Ngongo
Platinum Member
- Sep 20, 2008
- 20,654
- 35,887
Mkuu usitegemee upate historia
Nzuri kwa maalim muddy zaidi ya majina ya wacheza bao na wauza Samaki tu ndivyo utapata kwake
Umesahau na watoza ushuru & waangalizi wa usafi sokoni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu usitegemee upate historia
Nzuri kwa maalim muddy zaidi ya majina ya wacheza bao na wauza Samaki tu ndivyo utapata kwake
Ngongo,Umesahau na watoza ushuru & waangalizi wa usafi sokoni.
Unataka kujua tukujuze au unataka kuleta kibri tu kitoto kifupi tu hyo hotuba aliyoenda kusoma mwalim nyerere UNO imeandikwa na hao wenyewe upeo mdogo km unavyowaita kwa ukosefu wako wa adabu hotuba iliandikwa na mashujaa kina sheikh hassan bin Amir abdulwahid nk walimpaleka mwalim na kumuweka mwalim mbele kuhepusha kuonekana wao ni wadini maana asilimia 99 walikuwa ni waislamWalimpeleka kwa nini, na kwann hawakwenda wao!
Jibu ni raisi, kwa sababu ya upeo wao mdogo, wasingeweza kuzungumza chochote
Unafikir MWALIMU, aliyekuwa na DEGREE ya Makerere by then, angeweza kuandikiwa hotuba na hao waungwana!?Unataka kujua tukujuze au unataka kuleta kibri tu kitoto kifupi tu hyo hotuba aliyoenda kusoma mwalim nyerere UNO imeandikwa na hao wenyewe upeo mdogo km unavyowaita kwa ukosefu wako wa adabu hotuba iliandikwa na mashujaa kina sheikh hassan bin Amir abdulwahid nk walimpaleka mwalim na kumuweka mwalim mbele kuhepusha kuonekana wao ni wadini maana asilimia 99 walikuwa ni waislam
Mbona ameandikiwa na kufanyiwa mengi sna pamoja hyo DEGREE yke tatizo lako kubwa unaleta ubishi uku ukiwa mvivu wakusoma hta hivyo vitabu alivyoandika mwalim nyerere mwenyeweUnafikir MWALIMU, aliyekuwa na DEGREE ya Makerere by then, angeweza kuandikiwa hotuba na hao waungwana!?
Degree ya nini, hebu tukumbushe, na uiweke hapaUnafikir MWALIMU, aliyekuwa na DEGREE ya Makerere by then, angeweza kuandikiwa hotuba na hao waungwana!?
Yan ulitegemea Nyerere hakujibu kitabu chako kipindi yuko hai
God forbid
Ndalikawe,Unafikir MWALIMU, aliyekuwa na DEGREE ya Makerere by then, angeweza kuandikiwa hotuba na hao waungwana!?
Rubawa,Mbona ameandikiwa na kufanyiwa mengi sna pamoja hyo DEGREE yke tatizo lako kubwa unaleta ubishi uku ukiwa mvivu wakusoma hta hivyo vitabu alivyoandika mwalim nyerere mwenyewemmoja wa watu wa mwanzo kuitangaza TANU wakt mwalim nyerere akiwa musoma na muandishi hotuba zake mwalim nyerere ktk majukwaa ya kisiasa Bi TITI MOHAMED![]()
Asalaam Aleykum Maalim wangu Mohamed Said,Rubawa,
TANU ilikuwa na wazungumzaji wakuu watatu katika siku za mwanzo.
Mwalimu Nyerere, Bi. Titi Mohamed na Sheikh Suleiman Takadir.
Baada ya Sheikh Suleiman Takadir kugombana na Nyerere mwaka wa
1958 na kufukuzwa chama wazungumzaji wakabaki wawili Nyerere na
Titi.
Wote hawa wawili walikuwa ''brilliant orators,'' wazungumzaji wazuri sana.
