Hamza Mwapachu, Abdulwahid Sykes na Chief Michael Lukumbuzya

Hamza Mwapachu, Abdulwahid Sykes na Chief Michael Lukumbuzya

Sikiliza kwa makini dakika 51-53, Mohamed Said anaunguruma katika radio akisema hakuna aliyewahi kumsikia au kumjua Nyerere TAA kabla ya kujulishwa kwa Abdulwahid Sykes 1952
https://soundcloud.com/mwinyimadi/sheikh-hassan-bin-amir-nur-fm

Hapa chini mtoto wa mzee Mwapachu, Juma Mwapachu anakuja na kusema 'stop Mohamed, muongo mkubwa wewe'' hayo si maneno ya Nguruvi ni ya Juma Mwapachu, msome hapa chini

''I still recall the visit vividly. I was a standard three pupil then and together with my brother Bakari had to sleep in the sitting room leaving our bedroom to the two guests.

Abdul Sykes was then President of TAA and the TAA leadership plus Dar-based political activists who were predominantly Moslems wanted Abdul Sykes to retain the Presidency.

Abdul was eager to secure Hamza's position on the matter given the fact that it was Hamza who introduced Nyerere to the TAA leadership in Dar back in 1949 before Nyerere left for Edinburgh University''


Mohamed Said

Kaombe radio radhi ili nayo iombe wasikilizaji radhi. Ni uungwana

La sivyo mwambie Juma Mwapachu yeye ndiye mrongo

Kama yote mawili ni magumu, fanya jepesi kabisa liombe jamvi radhi
Nguruvi3,
Nimekupa majibu.
 
Mkuu Nguruvi3 fikiria mtu anaendesha siasa za misikitini halafu akichukuliwa hatua unasema huo ni uonevu ebo hawa watu Mwl Nyerere angewaendekeza Tanzania ingekuwa nchi vipande vipande.Kati ya makosa makubwa Mwl Nyerere aliyowahi kufanya ni kutokuchukua mkondo wa Karume.
ah!..........
 
Mkuu Nguruvi3 waswahili wanasema ukiwa mwongo basi usiwe msahaulifu.Ustaadhi Mohamed Said ni aina ya watu wenye vipaji vya utunzi na simulizi za hadith narudia tena hadith si kwa bahati mbaya la hasha vitabu vyake au majarida yake tayari yana conclusion anayoitaka yeye lau kama conclusion ikiwa tofauti basi ataiweka kando au ataidharau.

Ustaadhi Mohamed Said uandishi wake umejikita zaidi katika kuidhoufisha uhusiano baina ya Uislam na Ukristo.Anapenda sana kuonyesha picha kwamba waliopigania uhuru wa nchi yetu ni waIslam pekee yake.Nafasi za viongozi wa Kikristo enzi za utawala wa mkoloni anazififisha hadi unashangaa.Mfano Rais wa kwanza wa AA Cecil Matola laiti huyu mwanamama angekuwa si mgalatia sifa zake zingekuwa si haba katika majarida ya Ustaadhi Mohamed,utashangaa zaidi Rais hatajwi kwingi lakini Katibu kwakuwa alikuwa Ustaadhi mwenzake anamiminiwa sifa kibao.
 
Wanajamvi msione mzee wetu amepoteza uelekeo anasema hovyo, tumemshika pabaya, tumethibitisha urongo na tunazidi kuonyesha kile tunachosema historia yake ni hisia juu ya Nyerere.

Kuna sauti yake na maandishi ya J.Mwapachu yanayoeleza kwa uzuri kabisa kuhusu hili. Kisha yakafuata maswali 7 aliyoshindwa kujibu

Anasema anazungumza ugenini kwa wasio na background hapa hawezi kujibu hoja. Mvumilieni mzee mkiona anapoteza network na kualika akina Faiza waje kumuokoa kwa matusi. Msiende huko kwa Faiza, tubaki na mzee wetu

Anaposema anasimama ugenini na kujibu maswali, ana maana anasimama ulaya! dalili njema za inferiority complex.

Mohamed tulia maana ndio kwanza kazi inaanza na msiumari zaidi yaja.
Nguruvi3,
Nimekupa majibu.
 
