said?

Nyerere mwenyewe alikiri kuhusu jina la TANU kuwa lilikuwepo, sasa wewe ulifikiri lilikuwepo la nini? Kuchezea bao?
Uwepo wa jina siyo uwepo wa chama. Tunaongelea uhai wa chama. Nionyeshe sehemu moja tu jina la TANU lilitumika kabla ya 1954.

Ah ndugu yangu yahusu nini mimi kujua wapwa , ami na mashangazi wa mzee Mohamed Said Salim sentungo. Hata bibi mwanavua sikumujua. Tunazungumzia siasa ilivyobadilika si ndugu wa watu. Unamjua mzee Mhina wewe! Huyo ni mzee wangu akimuoa binti Salimini, wakazaa akina Mwamvita na chikumen, iliwajua wewe hawa.
 
Nguruvi3,
Blog yangu inatumika kwa utafiti wa historia ya Tanganyika.
Hakuna majibizano toa hofu.

Nimekusudia kukuweka ili watafiti wapate hoja tofauti kuhusu
historia ya TANU.
Yes, itakavyokuwa sawa tu, waambie naomba nakala ya katiba ya chama chochote cha siasa iliyoandikwa kabla ya Nyerere. Ninahitaji sana darsa hilo
 
Nguruvi3,
Historia ya TANU nimeisahihisha toka 1998.
Sasa ni miaka 18.

Nimejitahidi kuwarejesha katika historia wazee wangu
waliofutwa.

Umuhimu wa somo hili kama somo la kufanyia utafiti
kwangu mimi haupo tena.
lLakini umuhimu wa Nyerere upo na hauundwi na mtu kwa maandiko ,picha au marashi. Historia yake ipo inajieleza hata kama ni chungu 'kumesa'

Unaposema umeshusha pazia la Julius Nyerere ni kumdhalilisha sana mzee wa tu.
Wewe ibn Sntungo unaweza kushusha pazia la Nyerere hapa katika anga la mwenyezi kweli!
 
Kasome mabandiko yako vizuri ufanya uhariri. Kama hutafanya hivyo nitatumia maneno yako kuonyesha ulichosema


Ndiyo maana nimekuomba uonyesha mkutano, mkusanyiko mmoja tu uliotokea chini ya jina la TANU kabla ya Nyerere kutangaza

Nyerere alikuwa katibu wa tawi kubwa la Tabora, Abdul makao makuu. Hwakujuana hata kwa habari tu. Je, Mkutano wa 1948 Nyerere alihudhuria au hakuhudhuria? Abdul alikuwa na nafasi gani wakati huo? Nyerere alihudhuria kwa sifa zipi? Haitoshi kutueleza kuwa katiba iliandikwa hapo. Mpaka itoke huko iliko, katiba ya chama iliandikwa na Julius. Nyerere.

Tunashukuru kwa mchango wa nyumba, hilo haliondoi umuhimu wa Nyerere au mabadiliko aliyoleta ambayo wenyewe waliyakubali na kumpa kadi nambari one (number uno)Nyerere hakuwaogopa akajitosa na kuongoza

Unaona umuhimu wakei! Unaposema si muhimu tena inatia shaka na dhamira yako
Wakati huo Nyerere alishamaliza Edinburgh na ndio maana nakueleza elimu ilikuwa muhimu kubadili siasa, hata Abdi alijua hilo
Nguruvi3,
Mtu wa kwanza kuitangaza TANU hakuwa Nyerere.

TANU ilitangazwa na Ramadhani Mashado Plantan
kupitia gazeti lake, ''Zuhra.''

Hadharani mtu wa kuitangaza TANU alikuwa Bi. Titi.

Mkutano huu ulifanyika Mnazi Mmoja na Nyerere
hakuweko alikuwa Musoma.
 