Mimi nimemfanyia mahojiano Bi. Titi na nimesikia katika mazungumzo
ya kawaida.
Mwalimu alikuwa akiishiwa maneno wakati mwingine.
Mwalimu alikuwa akipewa maneno ya kusema na Bi. Titi.
Mtebetini,Asalaam Aleykum Maalim wangu Mohamed Said,
Ahsante kwa darsa nami kila nikipata nafasi hupitia kwenye huu Uzi maana najifunza Mambo mapya mengi shukuran. Maalim naomba niweke link hapa ya UZI nimeukuta humu jamvini kwa kweli nimeshangazwa na hilo bandiko.
“Ashakum si matusi" Maalim mleta huo uzi huwa anakuita muongo jee yeye hapa ameandika nini?
Uongo wa Historia ya Afrika na Waafrika itajibiwa na muafrika
eti kaandika kitabu kukujibu amesahau hili bandiko?
Al-Alama Ritz naomba uione
Saidat FaizaFoxy naomba upitie
Ahsante Maalim wangu hakika umenipa maarifa mapya katika darsa lako kwenye huu uzi, ila kwa mimi mwanafunzi kuna swali naomba uniweke sawa kwa jibu lako kuwa kuna makosa ya ukweli na makosa ya lugha iliyoandikwa,Maalim tafadhali hapo naomba ufafanuzi wako kidogo. Mi nilichokibaini na nikacheka kuwa mapinduzi yalifanyika kwa mtoto kumpiga Baba yake ngumi ya pua!!!?Mtebetini,
Mwaka wa 2003 katika mkutano wa Kimataifa Kampala, Uganda ambao kati ya
waliowasilisha mada alikuwa Prof. Ali Mazrui na Prof. Mohamed Bakari,
Prof. Mohamed Bakari katika kufanya majumuisho ya yale aliyosikia pale
alisema kuwa ni muhimu Waafrika wakaandika historia yao wenyewe kwani
wakiacha historia yao iandikwe na watu wengine wataandika mambo ambayo
wao hawatayapenda.
Prof. Mazrui halikadhalika Prof. Mohamed Bakari wameandika mengi ambayo
yamesaidia sana katika kufahamika mengi katika Afrika.
Lakini hawa walikuwa wasomi waliobobea katika fani zao.
Sasa ukitazama hayo yaliyoandikwa katika uzi ulionielekeza niusome kwa kweli
kuna makosa mengi si tu ya ukweli wa hayo yaliyoandikwa bali hata makosa ya
lugha na kukosekana kwa rejea za kuthibitisha kuwa mwandishi alifanya utafiti.
![]()
Prof. Mohamed Bakari akiwa ofisini kwake Fatih University Istanbul, Turkey na Mwandishi
![]()
Kulia kwa Prof. Mazrui ni Tamim Faraj Muslim University
of Morogoro (MUM) na kushoto kwake ni Mwandishi
Hilton Hotel, Kampala 2003
Wanamajlis,
Ingieni hapo chini msome dunia inasema nini kuhusu Prof. Ali Mazrui ili muweze
kupima kama kweli kila mtu anaweza kushika kalamu akaandika kuhusu historia
ya Afrika:
Mohamed Said: PROF. ALI MAZRUI MWALIMU WANGU WA MASAFA MAREFU
Mohamed Said: PROF. ALI MAZRUI MWALIMU WANGU WA MASAFA MAREFU
Mtebetini,Ahsante Maalim wangu hakika umenipa maarifa mapya katika darsa lako kwenye huu uzi, ila kwa mimi mwanafunzi kuna swali naomba uniweke sawa kwa jibu lako kuwa kuna makosa ya ukweli na makosa ya lugha iliyoandikwa,Maalim tafadhali hapo naomba ufafanuzi wako kidogo. Mi nilichokibaini na nikacheka kuwa mapinduzi yalifanyika kwa mtoto kumpiga Baba yake kofi!!!?