Kwa wasomaji mliokuta Mohamed Said anaokolewa na matusi ya akina Faiza, haya ndiyo yaliyopo mbele yetu. Mkiona mzee anahangaika, anasema hovyo, anatukuna basi baadhi ya sababu ni hizi hapa chini



1. Tunasubiri Mohamed Said atuletee nakala ya draft(rasimu) au katiba ya kuandika au kukopi iliyokuwepo, andikwa au tumiwa na Abdul Sykes kabla ya katiba iliyoandikwa/kopiwa na Nyerere.

2. Tunasubiri Mohamed Said atueleze kabla ya kutangazwa kwa TANU mwaka 1954, jina la TANU lilitumika katika mkutano au mkusanyiko gani ambao Adul Sykes au mwingine nje ya Nyerere

3. Halafu kuna sauti hii ya Mohamed Said katika dakika 51-53 akimueleza mtangazaji wa radio kuwa kabla ya mwaka 1952 hakuna aliyemsikia au kumjua Nyerere. Sikiliza hapa

https://soundcloud.com/mwinyimadi/sheikh-hassan-bin-amir-nur-fm

Kisha usome maneno haya ya Juma Mwapachu aliyempa Mohamed Said atueletee kama zawadi. Lengo lilikuwa kuonyesha sisi 'vichekesho' hatujui na wala hatuna mawasiliano na watu wakubwa kama akina Mwapachu.

Hata hivyo, katika maandishi hayo tunapata habari nyingine ikihusiana na introduction iliyofanywa na Hamza Mwapachu kwa Nyerere katika kile alichosema TAA Leadership

Kumbuka TAA leadership wakati huo ilikuwa chini ya Abdul Sykes, hivyo Hamza Mwapachu alimjulisha Nyerere kwa Abdul Sykes kama sehemu ya TAA leadership.

Soma hapa maneno ya Juma Mwapachu

''I still recall the visit vividly
. I was a standard three pupil then and together with my brother Bakari had to sleep in the sitting room leaving our bedroom to the two guests.

Abdul Sykes was then President of TAA and the TAA leadership plus Dar-based political activists who were predominantly Moslems wanted Abdul Sykes to retain the Presidency.

Abdul was eager to secure Hamza's position on the matter given the fact that it was Hamza who introduced Nyerere to the TAA leadership in Dar back in 1949 before Nyerere left for Edinburgh University''

Kwa faida ya wasomaji, tunaweka maneno ya Juma Mwapachu katika tafsiri isiyo rasmi
Tunaomba radhi ikiwa kuna mapungufu yatakayojitokeza. Juma Mwapachu anasema hivi


''Bado nakumbuka kwa uyakinifu. Nilikuwa mwanafunzi wa darasa la tatu na pamoja na kaka yangu Bakari tulilala sebuleni kuacha chumba kwa wageni wawili.

Abdulwahidi alikuwa Rais wa TAA na uongozi wa TAA pamoja na wanaharakati wa siasa wengi wao wakiwa waislam walitaka Abdul Sykes abaki kuwa Rais

Abdulwahid alikuwa tayari kumuafiki Hamza katika suala hilo katika ukweli kuwa ni Hamza ndiye aliyemtambulisha Nyerere kwa uongozi wa TAA Dar es salaam mwaka 1949 kabla Nyerere hajaondoka kwenda chuo kikuu Edimburgh''


Ndipo tunakuja kutafuta ufafanuzi kwa Mohamed Said katika hoja ya 4 na 5

4. Mohamed Said , je bado unaamini kuwa kabla ya 1952 hakuna yoyote aliyewahi kumsikia Nyerere katika TAA HQ chini ya Abdulwahid Sykes?

5. Je, maneno ya Juma Mwapachu ni uzushi au ni ukweli?

6. Ikidhihirika J.Mwapachu maneno yake ni sahihi,utaliomba radhi jamvi kwa upotoshaji?

Je, utawaomba radhi wasikilizaji uliowapotosha katika redio na lini utafanya hivyo?

7. Kama maneno yako ni nkweli, je utakuwa tayari kukanusha maneno ya Juma Mwapachu hapa jamvini na kutuomba radhi kwa kutuletea habari zisizo na ukweli?

Na mwisho, Mohamed ajibu hoja hizi, hatuwezi kuburuzwa tu tukubali hata upotoshaji eti kwavile tunataka kujua mengine.

Haina maana kujua mengine ikiwa yapo tusiyoyajua kama haya tunayomuuliza

Mohamed Said, tafadhali sana usihamishe mjadala na kukwepa hoja.

