Handeni: Dereva wa Bodaboda agonga bundi na kufariki

PureView zeiss

JF-Expert Member
Joined
Sep 5, 2016
Posts
10,786
Reaction score
35,916
Afisa mifugo wilayani Handeni mkoani Tanga (Jina lake bado halijafahamika) amefariki dunia baada ya kumgonga ndege aina ya Bundi na pikipiki aliyokuwa akiendesha yenye namba za usajili STM 0232 . Ajali hiyo imetokea asubuhi ya leo Ijumaa, Mei 17 2024 eneo la Sindeni, Handeni jirani na kona ya PRS 2.

Mashuhuda walioshuhudia ajali hiyo wamesema baada ya dereva huyo kumgonga bundi pikipiki yake ilipoteza mwelekeo na kuanguka na dereva huyo kupasuka kichwa. Na bundi huyo baada ya kugongwa alikufa papo hapo.

Mkuu wa wilaya ya Handeni, Albert Msando amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kusema kuwa haamini kama ajali hiyo imetokana na imani za kishirikina.

#CloudsDigitalUpdates
 
Afisa mifugo wilayani Handeni mkoani Tanga (Jina lake bado halijafahamika) amefariki dunia baada ya kumgonga ndege aina ya Bundi na pikipiki aliyokuwa akiendesha yenye namba za usajili STM 0232 . Ajali hiyo imetokea asubuhi ya leo Ijumaa, Mei 17 2024 eneo la Sindeni, Handeni jirani na kona ya PRS 2.

Mashuhuda walioshuhudia ajali hiyo wamesema baada ya dereva huyo kumgonga bundi pikipiki yake ilipoteza mwelekeo na kuanguka na dereva huyo kupasuka kichwa. Na bundi huyo baada ya kugongwa alikufa papo hapo.

Mkuu wa wilaya ya Handeni, Albert Msando amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kusema kuwa haamini kama ajali hiyo imetokana na imani za kishirikina.
========
KARIBUNI HANDENI MJIPATIE MASHAMBA YA BEI CHEE!

#CloudsDigital
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…