Yegomasika
JF-Expert Member
- Mar 21, 2009
- 13,164
- 61,255
Mohamed kwa nini wewe unamchukia Sana Nyerere?
Kibaya zaidi ni kwamba, yeye hayupo kuweza kujibu hizi tuhuma za huyu Mheshimiwa!. SMH!.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mohamed kwa nini wewe unamchukia Sana Nyerere?
Yegomasika,Kibaya zaidi ni kwamba, yeye hayupo kuweza kujibu hizi tuhuma za huyu Mheshimiwa!. SMH!.
Afrodenzi,Mohamed kwa nini wewe unamchukia Sana Nyerere?
Uko msoga au lumumba saizi?
Mohamed kwa nini wewe unamchukia Sana Nyerere?
Kila kitu kina pande mbili.Afrodenzi,
Kusahihisha historia ya wazee wengu ndiyo imekuwa kumchukia Nyerere?
Hivi ningeacha kukuelezeni yale yote ambayo amkuwa mnayajua ndiyo kweli
ningekuwa nampenda Nyerere?
Huyo nae hana heshima.Ikiwa Alama Mohamed Said anamchukia Nyerere kwa kuandika historia ya waasisi wa harakati za kudai kujitawala na waasisi wa TANU walioachwa kuandikwa na historia ya Kigamboni amma kwa makusudi kabisa amma kwa kushinikizwa amma kwa bahati nzuri, jee huyu nae anaesemekana amemtusi Nyerere tena "live" bungeni unamuongeleaje? :
Tundu Lissu: Mwl. Nyerere alizoea kuishi kwa uongo na udanganyifu!
Cc wembeee, Ngongo, Nanren, Mag3, Nguruvi3, Mzee Mwanakijiji, Pasco, Uncle Jei Jei and company.
Huyo nae hana heshima.
Na yeye Mheshimiwa tundu Lissu inaonyesha anamchukia Nyerere.Ukijisoma vizuri hapo juu kidogo suala lilikuwa kumchukia Nyerere, nnaona hilo umelisahau na umerukia "heshima".
Nnaomba jibu swali langu, kama umelisahau kanisome tena. Hilo la heshima ni mtazamo wako, mimi nadhani angekuwa hana heshima asingeitwa Mheshimiwa Tundu Lissu.
Na yeye Mheshimiwa tundu Lissu inaonyesha anamchukia Nyerere.
Jibu lako hilo.
kila ninachosoma kutoka kwake .Sasa turudi kwa Alama Mohamed Said.
Nnaomba tafadhali nipe nukuu za / ya Alama Mohamed Said kuhusu Nyerere z/iliyokufanya wewe kufikia kusema kuwa anamchukia Nyerere ili nasi tupate kuiona kwa mtazamo wako.
Sababu Nyerere sio muislam kma yeye wala usipate tabu Dada angu sisi tushamzoea maalim muddy ni mdini zaidiMohamed kwa nini wewe unamchukia Sana Nyerere?
Yan ulitegemea Nyerere hakujibu kitabu chako kipindi yuko haiYegomasika,
Nipe ushahidi kuwa namchukia.
Kitabu nimeandika Mwalimu yu hai angetaka kujibu angeweza.
Mkuu usitegemee upate historiaNi historia tu au kuna kaudini ndani yake yakhe? Mi nasema kuusu nyerere Allah alimpanga yeye ndo atutoe kule... Na hakutaka hao wengine kwasababu angewataka angewafanya...
Hapa kuna jambo linaleta shida kidogo. Mbona marejeo yote ya vitabu yanamtaja Mwalimu Cecil Matola ni mwanaume? Au waandishi wa vitabu vya historia walikosea?Si alikuwa na mpango wa kuandika kitabu kumjibu Mudeer, hicho kitabu ndiyo utakuta habari za Mwanamama Cecil Matola.
Wembeee,Yan ulitegemea Nyerere hakujibu kitabu chako kipindi yuko hai
God forbid
Wembeee,Mkuu usitegemee upate historia
Nzuri kwa maalim muddy zaidi ya majina ya wacheza bao na wauza Samaki tu ndivyo utapata kwake
Ooh really.?!Calgary, Alberta, Canada.
Afrodenzi,kila ninachosoma kutoka kwake .