Handeni: Dereva wa Bodaboda agonga bundi na kufariki

Handeni: Dereva wa Bodaboda agonga bundi na kufariki

Wewe ni dini gani?
Niwe mpagani, mkristo ama muislamu uchawi ni imani, ukiamini itakuwa na usipoamini haitokuwa.
Si waroge timu yetu iende iende kombe la dunia, wakoloni walipokuja kuwafanya watumwa mlishindwa kuwaroga?
Wazungu wametuthibtishia uchawi ni upumbavu.
 
Mkuu,
Uchawi upo 😊
uki chimba deep utagundua hata humu ndani Kuna nyuzi za shuhuda nyingi za uchawi na ushirikina mkuu
Mkuu usiamini katika uchawi, spiritual powers kwa uelewa wangu mdogo hata hawa wachungaji wa makanisa ya kilokole kabla hajakuombea anakuuliza una imani na unaamini? pale ni imani ndiyo inafanya kazi, nguvu za giza ni imani pia.
Mchawi hanifanyi lolote.
 
Mkuu usiamini katika uchawi, spiritual powers kwa uelewa wangu mdogo hata hawa wachungaji wa makanisa ya kilokole kabla hajakuombea anakuuliza una imani na unaamini? pale ni imani ndiyo inafanya kazi, nguvu za giza ni imani pia.
Mchawi hanifanyi lolote.
Ni sawasawa kabisa Kuna vijiji huko utashangaa from know where unapigwa makombora mpaka unachanganyikiwa

Ndio maana tunasema Kuna nguvu za nuru na nguvu za Giza

All in all,
Sisi wa KRISTO tuna amini jina la YESU KRISTO jina lipitayo majina yotee
 
Inashangaza vyombo vya habari kuita piki piki mali ya serikali boda boda. Wahariri wa maudhui wapo makini kweli?.

Boda boda ni piki piki zinazofanya biashara ya usafirishaji abiria na mizigo.

Hovyo kabisa.
 
Mkuu usiamini katika uchawi, spiritual powers kwa uelewa wangu mdogo hata hawa wachungaji wa makanisa ya kilokole kabla hajakuombea anakuuliza una imani na unaamini? pale ni imani ndiyo inafanya kazi, nguvu za giza ni imani pia.
Mchawi hanifanyi lolote.
Bado hujakutana na wachawi Mkuu, mwanadamu anao uwezo wa kupambana na ushirikina tu na sio uchawi.
 
Kichwa cha habari na habari yenyewe vinakinzana
Dereva bodaboda—>Afisa Mifugo.
Plate No ya pikipiki na Habari
 
Bado hujakutana na wachawi Mkuu, mwanadamu anao uwezo wa kupambana na ushirikina tu na sio uchawi.
Nimeuliza swali, kama uchawi una nguvu hio ilikuaje babu zetu wakashindwa kuwaroga wazungu kwenye ukoloni wakakimbia tukaendelea kujitawala?
Uchawi ungekuwa big deal mzee wangu kuna mambo katika hii dunia tunaishi yasingekuwa kuwa kama yalivyo kuanzia siasa, elimu, utajiiri, michezo n.k

Ndio maana nakuambia uchawi ni imani tu, ndio maana hata kwenye masuala ya sciende kuna mzee aliandika kitabu kinaitwa biology of belief anaitwa Bruce Lipton, huyo mzee ni professor mkubwa na anasema kuna mahusiano kati ya akili/mind na mwili anasema kuna muingiliano, uhusiano kati ya akili na maada.

Lipton anasema kwamba mawazo na imani zako zinaweza kuwa na athari kubwa kwa mwili wako, inaweza kuathiri kila kitu kutoka kwa mfumo wako wa kinga hadi homoni zako.

sasa hio ni sayansi, na wanasayansi wanakiri ni mapinduzi makubwa katika biology.

Hata uchawi ndicho nachosema hapa ni imani, kama wanasayansi wananyoosha mikono na kusema imani na akili ya mtu ni vitu powerful katika imani za kishirikina kwa nini upinge?
81PRxYYkmBL._AC_UF1000,1000_QL80_.jpg
 
Msukule huyo akiwatokea ndugu zake wasixhangae maana Tanga Kwa ulozi ni noma, ukishuka tu kwenye gari unakarinishwa na mafua sio mafua kichwa sio kichwa wanakupima kama uko good daah Tanga sipataki
 
Back
Top Bottom