Tunataka kusahihisha historia ya kivukoni kwa ukamilifu wake.

Hatutaki kuwaacha vijana wamechanganyikiwa kwa hoja kinzani.

Tutaendelea baada ya majibu, vinginevyo ukiri makosa kama tunavyokubali ya kivukoni.

Ahsante

Hizi nondo ni ngumu sana kujibiwa sana sana utaambiwa na wewe kaandike kitabu chako.
 
Mkuu Nguruvi3 waswahili wanasema ukiwa mwongo basi usiwe msahaulifu.Ustaadhi Mohamed Said ni aina ya watu wenye vipaji vya utunzi na simulizi za hadith narudia tena hadith si kwa bahati mbaya la hasha vitabu vyake au majarida yake tayari yana conclusion anayoitaka yeye lau kama conclusion ikiwa tofauti basi ataiweka kando au ataidharau.

Ustaadhi Mohamed Said uandishi wake umejikita zaidi katika kuidhoufisha uhusiano baina ya Uislam na Ukristo.Anapenda sana kuonyesha picha kwamba waliopigania uhuru wa nchi yetu ni waIslam pekee yake.Nafasi za viongozi wa Kikristo enzi za utawala wa mkoloni anazififisha hadi unashangaa.Mfano Rais wa kwanza wa AA Cecil Matola laiti huyu mwanamama angekuwa si mgalatia sifa zake zingekuwa si haba katika majarida ya Ustaadhi Mohamed,utashangaa zaidi Rais hatajwi kwingi lakini Katibu kwakuwa alikuwa Ustaadhi mwenzake anamiminiwa sifa kibao.
Ngongo,
Uwanja wa huu huru ikiwa na wewe unalo la kueleza ahlan wasaalan
andika tutasoma na ukiwa na picha zibandike tutaziangalia.

Hayo mengine nimeyasoma ni fikra zako na binadamu hatuwezi sote
tukawa na fikra sawa.
 
Kwa wasomaji mliokuta Mohamed Said anaokolewa na matusi ya akina Faiza, haya ndiyo yaliyopo mbele yetu. Mkiona mzee anahangaika, anasema hovyo, anatukuna basi baadhi ya sababu ni hizi hapa chini



1. Tunasubiri Mohamed Said atuletee nakala ya draft(rasimu) au katiba ya kuandika au kukopi iliyokuwepo, andikwa au tumiwa na Abdul Sykes kabla ya katiba iliyoandikwa/kopiwa na Nyerere.

2. Tunasubiri Mohamed Said atueleze kabla ya kutangazwa kwa TANU mwaka 1954, jina la TANU lilitumika katika mkutano au mkusanyiko gani ambao Adul Sykes au mwingine nje ya Nyerere

3. Halafu kuna sauti hii ya Mohamed Said katika dakika 51-53 akimueleza mtangazaji wa radio kuwa kabla ya mwaka 1952 hakuna aliyemsikia au kumjua Nyerere. Sikiliza hapa

https://soundcloud.com/mwinyimadi/sheikh-hassan-bin-amir-nur-fm

Kisha usome maneno haya ya Juma Mwapachu aliyempa Mohamed Said atueletee kama zawadi. Lengo lilikuwa kuonyesha sisi 'vichekesho' hatujui na wala hatuna mawasiliano na watu wakubwa kama akina Mwapachu.

Hata hivyo, katika maandishi hayo tunapata habari nyingine ikihusiana na introduction iliyofanywa na Hamza Mwapachu kwa Nyerere katika kile alichosema TAA Leadership

Kumbuka TAA leadership wakati huo ilikuwa chini ya Abdul Sykes, hivyo Hamza Mwapachu alimjulisha Nyerere kwa Abdul Sykes kama sehemu ya TAA leadership.

Soma hapa maneno ya Juma Mwapachu

''I still recall the visit vividly
. I was a standard three pupil then and together with my brother Bakari had to sleep in the sitting room leaving our bedroom to the two guests.

Abdul Sykes was then President of TAA and the TAA leadership plus Dar-based political activists who were predominantly Moslems wanted Abdul Sykes to retain the Presidency.