Yes, itakavyokuwa sawa tu, waambie naomba nakala ya katiba ya chama chochote cha siasa iliyoandikwa kabla ya Nyerere. Ninahitaji sana darsa hilo
Nguruvi3,
Mwanasheria aliyesaidia kuandika ile katiba alikuwa Earle Seaton.

Huyu alikuwa rafiki yake Abdul yeye alikuwa ''advocate,'' Moshi na
raia wa Bermuda.
 
Nguruvi3,
Mtu wa kwanza kuitangaza TANU hakuwa Nyerere.

TANU ilitangazwa na Ramadhani Mashado Plantan
kupitia gazeti lake, ''Zuhra.''

Hadharani mtu wa kuitangaza TANU alikuwa Bi. Titi.

Mkutano huu ulifanyika Mnazi Mmoja na Nyerere
hakuweko alikuwa Musoma.
Kabla ya hapo ni mkutano gani au mkusanyiko gani uliowahi kufanyika chini ya jina la TANU? Nitajie mmoja tu

Hao walitangaza TANU ikiwa tayari au kabla ya Kambarage kupewa number uno ?

Kutangaza kunafuatia baada ya kukamilika taratibu. Hao walioandika magazetini walifanya hivyo kwa ruksa ya chama kikiwa na katiba aliyoandika Julius
Kama ipo nyingine iliyoandikwa kabla ya hapo, khairi tuwekee hapa sheikh. Kama hakuna basi tusimame na ya Kambarage
 
Nguruvi3,
Mwanasheria aliyesaidia kuandika ile katiba alikuwa Earle Seaton.

Huyu alikuwa rafiki yake Abdul yeye alikuwa ''advocate,'' Moshi na
raia wa Bermuda.
Saw sawa kabisa, ipo wapi?

Kama haipo katiba ya Julius ndiyo dira. Tunakataa ukweli jamani.
 
lLakini umuhimu wa Nyerere upo na hauundwi na mtu kwa maandiko ,picha au marashi. Historia yake ipo inajieleza hata kama ni chungu 'kumesa'

Unaposema umeshusha pazia la Julius Nyerere ni kumdhalilisha sana mzee wa tu.
Wewe ibn Sntungo unaweza kushusha pazia la Nyerere hapa katika anga la mwenyezi kweli!
Nguruvi3,
Bin Samitungo ni Abdallah babu yangu mkuu.
Mimi ni Bin Said.

Kweli nimeshusha pazia.

Sitafiti tena historia ya Nyerere na TANU kwani yote niliyotaka kusema
nimesema katika kitabu changu.

Historia chungu si ya Nyerere.
Chuo Cha Kivukoni iliandika na kitabu kipo.

Historia chungu ni hii ya Abdul Sykes...

Inakuchoma sana na kwa kweli si wewe wengi wameumizwa pamoja na
Mwalimu wangu Prof. Haroub Othman.

Nadhani unajua kuwa Africa Events (London) ilipochapa makala yangu
nilomtaja Abdul kama muasisi wa TANU gazeti lote lilikusanywa.

Hii ni katika miaka ya 1980.
Nani kakichoma moto kitabu cha Kivukoni College?
 
Kabla ya hapo ni mkutano gani au mkusanyiko gani uliowahi kufanyika chini ya jina la TANU? Nitajie mmoja tu

Hao walitangaza TANU ikiwa tayari au kabla ya Kambarage kupewa number uno ?

Kutangaza kunafuatia baada ya kukamilika taratibu. Hao walioandika magazetini walifanya hivyo kwa ruksa ya chama kikiwa na katiba aliyoandika Julius
Kama ipo nyingine iliyoandikwa kabla ya hapo, khairi tuwekee hapa sheikh. Kama hakuna basi tusimame na ya Kambarage
Nguruvi3,
Ndugu yangu nakuonea huruma sana.
Wewe kama unapenda mambo haya si ungekuwa unasoma kwanza?

Kwa nini unataka kujifedhehesha bure?

