Katiba ya TAA 1950 haikuandikwa na Abdul peke yake.
Iliandikwa na TAA Political Subcommittee na wajumbe wake nimekutajia.
Sijaamini historia ya kivukoni, in fact niliwahi kuhoji hata kabla hujaandika kitabu
Na wala sikuamini Dar iliyokuwepo haikuwa na historia.
Haya sikUyajua katika vitabu vyako, nimejifunza siku nyingi sana.
Nimevisoma vitabu vyako na vya wengine ili kupata mizania nzuri, ndio hasa msingi wa kuweza kukubana nikitaka. Nina background sikusubiri masimulizi uya microfilm
Historia yako imejikita zaidi Tandamti, una resource za kutosha kuipanua
Hukufanikiwa kuipanua, uliiandika kwa jicho la dini kuliko historia
Ukasahau, dini haihitaji historia ili iwepo, ilikuwepo kabla
Ulitumia historia kama platform ya kuonyesha kuna waliopigania uhuru haswa
Kwa mtazamo huo, nikilinganisha na wengine nakusoma katika jicho la ubaguzi
Unajua wazi Nyerere alikuwa educated kuliko Abdul
Unajua harakati zilikuwepo bila mweleko.
Unajua chini ya uongozi wa Nyerere kilichomshinda Kleist na Abdul kwa miaka takribani 20 Nyerere alikimaliza kwa miaka 10. You know that
Njia ya mkato uliyotafuta baada ya ile ya dini kugonga mwamba ni kumfanya Nyerere public enemy, hilo limekwama, unakuja na dharau na kumdhalilisha.
Lete ushahidi wa katiba iliyoandikwa na Sykes, hatuhitaji bla bla za
subcommittee n.k. Lete katiba aliyoandika Kleist au Mwanae Abdul au wote
Lete ushahidi wa mkutano aliofanya Abdul kabla ya Kambarage hajasema sasa ni TANU.
Mwisho sina interest na picha zako hazi add value katika knowledge yangu.
In fact unazitumia kuziba ombwe la inferiority complex ulingane lingane...
Unadhani kunywa chai na mzungu it's a big deal! lol