Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Waislamu Wana chukiwa sana na wayahudi hali kadhalika wa kristo Wana chukiwa sana na kuitwa idol worshipers lakini still wayahudi wa Africa (waswahili wenzetu) Wana watukuza na kujikomba na kuwaita taifa teule.
Wewe na waarabu waAfrika ndio wanafikiri hivyo.Tatizo kubwa ndugu zetu upande wa Adam (wagalatia) wanadhani Wayahudi jamaa zao.
Sasa ngoja waje hapa wale wayahudi wa pugu usikie matusi. Utafkiri wameletewa posa na Ustadh..
Teh teh teh
Nimesoma hadi hapo uliposema kuwa wakristo amna ushabiki wa kidini .....nikagundua kuwa wewe ni zuzu wakristo wana ushabiki hadi wa kimadhehebu nini dini ?....hata waisiharamu ni hivyo hivyo wanaushabiki hadi kimadhehebu ...labda ujui maana ya USHABIKI....Leo hii waisiharamu kwa kuwa ni mashabiki wa uislamu wanajiona wao wanajua dini kuliko mungu na mtume wao.... Na wakristo ni hivyo hivyo wamefikia kumfanya mungu kama mke wao.myaudi ni myaudi mkristu ni mkristu , wakristu hatuna ushabiki wa kidini , hapo mashariki ya kati wapalestina ndo chanzo cha vita hii na walifanikiwa kuwadanganya akina Nyerere na Mandela sabab hao walikuwa na reflections za ukolon bado hasa wakiangalia mmoja alikuwa imara kiuchumi ila hawakutuliza akili ba kufuatilia ila leo ukwe umejulikana , kwanza wapalestina wanadanganya kuwa wayaudi wote walikuja mwaka 1861 hadi 1948 hii si kwel walikwepo wayaudi hata kabla ya 1861 na wasomi mbali mbali walipopita hapo wakaona jamii ya kiyaudi , makaburi ya kiyaudi , mabaki ya majengo ya kiyaudi na hao ndo walienda washawishi viongoz wa Ulaya na America kuwapeleka hapo Palestina iliyokuwa chini ya Uingereza , pia baada ya kufika hapo waarab wanasema waliwapokea vzr hii pia sio kwel maana mwaka 1927 waarab waliwashambulia wayaudi na kupelekea vifo sio chini ya 500 , hoja nyingine ni kuwaita wayaudi ni occupier hii pia sio kwel bali wao waarab ndo walilenga kuoccupy maeneo ya wayaudi maana mwaka 1948 mwingereza aliona sio sahihi kuwaacha kweny nchi moja akaamua kuigawa kama ilivyo kwa India ikawa Pakistan ya waislam na India ya wahindu hapa waislam waliona sw ila kwa Palestina kuwa Palestina na Israel kwao ikawa sio sw , na kwa ujinga wa waarab wakaona ni bora kupigana kuwapora waisrael eneo dogo walilopewa kuliko wao waarab kuunda taifa kwenye eneo kubwa walilokatiwa ( mataifa jiran ya kiarabu yaliwaponza waarab wa Palestina kwa kuwatoa kwenye reli tangu mwaka 1948 ) , waarab wakavamia Israel mwaka 1948 ila Israel akawazid nguvu bado wapalestina kwa akili zao za kuku badala ya kuunda taifa kwenye eneo lao kubwa wao wakajikita kujipanga kuivamia tena Israel miaka ya 1950 wakaivamia tena Israel ila wakapigwa tena , na baada Israel kuona hawa watu sio wa amani basi ndio sababu ya kuwapokonya maeneo ili kuwasogeza mbali kutokea kwake , so occupation hiu imechochewa na wao waarab maana hawakutaka amani ila walitaka vita wkt mwenzao alikuwa busy kujenga uchumi , WANAOSAPOTI WAPALESTINA WENGI WAO WAMELISHWA HISTORIA NUSU HASA HASA ILE INAYOWAONESHA WAARAB KAMA WAONEWAJI
acha upumbav wewe alikuwa ndan ya Israel kama wale wengine waliotekwa , je wale waafrik wa darfur walikuwa kwenye wrong place mpk wakauawa na waarab wa sudan , hv ngozi nyeusi mtaanza jipenda ? unataka kupiga pindi ukikutwa wewe na matatizo hayo ? ndio maana waarab wanawaitwa nyiny ni watumwa , yaan waliacha kuwaua maadui zao wayaudi pia wakaacha kuwaua wale raia wa ufilipino , indonesia , America ( adui mkuu ) wote hawakuwa waislam bali wakaona wamuue mtz , walifanya hv makusudi sababu walijuwa huku kuna misukule itatetea tofaut na waislam wa Indonesia , Filipino na hata nchi za Magharibi , Ifike muda mjitambue nyie waafrika , hatima yenu ipo mikononi mwenu huu ujinga ndo unafanya mnaonekana watu wa daraja la mwisho , Mguse muarab mkristo waarabu wote watakushambulia , ila ua mwafrika mkristo wafrika wote wislam watahararisha hiko kifo kwa kumtetea muuajiIts sad the young man lost his life because he was in the wrong place at the wrong time ghaza is battle field people lose life unfortunately