Katiba ya TANU ilikopiwa kutoka katika ya Convention Peoples Party
(CPP) ya Kwame Nkrumah neno kwa neno.
 
Nguruvi3,
Ndugu yangu nakuonea huruma sana.
Wewe kama unapenda mambo haya si ungekuwa unasoma kwanza?

Kwa nini unataka kujifedhehesha bure?

Katiba ya TANU ilikopiwa kutoka katika ya Convention Peoples Party
(CPP) ya Kwame Nkrumah neno kwa neno.

Nguruvi3 halijuwi hilo, yeye kakazania imetungwa na Nyerere.

Kwi kwi kwi teh teh teh.
 
mh!!..., historia mbna utata hiv... kwann vitu vcwe wazi jman... tupo kwetu lakni hatujijui....
 
Nguruvi3,
Bin Samitungo ni Abdallah babu yangu mkuu.
Mimi ni Bin Said.

Kweli nimeshusha pazia.

Sitafiti tena historia ya Nyerere na TANU kwani yote niliyotaka kusema
nimesema katika kitabu changu.

Historia chungu si ya Nyerere.
Chuo Cha Kivukoni iliandika na kitabu kipo.

Historia chungu ni hii ya Abdul Sykes...

Inakuchoma sana na kwa kweli si wewe wengi wameumizwa pamoja na
Mwalimu wangu Prof. Haroub Othman.

Nadhani unajua kuwa Africa Events (London) ilipochapa makala yangu
nilomtaja Abdul kama muasisi wa TANU gazeti lote lilikusanywa.

Hii ni katika miaka ya 1980.
Nani kakichoma moto kitabu cha Kivukoni College?

Hakika hii historia ya Abdul Wahid Sykes imekuwa chungu sana kwa Nguruvi3, Pasco na wengi kama wao, ambao walidhani kuwa kila kitu ni Nyerere!

Pole zao nyingi sana.
 
Nguruvi3 halijuwi hilo, yeye kakazania imetungwa na Nyerere.

Kwi kwi kwi teh teh teh.
Maalim Faiza,
Usimcheke Nguruvi3,

Haroub Othman alikuwa prof. na alipomaliza kusoma kitabu cha Abdul Sykes
alikuwa ''devastated.''

Yote aliyokuwa amesoma kuhusu TANU na Nyerere na akiyasomesha yalikuwa
kichwa chini miguu juu.

Mimi ni mezungumzanae na nikamwelewesha kuwa wala kwangu si suala la kuwa
mimi nimsomi.

Suala ni kuwa wazee wangu ndiyo walioasisi TANU kwa hiyo naijua histori ya TANU
na yote yaliyotokea baada ya uhuru.

Kenda kwa Ahmed Rashad Ali kuuliza na majibu aliyokutananayo yalizidi kumtisha.
Prof. Haroub alimsihi Nyerere aandike historia yake.

Huyu ndiye Allah Mwenye Nguvu anafanya mambo kwa njia za ajabu sana.
Leo historia yetu imerejea haba jana.
 
Hakika hii historia ya Abdul Wahid Sykes imekuwa chungu sana kwa Nguruvi3, Pasco na wengi kama wao, ambao walidhani kuwa kila kitu ni Nyerere!

Pole zao nyingi sana.
Maalim Faiza,
Maalim wangu Sheikh Haruna akiniusia: ''Nakufundisha ilm hii ya mjadala
si ujenge kibri na kuwafedhehesha waja wa Allah.

Nakufunza usomeshe na watu wanufaike.

Ingia kwenye mjadala si kwa nia ya kushinda bali kwa kutaka kujifunza kwa
mwenzio.''

Nguruvi3, anaingia ili anishinde na hili limekuwa gumu si kwake bali kwa wengi
tu katika somo hili.
 