Abdul was eager to secure Hamza's position on the matter given the fact that it was Hamza who introduced Nyerere to the TAA leadership in Dar back in 1949 before Nyerere left for Edinburgh University''

Kwa faida ya wasomaji, tunaweka maneno ya Juma Mwapachu katika tafsiri isiyo rasmi
Tunaomba radhi ikiwa kuna mapungufu yatakayojitokeza. Juma Mwapachu anasema hivi


''Bado nakumbuka kwa uyakinifu. Nilikuwa mwanafunzi wa darasa la tatu na pamoja na kaka yangu Bakari tulilala sebuleni kuacha chumba kwa wageni wawili.

Abdulwahidi alikuwa Rais wa TAA na uongozi wa TAA pamoja na wanaharakati wa siasa wengi wao wakiwa waislam walitaka Abdul Sykes abaki kuwa Rais

Abdulwahid alikuwa tayari kumuafiki Hamza katika suala hilo katika ukweli kuwa ni Hamza ndiye aliyemtambulisha Nyerere kwa uongozi wa TAA Dar es salaam mwaka 1949 kabla Nyerere hajaondoka kwenda chuo kikuu Edimburgh''


Ndipo tunakuja kutafuta ufafanuzi kwa Mohamed Said katika hoja ya 4 na 5

4. Mohamed Said , je bado unaamini kuwa kabla ya 1952 hakuna yoyote aliyewahi kumsikia Nyerere katika TAA HQ chini ya Abdulwahid Sykes?

5. Je, maneno ya Juma Mwapachu ni uzushi au ni ukweli?

6. Ikidhihirika J.Mwapachu maneno yake ni sahihi,utaliomba radhi jamvi kwa upotoshaji?

Je, utawaomba radhi wasikilizaji uliowapotosha katika redio na lini utafanya hivyo?

7. Kama maneno yako ni nkweli, je utakuwa tayari kukanusha maneno ya Juma Mwapachu hapa jamvini na kutuomba radhi kwa kutuletea habari zisizo na ukweli?

Na mwisho, Mohamed ajibu hoja hizi, hatuwezi kuburuzwa tu tukubali hata upotoshaji eti kwavile tunataka kujua mengine.

Haina maana kujua mengine ikiwa yapo tusiyoyajua kama haya tunayomuuliza

Mohamed Said, tafadhali sana usihamishe mjadala na kukwepa hoja.

Tunataka kusahihisha historia ya kivukoni kwa ukamilifu wake.

Hatutaki kuwaacha vijana wamechanganyikiwa kwa hoja kinzani.

Tutaendelea baada ya majibu, vinginevyo ukiri makosa kama tunavyokubali ya kivukoni.

Ahsante
Mkuu mpungizie dozi mzee wetu ms sababu utamkimbiza bure kwenye mnakasha
 
maalim Mohammed anamwaga ukweli. watu hawataki....
Mkuu tusaidie kidogo, kati yake na Juma Mwapachu nani anasema ukweli? Wengine hatuna ufahamu

Pili, alisema Abdul kaandika katiba ya TAA, umeiona ile aliyoileta? Ndiyo katiba?

Tatu, kumwambia amwage ukweli, jina la TANU lilitumika wapi na lini kabala ya Nyerere hajaidhinisha?

Hatuna tatizo na historia kabisa, tuna tatizo na hesabu za historia yake zenye conclusion si kutokana na matukio bali hisia. Wengine wanaiita Histohisia

Lengo lake si kufuata mtiririko wa matukio, ni kumlenga mtu wake Nyerere ili abinafsishe historia ya nchi kwa familia tukufu.
Ndiyo maana akina Juma wanasema, a aa ! inatosha
 
maalim Mohammed anamwaga ukweli. watu hawataki....
Ukweli gani? acha kubwabwaja ovyo hapa tatzo mmezoea kudanganya sana sasa leo kiongozi Nguruvi3 anasahihisha urongo wenu mnabaki kubwabwaja na kutoa lugha za kukera
 
Hizi nondo ni ngumu sana kujibiwa sana sana utaambiwa na wewe kaandike kitabu chako.
Ngongo,
Kuna wakati nikiwaambia hivyo kwa kuwa nilidhani mna uwezo
wa kuandika kitabu.

Majibu natoa zaidi ya majibu.
Nakupeni majibu lakini si yale ambayo nyie mnapenda.

Pili katika majibu naangalia na wasomaji wengine na ili nisiwafunge
kila inapotokea nafasi nakuja taaifa mpya.