sudan is in Africa member of African community you can solve it
waarabu is 22 countries which waarabu your talking about please be specific
Uharo mtupuacha upumbav wewe alikuwa ndan ya Israel kama wale wengine waliotekwa , je wale waafrik wa darfur walikuwa kwenye wrong place mpk wakauawa na waarab wa sudan , hv ngozi nyeusi mtaanza jipenda ? unataka kupiga pindi ukikutwa wewe na matatizo hayo ? ndio maana waarab wanawaitwa nyiny ni watumwa , yaan waliacha kuwaua maadui zao wayaudi pia wakaacha kuwaua wale raia wa ufilipino , indonesia , America ( adui mkuu ) wote hawakuwa waislam bali wakaona wamuue mtz , walifanya hv makusudi sababu walijuwa huku kuna misukule itatetea tofaut na waislam wa Indonesia , Filipino na hata nchi za Magharibi , Ifike muda mjitambue nyie waafrika , hatima yenu ipo mikononi mwenu huu ujinga ndo unafanya mnaonekana watu wa daraja la mwisho , Mguse muarab mkristo waarabu wote watakushambulia , ila ua mwafrika mkristo wafrika wote wislam watahararisha hiko kifo kwa kumtetea muuaji
ebu jitambue we mbuz , upo hapa unaongea lugha ya mkolon kutetea waarabu hii ni ishara tosha kuwa wewe ni hamnazo , Kabla ya trh 7 oct hakukuwa na vita pale Israel , Mollel kapotea baada ya shambulio la Kigaid la Hamas trh 7 oct 2023 , hv lin nyie mbuz mtaanza jitambua na kujipenda badala ya kuabudu waarab ambao wanawauza kama watumwa ( kaangalie "Human trafficking" inayoendelea sasa hv , pia documentary ya "Maid in Hell" ukajifunze zaid , pia zipo documentary za Dw zinaweja waz mali zetu waafrika zinaishia Dubai karne ya 21 mtu mweusi kushabikia mtu anaekufanya maskin kisa ni dini moja vitukuu vitatucheka sana baadae kama tunavyowacheka waliopewa vioo wakauza uhuru wao ingawaje wao walikuwa hawana exposure ya dunia , sasa hv waarab wanaenda kusoma ulaya ila huku kwenu wameunda vikundi vikiwahamasisha kupinga elimu dunia ambayo wao wanapambana kuipata , hawa waarabu endeleen kuwachekeeni )Its battle field israel ghaza yemen red sea lebanon
its sad when life is lost doesn't matter what skin or race is belong to
innocent people can be killed if is in the wrong place at the wrong time
Sudan is African country you can solve as African community
Ethiopia is mixture of races , black arent racists like arabs who dont want to mix with other races , they killed all blacks in northern africa and remaining blacks were pushed towards centre of Sahara deserts suffering from shortage of water &food , electricity and poor security , keep on supporting arabs but they dont care about youWhy are you calling it African continent and why your African community headquater in Habeshian country
he lost his life in occupied land
red sea
Google translation huwa mzozo sana😄Wanaukumbi.
Kundi la wanaume wa jamii ya Wayahudi wa Hasidi huko New York walikamatwa Jumatatu huku kukiwa na mzozo juu ya handaki haramu lililochimbwa kwa siri kando ya sinagogi la kihistoria, ambalo limefungwa tangu wakati huo.
Hatua za utekelezaji wa sheria baada ya handaki hilo kujulikana zilisababisha mzozo kati ya polisi na wale ambao walikuwa wameunda njia ya kupita na kutaka ibaki.
Makao makuu ya ulimwengu ya Chabad-Lubavitch, yaliyo katika kitongoji cha Crown Heights huko Brooklyn huko New York City, yalikuwa katika machafuko Jumanne wakati viongozi wa Kiyahudi na polisi wakikabiliana na kile Rabbi Motti Seligson, msemaji wa Chabad, aliita "kundi la wanafunzi wenye msimamo mkali"
kwamba hujui kuwa Ukraine ilivamiwa ? hv mnatumiaga akili gan ? huwa nawashanga waislam wa afrika nyinyi ndo kikwazo kwenye bara letu, tulikuwa tunaanza kupiga hatua mmetuletea mivita ya kijinga mmevuruga amani ya bara letu , mnaiba mali mnapeleka uarabuni halaf wao wanawalipa kwa kujenga misikiti wakati wao wanaenda kula bata AmericaMmarekani na West wanafadhili nini Ukraina ? Jerusalemu yale masoko ya almasi na dhahabu za Congo vipi ???
