Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Kikanda ni kanda ya ziwa, waliozitenga sijui walifanya hivyoIpo pande zipi za Tz?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kikanda ni kanda ya ziwa, waliozitenga sijui walifanya hivyoIpo pande zipi za Tz?
Kimuonekano tutasema ni kaskazini vipi Tanga ipo wapiTunaka kusahihisha makosa ya kukaririshwa.Tazama upya ramani.
Kaskazini-mashariki.Kimuonekano tutasema ni kaskazini vipi Tanga ipo wapi
Haya sio makosa ya bhangi ila mafunzoAcha bangi mkuu Mwanza ni wapi kati ya hizi(Mashariki, Magharibi, Kusini na Kaskazini) au yenyewe haipo kabisa?
Kwa nini isiwe tu masharikiKaskazini-mashariki.
Habari za mapumziko,
Inasemekana walioiba Silaha kwenye ofisi za TAKUKURU huko Handeni ni maafisa TAKUKURU wenyewe.
Chanzo chetu kutoka Handeni kinasema maafisa hao wakishirikiana na watu wa ishu/Majambazi walisuka njama za kuziiba silaha hizo huku wakiahidiwa kupewa donge nono.
Inasemekana siku ya tukio washukiwa walikuwa wote kwenye baa moja maarufu wilayani hapo wakikamilisha mpango huo.
Mnyetishaji wetu anasema hakukuwa na uvunjifu wowote na kutupwa kwa funguo ni geresha iliyopangwa na maafisa hao ili kuonesha kwamba walikuwa ni majambazi.
silaha hizo zilisafirishwa usiku na kupelekwa mkoa mmoja huko kaskazini mwa nchi ambako kuna ujambazi mwingi.
Tunazishauri mamlaka zinazohusika ziwabane MAAFISA TAKUKURU Ili wakaoneshe silaha zilipo kwani wao ndiyo wahusika kwenye mpango huu.
Nawasilisha
Kagera na mwanza ipo kusini ?wewe shule ulikwenda kusoma UJINGAHiyo ni mikoa ya kanda ya ziwa,
Mikoa ya kaskazini ni arusha, manyara, kilimanjaro na tanga
Kanda ya kati kuna singida dodoma nazani na tabora
Kanda ya mashariki kuna pwani dsm na morogoro
Kanda ya kusini kuna lindi mtwara na ruvuma
Kanda yanyanda za juu kusini kuna iringa njombe mbeya na songwe
Kanda ya magharibi au ziwa tanganyika ni kigoma na rukwa na katavi
KAnda ya ziwa ni shinyanga simiyu mara geita mwanza na kagera
Mkuu,katika kuzielewa pande za dunia tunaanza na nne.Halafu nane.Pia kwa muendelezo.Nadhani unanipata.Kwa nini isiwe tu mashariki
Mueleweshe kwa urahisi.Kagera na mwanza ipo kusini ?wewe shule ulikwenda kusoma UJINGA
USSR
chanzo kamili kabisa mkuuMtoa thread tuseme hii taarifa imetoka chanzo kamili au nawe unataka kujua watu watajadili nn? Tuanzie hapo
Ok mkuu hii ishakuwa hatari sanachanzo kamili kabisa mkuu