myaudi ni myaudi mkristu ni mkristu , wakristu hatuna ushabiki wa kidini , hapo mashariki ya kati wapalestina ndo chanzo cha vita hii na walifanikiwa kuwadanganya akina Nyerere na Mandela sabab hao walikuwa na reflections za ukolon bado hasa wakiangalia mmoja alikuwa imara kiuchumi ila hawakutuliza akili ba kufuatilia ila leo ukwe umejulikana , kwanza wapalestina wanadanganya kuwa wayaudi wote walikuja mwaka 1861 hadi 1948 hii si kwel walikwepo wayaudi hata kabla ya 1861 na wasomi mbali mbali walipopita hapo wakaona jamii ya kiyaudi , makaburi ya kiyaudi , mabaki ya majengo ya kiyaudi na hao ndo walienda washawishi viongoz wa Ulaya na America kuwapeleka hapo Palestina iliyokuwa chini ya Uingereza , pia baada ya kufika hapo waarab wanasema waliwapokea vzr hii pia sio kwel maana mwaka 1927 waarab waliwashambulia wayaudi na kupelekea vifo sio chini ya 500 , hoja nyingine ni kuwaita wayaudi ni occupier hii pia sio kwel bali wao waarab ndo walilenga kuoccupy maeneo ya wayaudi maana mwaka 1948 mwingereza aliona sio sahihi kuwaacha kweny nchi moja akaamua kuigawa kama ilivyo kwa India ikawa Pakistan ya waislam na India ya wahindu hapa waislam waliona sw ila kwa Palestina kuwa Palestina na Israel kwao ikawa sio sw , na kwa ujinga wa waarab wakaona ni bora kupigana kuwapora waisrael eneo dogo walilopewa kuliko wao waarab kuunda taifa kwenye eneo kubwa walilokatiwa ( mataifa jiran ya kiarabu yaliwaponza waarab wa Palestina kwa kuwatoa kwenye reli tangu mwaka 1948 ) , waarab wakavamia Israel mwaka 1948 ila Israel akawazid nguvu bado wapalestina kwa akili zao za kuku badala ya kuunda taifa kwenye eneo lao kubwa wao wakajikita kujipanga kuivamia tena Israel miaka ya 1950 wakaivamia tena Israel ila wakapigwa tena , na baada Israel kuona hawa watu sio wa amani basi ndio sababu ya kuwapokonya maeneo ili kuwasogeza mbali kutokea kwake , so occupation hiu imechochewa na wao waarab maana hawakutaka amani ila walitaka vita wkt mwenzao alikuwa busy kujenga uchumi , WANAOSAPOTI WAPALESTINA WENGI WAO WAMELISHWA HISTORIA NUSU HASA HASA ILE INAYOWAONESHA WAARAB KAMA WAONEWAJI