The Worst
JF-Expert Member
- Sep 12, 2021
- 6,108
- 21,140
Ikishaandikwa utakufa hata kwa kuteleza kutoka kitandani kwako.
Mimi toka binamu yangu tuagane usiku wa saa 23:00 akiwa mzima na kuamka asubuhi amekauka kifo cha mtu huwa sikishangai hata kiwe cha style gani,kama haikutokea sababu yoyote unategemea mtu atakufaje?
Mungu amrehemu.
Mimi toka binamu yangu tuagane usiku wa saa 23:00 akiwa mzima na kuamka asubuhi amekauka kifo cha mtu huwa sikishangai hata kiwe cha style gani,kama haikutokea sababu yoyote unategemea mtu atakufaje?
Mungu amrehemu.