Kumbuka maneno ya Bwana Yesu
View attachment 2868063
hv una akili wewe kabla ya tarehe 7 oct kulikuwa na vita gan pale ? kwann hawakuwaua wale mateka wa nchi nyingine ? kwann hawakuwaua mateka wa kiyaudi ? hv unahisi waarab wanakuwazia wewe kama mwanadamu kamili ? , kaangalie documentary ya MAID IN HELL uone dada zenu wanavyoteswa na kuuliwa wakiwa hai , yaan kwenye waarabu ndo wanaua mtu mweusi na kuwaacha wengine halaf unasema kulikuwa na vita , kwamba vita inamuua mtu mweusi tu ila mfilipino , muindonesia , mchina , mmarekan , myaudi hapaswi kuuliwa ? HV LINI UTAPATA AKILI WEWE , UKIITWA NUSU MWANADAMU UTABISHA ?Ficha ujinga wako basi,,, kumbuka wale wapo vitani na huyo mollel alikuwa na wanajeshi kambini na kavaa bulletproof hata kama wewe ungemuacha kisa tu hajui lugha,, kwani huyo Israel hujui pia kama anatumia askari wa kukodiwa kutoka mataifa tofauti..
mlipowashambulia 7 oct , mlitegemea waje kuwapongeza ?Mazayuni ndio magaidi
ila huyo si ndo nabii wenu Isa halaf unataka kwa dhihaka hapa , hukokwa Allah unalo la kujibuUkweli ni kuwa wakristo mungu wenu ni Yesu yule anae ning'inia pale msalabani na kichupi chake.
Na walio mning'iniza ndio hao hao unao jipendekeza kwao WAYAHUDI.
Ndio maana tunasema nyinyi wakristo munajipendekeza tu kwa wayahudi.
Laiti wayahudi wangekua ndugu zenu kama munavyo tuongopea, wasingemuua mungu wenu na kumdhalilisha pale msalabani.
mnahisi wale ni waafrika mnatuua huko Msumbiji , Drc , Nigeria , Niger , Cameroon , Bukina Faso na tunawachekea tu , Wayaudi hawachek na kimaNdio maana mbwa hao wayahudi hawatakiwi na Biden
Wameambiwa wawe na kwao
Hawa ni Cancer kila mahali walipo
Angalia mbinu zao za mahandaki inaonekana hata Gaza walichimba wao zamani
umejibu nin mbona huelewek , soma nlichoandika urudi kujibu kitu kinachoelewekaNimesoma hadi hapo uliposema kuwa wakristo amna ushabiki wa kidini .....nikagundua kuwa wewe ni zuzu wakristo wana ushabiki hadi wa kimadhehebu nini dini ?....hata waisiharamu ni hivyo hivyo wanaushabiki hadi kimadhehebu ...labda ujui maana ya USHABIKI....Leo hii waisiharamu kwa kuwa ni mashabiki wa uislamu wanajiona wao wanajua dini kuliko mungu na mtume wao.... Na wakristo ni hivyo hivyo wamefikia kumfanya mungu kama mke wao.
Tatizo wajomba za mudi mnajuaga wasaudia ni binamu zenu yaani mkivaa kobazi mnajikutaga waarabu flani wa gongolambotoTatizo kubwa ndugu zetu upande wa Adam (wagalatia) wanadhani Wayahudi jamaa zao.
Sasa ngoja waje hapa wale wayahudi wa pugu usikie matusi. Utafkiri wameletewa posa na Ustadh..
Teh teh teh
je mnavyoua waafrika wenzenu huko Msumbiji na Afrika ya Kati , Sudan , Somalia na Nigeria Je nanyi ni sawa na wayaudi?Muhtasari wa tafsiri
Mateka wa kirusi katika vita vya pili vya dunia anasimulia
Baada ya wajerumani kututeka wakatuamrisha tuchimbe handaki. Kisha wakaletwa mayahudi tukaambiwa tuwazike wakiwa hai nasi tukakataa kata kata. Kisha wakatolewa mayahudi tukaingizwa sisi na hapo wakaambiwa mayahudi watufukie, kila mmoja wao alishika pauro na kuanza kutufukia hadi mchanga ulipofika shingoni kamanda wa kijerumani akawasitisha kisha tukatolewa na akasema nilitaka muone tu kwanini tunawauwa mayahudi
huna hoja , bado hujistukii unasapot kitu huez tetea kisa mpo dini moja , Sifur kabisaUharo mtupu
Mfalme Nebukadreza alifanya makusudi kulipoteza Sanduku la Angano ili kuwatenganisha Wayahudi na Mungu wao, ila hilo limeshindikana, hawa jamaa popote walipo ni balaa - wana akili nyingi, huwezi kuwaonea na ni matajiri wa kutupwa.HUWEZI KUWATENGANISHA WAKRSTO NA WAYAHUDI MAANA WOTE WANAMUABUDU MUNGU WA KIYAHUDI YEHOVA...NA HILO JAMBO LINAWAKERA MAADUI WA WAYAHUDI
NB: WAISLAMU NA WAARABU WANAMUABUDU MUNGU WA KIARABU ALLAH AMBAE ANA CHUKI NA WAYAHUDI.