Hivi ndivyo ninavyoweza kuufanya uzi huu upendenze na watu wengi
wajazane kuja kutusikiliza.

Ungelijuaje kama magazeti ya TANU yalikwepa kuandika taazia ya Abdul
alipofariki mwaka wa 1968.

Ungelijuaje kama magazeti ya Africa Events yalikusanywa yasisomwe kwa
kuandika kuwa Abdul Sykes ndiye aliyeasisi TANU.

Ungejuaje kuwa Hamza Mwapachu alitaka sana Nyerere aongoze harakati
za kudai uhuru na maneno haya anamweleza Abdul Sykes.

Upande mmoja huenda nyie hamridhiki na kalamu yangu lakini kuna watu
hawaishi kunipongeza kwa kuwapa elimu bila khiyana.

Maalim wangu wa madras Sheikh Haruna akisema,''Tunakufundisheni ilm
hii ili waja wa Allah wafaidike na nyinyi. Hatuwafundishi mkataabishe watu.''

Ndiyo maana mimi na nyinyi leo tunajadili na mimi najitahidi kuwapeni ilm
ambayo kabla hamkuwanayo.
 
Ngongo,
Kuna wakati nikiwaambia hivyo kwa kuwa nilidhani mna uwezo
wa kuandika kitabu.

Majibu natoa zaidi ya majibu.
Nakupeni majibu lakini si yale ambayo nyie mnapenda.

Pili katika majibu naangalia na wasomaji wengine na ili nisiwafunge
kila inapotokea nafasi nakuja taaifa mpya.

Hivi ndivyo ninavyoweza kuufanya uzi huu upendenze na watu wengi
wajazane kuja kutusikiliza.

Ungelijuaje kama magazeti ya TANU yalikwepa kuandika taazia ya Abdul
alipofariki mwaka wa 1968.

Ungelijuaje kama magazeti ya Africa Events yalikusanywa yasisomwe kwa
kuandika kuwa Abdul Sykes ndiye aliyeasisi TANU.

Ungejuaje kuwa Hamza Mwapachu alitaka sana Nyerere aongoze harakati
za kudai uhuru na maneno haya anamweleza Abdul Sykes.

Upande mmoja huenda nyie hamridhiki na kalamu yangu lakini kuna watu
hawaishi kunipongeza kwa kuwapa elimu bila khiyana.

Maalim wangu wa madras Sheikh Haruna akisema,''Tunakufundisheni ilm
hii ili waja wa Allah wafaidike na nyinyi. Hatuwafundishi mkataabishe watu.''

Ndiyo maana mimi na nyinyi leo tunajadili na mimi najitahidi kuwapeni ilm
ambayo kabla hamkuwanayo.
Siyo ilm tu umesema tunasahihisha makosa ya kivukoni, tukakubaliana.

Unaporudia makosa ya kivukoni kwa mlango wa nyuma inatisha kuliko kivukoni.

Ushajua ni makosa halafu unatenda makosa, ina maana umedhamira si bahati mbaya

Lakini MS kwa wengine kusoma kama hadithi ni njema, kwa baadhi yetu tunasoma kama comprehension ili tuweze kuunganisha dots

Ndiyo maana tunakuuliza

Kati ya sauti yako katika radio na kauli ya Juma Mwapachu tunasimama wapi?

Nyerere alijulikana TAA au hakujulikana kama unavyosema?

Lakini pia umehamisha goli kwa Platan, tunasema hakiharibika kitu

Je, uongozi wa TAA haukumhusu Abdul Sykes?

Upo tayari kuomba radhi radio Nur kwa upotoshaji wako?

Upo tayari kutuomba radhi kwa ubabaishaji wa kutumia historia?

Hakuna either way, ni uombe radhi tu ndilo litanusuru heshima yako

Sauti ya Mohamed Said, na maneno ya Juma Mwapachu yanafuata
 
Hizi nondo ni ngumu sana kujibiwa sana sana utaambiwa na wewe kaandike kitabu chako.
Nshaambiwa twende mbele tuachane na hayo!

Kwamba twende tuu hata kama darsa ya Mudeer Mohamed ina tatiza.

