Tetesi: Handeni, walioiba silaha Ofisi za TAKUKURU ni TAKUKURU wenyewe

Tetesi: Handeni, walioiba silaha Ofisi za TAKUKURU ni TAKUKURU wenyewe

Hiyo ni mikoa ya kanda ya ziwa,

Mikoa ya kaskazini ni arusha, manyara, kilimanjaro na tanga

Kanda ya kati kuna singida dodoma nazani na tabora

Kanda ya mashariki kuna pwani dsm na morogoro

Kanda ya kusini kuna lindi mtwara na ruvuma

Kanda yanyanda za juu kusini kuna iringa njombe mbeya na songwe

Kanda ya magharibi au ziwa tanganyika ni kigoma na rukwa na katavi

KAnda ya ziwa ni shinyanga simiyu mara geita mwanza na kagera
Mkuu basi kuwa hodari kutiririka takwimu na njia zipi zitattua shida zetu na msosi matumbo yetu ya changamke.
 
Umesoma jiografia mkuu? Kusini, Kaskazini, Mashabiki na Magharibi, haya hiyo Kanda ya ziwa iko wapi kwenye hizo nne?
Nazani nimeeleza... hiyo kanda ya kati ipo wapi katika hizo kanda nne? (Je hizo ni kanda (zones) au pande?)

Nchi yetu tume igawa kwa kanda... nqzo ndizo hizo...
 
DDCF949C-4B2A-41E2-ADAE-3A439624244D.jpeg


B350E967-3D60-40C6-805C-F0FFACC6A679.jpeg

Hao juu chadema na kanda zao....

Hizi chini ni ofisi mbalimbali zikitambua kanda zilizopo... na wakiwa na ofisi ktk kanda hizo....

55C143F2-701C-4D5E-8FD1-BEF9B8A482A3.jpeg


E95ADC3D-D698-4B2B-BC66-2D79A3D7A340.jpeg


63AFFA98-0F74-4BDF-A052-9B0BFE2E7ED5.jpeg


FA7A2621-E1B8-469C-8947-9B35F7DE7D5C.jpeg

Mgeni wa Jiji
nguvu
Rutagwerera Sr
BrownRange
Stress Challenger

Pia kuna tofauti kati ya Kanda na pande kuu za dunia...

Katika mpira tuna kanda zetu...

Ukienda CAF wana kanda zao kwa majina kuna CECAFA Concaf nk

Ukienda ktk utawala pia

Ukienda ktk mashirikiano ya kimataifa hivyo hivyo

Sasa shida nazani ni uelewa wa raia ktk kuelewa mambo kwa mapana yake...
 
Eti inasemekana.
Ni wivu tu zidi ya watumishi
 
View attachment 2441291

View attachment 2441292
Hao juu chadema na kanda zao....

Hizi chini ni ofisi mbalimbali zikitambua kanda zilizopo... na wakiwa na ofisi ktk kanda hizo....

View attachment 2441293

View attachment 2441294

View attachment 2441295

View attachment 2441296
Mgeni wa Jiji
nguvu
Rutagwerera Sr
BrownRange
Stress Challenger

Pia kuna tofauti kati ya Kanda na pande kuu za dunia...

Katika mpira tuna kanda zetu...

Ukienda CAF wana kanda zao kwa majina kuna CECAFA Concaf nk

Ukienda ktk utawala pia

Ukienda ktk mashirikiano ya kimataifa hivyo hivyo

Sasa shida nazani ni uelewa wa raia ktk kuelewa mambo kwa mapana yake...
Mzee kwahiyo Mwanza haipo Kaskazini?
 
Nazani nimeeleza... hiyo kanda ya kati ipo wapi katika hizo kanda nne? (Je hizo ni kanda (zones) au pande?)

Nchi yetu tume igawa kwa kanda... nqzo ndizo hizo...
Mkuu mimi nimesema Mwanza ipo Kaskazini anatokea mtu anakataa Mwanza haipo Kaskazini, hiyo Kanda ya ziwa haipo Kaskazini?
 
Pale Handeni ofisi ya Takukuru naifahamu ilipo kwa mazingira yale ni ngumu kusema mtu atoke mtaani huko akaibe kitu pale wanechukua kirahisi harafu wakaamua kutangaza kuwa wameibiwa nani akaibe siraha hapo nadhani taarifa haikuja sawa wangenyoosha Lugha kuwa wajiibia siraha na kutangaza wameibiwa...ila Bongo hawachelewi kumbambikia mtu kesi na kusema yeye ndio kaiba ili wao waendelee kula bata ..
 
Habari za mapumziko,

Inasemekana walioiba Silaha kwenye ofisi za TAKUKURU huko Handeni ni maafisa TAKUKURU wenyewe.

Chanzo chetu kutoka Handeni kinasema maafisa hao wakishirikiana na watu wa ishu/Majambazi walisuka njama za kuziiba silaha hizo huku wakiahidiwa kupewa donge nono.

Inasemekana siku ya tukio washukiwa walikuwa wote kwenye baa moja maarufu wilayani hapo wakikamilisha mpango huo.

Mnyetishaji wetu anasema hakukuwa na uvunjifu wowote na kutupwa kwa funguo ni geresha iliyopangwa na maafisa hao ili kuonesha kwamba walikuwa ni majambazi.

silaha hizo zilisafirishwa usiku na kupelekwa mkoa mmoja huko kaskazini mwa nchi ambako kuna ujambazi mwingi.

Tunazishauri mamlaka zinazohusika ziwabane MAAFISA TAKUKURU Ili wakaoneshe silaha zilipo kwani wao ndiyo wahusika kwenye mpango huu.

Nawasilisha
Rushwa na wizi, kwa Tz yetu, ni janga kama ilivyo umasikini na ujinga. Tunahitaji uokovu na kujitambua kwa hali ya juu ili tujikomboe.
 
Back
Top Bottom