Ahsante Maalim wangu hakika umenipa maarifa mapya katika darsa lako kwenye huu uzi, ila kwa mimi mwanafunzi kuna swali naomba uniweke sawa kwa jibu lako kuwa kuna makosa ya ukweli na makosa ya lugha iliyoandikwa,Maalim tafadhali hapo naomba ufafanuzi wako kidogo. Mi nilichokibaini na nikacheka kuwa mapinduzi yalifanyika kwa mtoto kumpiga Baba yake kofi!!!?
Maalim MS nimesoma na nimepitia kila nukta ya makosa uliyo ainisha kwa kweli nachelea kusema kuwa Mwandishi ajipange kufanya shughuli ya uandishi,katika fani ya uandishi bado ni "kinda la Shorwe Wanda au Shorwe Bwenzi".Mtebetini,
Angalia kila penye wino ulokoza:
Binafsi nimejipa utaratibu kuwa vitabu vinavyohusu uafrika na waafri sitavitilia mkazo sana vile vilivyoandikwa na wazungu bali vilivyoandikwa na Waafrika wenyewe! Mfano ukisoma historia ya Mkwawa iliyoandikwa na wazungu wanasema mkwawa alijiua kwakujipiga risasi,?
Ukweli wa historia ya kiafrika wazungu waliona aibu kusema walimshindwa Mkwawa, Mkwawa hakujiua bali aliwatoroka wazungu na kuelekea Songea ambapo alifia milima ya Lukumbulu kwakuliwa na Simba baada ya kuugua akiwa milimani peke yake. Nimpongeze kamanda Edwin Mwesiga huyu ni mtafiti wa mambo ya kiafrika na uafrika wetu.
Ni rahisi sana Vijana wa leo kuwadhalau wazee wanaokutana nao barabarani na kuwaona watu wasio na Elimu wakiaminishwa kuwa elimu ilianzia magharibi, Cha ajabu Ahmed Baba (1556-1627) karne ya 16 aliandika vitabu 60.Ni mingoni mwa wasomi wa Phd katika ufalme wa Mali.
Ni vizuri watu tuyasake maarifa kwakutumia maarifa, na kwakutokujua historia yetu Waafrika tumelidhika Bara letu la Afrika na yale machache tunayoyafahmu, tukidhani wazungu ndio wasomi wa mwanzo duniani kumbe wapo waliofanya mapinduzi makubwa katika Africa,ila wamefichwa na historia za kigeni zinazofundishwa mashuleni.
Ukisoma leo historia ya Tanganyika ni aibu, inaanza na Nyerere na kuishia na Nyerere jambo ambalo ni uogo mkubwa......Pamoja na kwamba 1927 Gavana Sir David Cameron kupiga marufuku mtu mweusi kukanyaga mjini (posta ya leo) hasa kwenye sherehe za wazungu ambazo zilikuwa maranyingi zinafanyikia ukumbi wao pale makao makuu ya NBC leo,
Gavana huyu aliwaundia chama cha kuratibu sherehe za weusi huko pembeni ya mji huko mtaa wa Stanley (leo Lumumba) na kuwapa ofisi mahali leo wanapojiita TANU ilizaliwa. Lakini historia ya Tanganyika haiwataji waasisi wa AA, Rais wa kwanza Mwalimu Cesil Matola (msomi wa mwanzo kabisa enzi za mjerumani kutoka kabila la Wayao), katibu mkuu wa kwanza Klest Sykes (Mzulu mateka wa vita vya kwanza vya dunia toka Afrika Kusini), Mwekahazina Ali Ramadhan (mzaramo na mvuvi maarufu wa pwani la Azania).?