Tunatakiwa tukae kitako na kushangilia tu! go mudeer go, hurreeee! bravo

Mtu anapokwenda kwenye radio kusema uongo, inahitaji tufikiri kidogo
 
Hakika Faiza kichwa chako kimejaa pumba cz mkuu hapo juu kaomba msamaha lkn wwe jinsi ulivyokua punguani unamtaka aombe msahama tena Ficha uzembe wako

Soma alichokiomba msamaha kipi na alichozua kipi, ukiweza vinukuu vyote na ukishindwa uje useme nani ni punguani zaidi yako.
 
Mkuu tusaidie kidogo, kati yake na Juma Mwapachu nani anasema ukweli? Wengine hatuna ufahamu

Pili, alisema Abdul kaandika katiba ya TAA, umeiona ile aliyoileta? Ndiyo katiba?

Tatu, kumwambia amwage ukweli, jina la TANU lilitumika wapi na lini kabala ya Nyerere hajaidhinisha?

Hatuna tatizo na historia kabisa, tuna tatizo na hesabu za historia yake zenye conclusion si kutokana na matukio bali hisia. Wengine wanaiita Histohisia

Lengo lake si kufuata mtiririko wa matukio, ni kumlenga mtu wake Nyerere ili abinafsishe historia ya nchi kwa familia tukufu.
Ndiyo maana akina Juma wanasema, a aa ! inatosha
Nguruvi3,
Mgumu sana kuelewa.
Hiyo si katiba ya TAA.

Walichoandika TAA Political Subcommittee nakuwekea hapa ingawa
nilikupa rejea nikakwambia ukimsoma Listowel (1965), Pratt (1976)
utapata kila kitu.

Hawa ndiyo watu wa kwanza kuileta katiba ile hadharani.

Mimi nimekuja baadae (1998) lakini kwa staili nyingine ya kwenda
nyuma ya wale wajumbe na kueleza uhusiano wao na umma waliokuwa
wanauongoza.

Nimeeleza kwa nini Abdul Sykes alimtia Sheikh Hassan bin Amir katika
siasa za TAA.

Kwa nini alimtia na Said Chaurembo katika siasa za TAA.
Huyu alikuwa kaka yake Sheikh Abdallah Chaurembo.

(Sheikh Abdallah Chaurembo alikuja kuwa mtu muhimu sana katika siasa
baada ya uhuru kupatikana).

Ana kisa kikubwa sana.
Kwa nini alimleta Earle Seaton kama mshauri wa sheria katika TAA nk. nk.

Wewe umeshikilia kuwa ni katiba ya TAA na unarudia mara kadhaa huku ukidai
sijibu maswali yako.

Hii ilikuwa katiba ya Tanganyika chini ya Gavana Edward Twining katiba
ambayo Twining aliikataa.

Huyu gavana ndiye aliyeomba mapendekezo vipi nchi itawaliwe kutoka kwa
watawaliwa.

Document hili limepotea halipo kokote.
 
Nshaambiwa twende mbele tuachane na hayo!

Kwamba twende tuu hata kama darsa ya Mudeer Mohamed ina tatiza.

Tunatakiwa tukae kitako na kushangilia tu! go mudeer go, hurreeee! bravo

Mtu anapokwenda kwenye radio kusema uongo, inahitaji tufikiri kidogo
Nguruvi3,
Mimi si muongo.

Nimeiandika historia ya TANU kwa kadri Allah alivyoniwezesha
kiasi hata hao wahusika wenyewe waliokuwa TAA na TANU
wamenipongeza.

Prof. Haroub Othman hakuniita muongo yeye kataka kusikia
upande wa pili wanasemaje.
 
Mkuu mpungizie dozi mzee wetu ms sababu utamkimbiza bure kwenye mnakasha
Wembeee,
Mimi nikimbie kwa kipi kitakachonitisha hapa jamvini?
Hebu tufahamiane:

