Katika kitu mtu hawezi nitisha ni uchawi.Aisee Tanga 🙌🙌
Kuna jamaa yangu alizaa na Binti wa Tanga rkn akagoma kuoa , yaani anayopitia saiv 🙌🙌Katika kitu mtu hawezi nitisha ni uchawi.
Uchawi ni ujinga tu na kukosa akili, ndio yale ya Mobutu kupeleka waganga wa kienyeji wachawi kuroga kushinda match ya football badala yake wakapigwa magoli ya kutosha na wazungu.Kuna jamaa yangu alizaa na Binti wa Tanga rkn akagoma kuoa , yaani anayopitia saiv 🙌🙌
Haya "washirikina" kuna jambo lenu huku....View attachment 2992758Afisa mifugo wilayani Handeni mkoani Tanga (Jina lake bado halijafahamika) amefariki dunia baada ya kumgonga ndege aina ya Bundi na pikipiki aliyokuwa akiendesha yenye namba za usajili STM 0232 . Ajali hiyo imetokea asubuhi ya leo Ijumaa, Mei 17 2024 eneo la Sindeni, Handeni jirani na kona ya PRS 2.
Mashuhuda walioshuhudia ajali hiyo wamesema baada ya dereva huyo kumgonga bundi pikipiki yake ilipoteza mwelekeo na kuanguka na dereva huyo kupasuka kichwa. Na bundi huyo baada ya kugongwa alikufa papo hapo.
Mkuu wa wilaya ya Handeni, Albert Msando amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kusema kuwa haamini kama ajali hiyo imetokana na imani za kishirikina.
========
KARIBUNI HANDENI MJIPATIE MASHAMBA YA BEI CHEE!
#CloudsDigital
Tena hiyo plate number ni STMBodaboda ni kama Daladala au taxi sio kila Pikipiki ni Bodaboda.
Pole sana Mkuu.Ikishaandikwa utakufa hata kwa kuteleza kutoka kitandani kwako.
Mimi toka binamu yangu tuagane usiku wa saa 23:00 akiwa mzima na kuamka asubuhi amekauka kifo cha mtu huwa sikishangai hata kiwe cha style gani,kama haikutokea sababu yoyote unategemea mtu atakufaje?
Mungu amrehemu.
Na hicho ndicho kilichonifanya niliweke sawa.Tena hiyo plate number ni STM
Wewe ni dini gani?Uchawi ni ujinga tu na kukosa akili, ndio yale ya Mobutu kupeleka waganga wa kienyeji wachawi kuroga kushinda match ya football badala yake wakapigwa magoli ya kutosha na wazungu.
Uchawi ni ujinga tu, uchawi ni imani.
Bundi anaganya nini barabarani mchana kweupeHapo ni pikipiki ilimshinda alipotaka kumkwepa huyo bundi na kuanguka chini.
Wabongo walivyo watasema ni uchawi.
Bundi wa asubuhi!!!Ajali hiyo imetokea asubuhi ya leo Ijumaa, Mei 17 2024 eneo la Sindeni, Handeni jirani na kona ya PRS 2.
Mbona huyo bundi anakuwa kama anacheka vile?View attachment 2992758Afisa mifugo wilayani Handeni mkoani Tanga (Jina lake bado halijafahamika) amefariki dunia baada ya kumgonga ndege aina ya Bundi na pikipiki aliyokuwa akiendesha yenye namba za usajili STM 0232 . Ajali hiyo imetokea asubuhi ya leo Ijumaa, Mei 17 2024 eneo la Sindeni, Handeni jirani na kona ya PRS 2.
Mashuhuda walioshuhudia ajali hiyo wamesema baada ya dereva huyo kumgonga bundi pikipiki yake ilipoteza mwelekeo na kuanguka na dereva huyo kupasuka kichwa. Na bundi huyo baada ya kugongwa alikufa papo hapo.
Mkuu wa wilaya ya Handeni, Albert Msando amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kusema kuwa haamini kama ajali hiyo imetokana na imani za kishirikina.
========
KARIBUNI HANDENI MJIPATIE MASHAMBA YA BEI CHEE!
#CloudsDigital
Mbona bundi wanaonekana hata mchana, ni ndege kama wengine tu.Bundi anaganya nini barabarani mchana kweupe
SawaMbona bundi wanaonekana hata mchana, ni ndege kama wengine tu.