Hao ndio mwaka 1927? waliounda Chama cha kwanza kabisa cha kutetea maslahi ya weusi Tanganyika na shughuli zake zilikuwa ni kuratibu sherehe za waafrika tu.? (Chama cha walevi kwa lugha nyingine).? Mwaka 1933 Mwalimu Cesil Matola alifariki na nafasi yake ikakaimiwa na katibu mkuu wa chama hicho bwana Klest, mpaka ilipofika mwaka 1948? yakatokea mapinduzi yaliyoongozwa na mtoto wa Klest aliyeitwa Abdulwakil Sykes huyu alikuwa ametoka kupigana vita vya pili vya dunia, na aliporudi alikuwa na mawazo ya ujana toka vitani, akampindua baba yake kwa kumpiga ngumi puani. Kisha AA ikabadilishwa jina na kuitwa TAA,? Rais wake wa Kwanza akawa Dr Vedasto Kyaruzi? (Mhaya)huyu ndie dakitari wa binadamu wa kwanza kabisa wa kiafrika Tanganyika, Katibu mkuu akawa Abdulwakil Sykes na Mweka hazina akawa Dosa Azizi?, utawala huo ulienda mpaka mwaka 1953 uchaguzi ulipofanyika na Nyerere akashinda pale kwenye ukumbi wa Anautoglo Mnazimoja leo, mwaka 1954 Nyerere akabadili jina? la chama na kuwa TANU iliyokwenda mpaka mwaka 1977 na kisha kikazaliwa chama kiitwacho CCM ambacho kinalitafuna taifa leo..
Hili ndio chimbuko la AA, TAA, TANU na hii CCM.
Wanamajlis,
Makosa ndiyo hayo hayasemeki kwa wingi wake kwa kuwa muandishi
bado hajafikia kiwango cha kuweza kuandika kitaalamu.
Tuache hayo ya lugha twende kwenye ''facts'' ukweli wa kilichoandikwa
ambapo nimeweka alama ya kuuliza.
Kleist hakutoka Afrika ya Kusini.
Kleist kazaliwa Pangani mwaka wa 1894.
African Association ilibadilishwa jina kuwa Tanganyika African Association
(TAA) 1948 siyo 1950 hivyo suala la Dr. Kyaruzi kuwa rais wa kwanza wa
TAA halipo.
Nyerere hakubadili jina la TAA kuwa TANU jina hilo lilikuwapo toka 1945.
Yako makosa mengi kama ya Mkwawa ''kuliwa na simba,'' ''ngumi ya pua,''
nk. haya hapo juu yanatosha kuonyesha tatizo alilokuwanalo mwandishi.
Daktari wa kwanza Mwafrika ni Dr. Joseph Mutahangarwa si Dr. Vedasto
Kyaruzi.
Mtebetini,Maalim MS nimesoma na nimepitia kila nukta ya makosa uliyo ainisha kwa kweli anachelea kusema kuwa Mwandishi ajipange kufanya shughuli ya uandishi,kati fani ya uandishi bado ni "kinda la Shorwe Wanda au Shorwe Bwenzi".
Nimesoma sehemu ya bandiko lake Yeriko Nyerere na ameandika hivi
"Ukisoma leo historia ya Tanganyika ni aibu, inaanza na Nyerere na kuishia na Nyerere jambo ambalo ni uogo mkubwa......"
Wanabodi
Maandishi haya ange yaandika Maalim Mohamed Said laaaaahhh pangekuwa hapatoshi!!
Watoto wengi tu hassa hawa walio zaliwa miaka ya 80 hawajui au hawataki kujua kupambanua mambo.Maalim MS nimesoma na nimepitia kila nukta ya makosa uliyo ainisha kwa kweli nachelea kusema kuwa Mwandishi ajipange kufanya shughuli ya uandishi,katika fani ya uandishi bado ni "kinda la Shorwe Wanda au Shorwe Bwenzi".
Nimesoma sehemu ya bandiko lake Yeriko Nyerere na ameandika hivi :-
"Ukisoma leo historia ya Tanganyika ni aibu, inaanza na Nyerere na kuishia na Nyerere jambo ambalo ni uogo mkubwa......"
Wanabodi
Maandishi haya ange yaandika Maalim Mohamed Said laaaaahhh pangekuwa hapatoshi!!