PUBLICATIONS/RESEARCH PAPERS/ARTICLES
1. The Life and Times of Abdulwahid Sykes 1924 –1968 The Untold Story of the Muslim Struggle against British Colonialism in Tanganyika, Minerva Press London, 1998 translated into Kiswahili as Maisha na Nyakati za Abdulwahid Sykes 1924-1968Historia Iliyofichwa Kuhusu Harakati za Waislam Dhidi ya Ukoloni wa Waingereza, Phoenix Publishers, Nairobi, 2002.
2. The Torch on Kilimanjaro, Oxford University Press 2006, Nairobi. (Children’s book).
3. Contributing author for an African anthology: The Mermaid of Msambweni and Other Stories, Oxford University Press 2007, Nairobi.
4. Contributing author Dictionary of African Biography (DAB), Oxford University Press 2011, New York.
5. Uchaguzi wa Busara, Abantu Publications 2008, Dar es Salaam.
6. In Praise of Ancestors (1987) Africa Events (London).
7. Abdulwahid Sykes: Founder of Political Movement (1988) Africa Events (London).
8. Islam and Politics in Tanzania (1989) Al Haq International (Karachi)
9. The Plight of Tanzanian Muslim (1993) Change (Dar es Salaam).
10. Tanzania - The "Secular" Unsecular State (1995) Change (Dar es Salaam).
11. The Question of Muslim Stagnation in Education in Tanzania - A Muslim Riddle (Paper presented at the Conference of the Global World of the Swahili Intercultural Dialogue on the Indian Ocean Zanzibar, February 20 - 23, 2003).
12. Islamic Education and Intellectualism in Eastern Africa ‘Themes from the Pulpit in Tanganyika (Tanzania Mainland) 1800 – 2000’ (Paper presented at International Symposium on Islamic Civilisation in Eastern Africa Kampala, Uganda organised by the Islamic Conference Research Centre for Islamic History, Art and Culture (IRCICA), Istanbul and the Islamic University in Uganda, Mbale December 15th – 17th 2003).
13. Sheikh Hassan bin Ameir - The Moving Spirit of Muslim Emancipation in Tanganyika (1950 – 1968) (Paper presented at Youth Camp Organised by Zanzibar University, World Assembly of Muslim Youth (WAMY) and Tanzania Muslim Students Association (TAMSA) 27th February – 4th March 2004).
14. Islamic Movement and the Christian Lobby in Tanzania - the Experience of the late Prof. Kighoma Ali Malima (1938 – 1995) (Paper Presented to Tanzania Muslim Students Association (TAMSA) Sokoine University of Agriculture (SUA)Morogoro 11th April 2004).
15. Terrorism in East Africa the Tanzanian Experience (Paper Presented at the Conference on Islam, Terrorism and African Development University of Ibadan, Nigeria 8th - 10th February 2006).
16. Al Marhum Sheikh Kassim bin Juma bin Khamis (1940 – 1994) and the Pork Riots of 1993. (Paper Presented at the Regional Conference on Islam in Eastern Africa: Islam Encounter with the Challenges of the 21st Century 1st - 3rd August 2006, Kenyatta University, and Nairobi.
17. Muslim Bible Scholars of Tanzania – The Legacy of Sheikh Ahmed Deedat (1918 – 2005) Paper Presented at the International Symposium on Islamic Civilisation in Southern Africa Organised by The Organisation of Islamic Conference Research Centre for Islamic History, Art and Culture (IRCICA) The National AWQAF Foundation of South Africa (AWQAF SA 1 – 3 September 2006 University of Johannesburg. The paper was also presented at Islamic Propagation Centre International (IPCI) Durban.
18. Tanzania: A Nation Without Heroes Seminar Organised by IFRA French Institute for Research in Africa and BIEA British Institute in East Africa 23rd and 24th September 2013 at IFRA Nairobi.

19. Awards: Several Awards.
20.Board Member Radio Kheri
21. Visiting Scholar: (2011)
University of Iowa, Iowa City, USA
Northwestern University, Chicago, Illinois, USA
Zentrum Moderner Orient (ZMO), Berlin.
 
maalim Mohammed anamwaga ukweli. watu hawataki....
Myoyambendi,
Allah ana njia zake za ajabu kabisa.

Leo hii mimi nimepata hadhira ya bure naisome nikiwa nimekaa
kitako nyumbani kwangu.

Hivi sasa achilia mbali wanaonisoma JF blog yangu inasomwa
kwingi duniani na watu wa kawaida na watafiti.

Napokea simu nyingi sana.
Historia hii imeathir watu wengi sana.

Lakini mengi nisingeweza kuandika kama si kuulizwa na watu kama
Nguruvi3 na Ngongo.

Kwangu mimi hawa watu ni muhimu sana na ndiyo maana nawaweka
katika blog yangu ili watafiti wawasome na wajue fikra za wale ambao
kwa miaka walikuwa wanasomeshwa historia rasmi.
 
Back
Top Bottom