Wajinga hata ufanye nini ujinga lishakuwa vazi lao,Hivyo ndugu Mohammed Said endelea kuwaelekeza tu,usichoke.Kwani wao ni kama mshumaa wakati wanateketea,sisi tunapata mwangaza.Well done my lecturer Mr.Said.
 
Sheikh Mohamed Said wakati mkiendelea na hilo rumbano hapo juu sio vibaya ukatudadavulia hiki kipande cha taarifa cha Michael F. Lofchie, 1971, in the book titled as “The State of the Nations: Constraints on Development in Independent Africa”. Naomba kumnukuu:
Nyerere resigned the post of prime minister in January 1962, only six weeks after independence, in order to spend his full time as president of TANU. He returned to government office in December 1962 as the first president of the republic.
Mosi najiuliza hili tukio la kujiuzulu na kurudi "kijotijoti" kwenye ulingo wa siasa naliona kama maajabu fulani na kila nisomapo hii tukio nafikicha sana macho na sielewi kama taratibu za kipindi kile ziliruhusu.
Je hii sababu inayotolewa na huyu mwanazuoni Michael F. Lofchie ndiyo mnayobishania?
Kwa sababu yaonekana TANU au viongozi wengi wa serikali ya Nyerere baada ya uhuru walikuwa wageni na Nyerere alihitaji muda kusoma na kuulewa mchezo wa kisiasa kwa kuwa walioasisi harakati hawakushirikishwa serikalini, huu ni mtizamo wangu naomba kukosolewa kama niko tofauti na mawazo ya wengine.
 
Sheikh Mohamed Said wakati mkiendelea na hilo rumbano hapo juu sio vibaya ukatudadavulia hiki kipande cha taarifa cha Michael F. Lofchie, 1971, in the book titled as “The State of the Nations: Constraints on Development in Independent Africa”. Naomba kumnukuu:
Nyerere resigned the post of prime minister in January 1962, only six weeks after independence, in order to spend his full time as president of TANU. He returned to government office in December 1962 as the first president of the republic.
Mosi najiuliza hili tukio la kujiuzulu na kurudi "kijotijoti" kwenye ulingo wa siasa naliona kama maajabu fulani na kila nisomapo hii tukio nafikicha sana macho na sielewi kama taratibu za kipindi kile ziliruhusu.
Je hii sababu inayotolewa na huyu mwanazuoni Michael F. Lofchie ndiyo mnayobishania?
Kwa sababu yaonekana TANU au viongozi wengi wa serikali ya Nyerere baada ya uhuru walikuwa wageni na Nyerere alihitaji muda kusoma na kuulewa mchezo wa kisiasa kwa kuwa walioasisi harakati hawakushirikishwa serikalini, huu ni mtizamo wangu naomba kukosolewa kama niko tofauti na mawazo ya wengine.
Kwezisho,
Wala hilo la Lofchie halipo katika niliyoeleza.

SAM_1361.JPG

Michael Lofchie na mimi Chuo Kikuu cha Iowa
 
Wajinga hata ufanye nini ujinga lishakuwa vazi lao,Hivyo ndugu Mohammed Said endelea kuwaelekeza tu,usichoke.Kwani wao ni kama mshumaa wakati wanateketea,sisi tunapata mwangaza.Well done my lecturer Mr.Said.
Mwalukuni,
Hii ndiyo dharuba iliyopiga historia ya TANU.

Kwa miaka yote Nguruvi3 akiamini kuwa katiba
ya TANU iliandikwa na Nyerere.

Sasa jiulize watu wangapi wamedanganyika hivyo?

Kitu cha kusikitisha hata pale wanapoelezwa kweli
akili zishavia wanapata dhiki kupokea mapya.

Marehemu Dr. Michael Lugazia alifanya juhudi
kubwa sana katika suala hili la katiba kuanzia 1953.

Amekufa akinung'unika jinsi historia ya TANU
ilivyopotoshwa.

Mara ya mwisho alikuwa Ocean Road Hospital.
 
Back
Top Bottom