Hando aungana na Ndugai kupinga Serikali inavyokopa kopa ovyo

Hando aungana na Ndugai kupinga Serikali inavyokopa kopa ovyo

saidoo25

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2022
Posts
624
Reaction score
1,456
MTANGAZAJI maarufu na Mchambuzi maarufu wa Siasa za Tanzania, Gerald Hando ameweka wazi msimamo wake kutokubaliana na utaratibu wa Serikali inavyokopa poka hovyo na kusisitiza kuwa uamuzi wa Job Ndugai kuzungumzia mikopo haukuwa mbaya na hakupaswa kujiuzulu.

"Hakuna kibaya alichokisema Ndugai mimi binafsi sipendi Serikali inavyokopa kopa hovyo wewe unapenda? hapana, Serikali inakopa sana si tunaona kila siku na wenyewe hata Rais kafafanua lakini bado nasema hivi tunakopa sana bado inaonekana hatujajikwamua, kukopa sana sio ujanja maana tutalipa tu" amesema Hando.

Hando amesisitiza kuwa mikopo nchi inayoingia lazima tutailipa na walipaji ni sisi watanzania wote yaani mimi na wewe.

"na huu ugumu wa maisha tunaopitia ni kwa sababu ya haya madeni si tunalipa?, mimi nalipa wewe unalipa kila mtu analipandio tunalalamika hali ngumu kwa sababu we have to paykwa hiyo Spika hakukosea sana kiukweli labda sijui nini kilimsibu Mzee Ndugai" amesema Hando akizungumza kwenye Kipindi cha Joto la Asubuhi leo Disemba 28, 2022.
 
Huyo asitafute cheap popularity na kama kala mlungula wa Ndugai aweke wazi na sio kujitekenya na kucheka mwenyewe.

Kauli ya Ndugai ilipingwa na wataalamu kutoka benki kuu tukianza na Gavana. Kwa kumsaidia huyo Hando ni Nani Kati ya yeye na Gaavana wa benki mwenye taarifa sahihi za hali ya uchumi?

Pia, tunapotaka kumquote Ndugai tusiishie kuquote kikauli kinachotupa matumaini. Hiyo kauli ilivyoendelea mbele ndio lengo kuu la mazungumzo yake lilipokuwa.

Mwambie Hando ajipe muda kusikiliza hotuba yake nzima halafu aje hapa aseme anakubaliana nayo ama vipi
 
MTANGAZAJI maarufu na Mchambuzi maarufu wa Siasa za Tanzania, Gerald Hando ameweka wazi msimamo wake kutokubaliana na utaratibu wa Serikali inavyokopa poka hovyo na kusisitiza kuwa uamuzi wa Job Ndogai kuzungumzia mikopo haukuwa mbaya na hakupaswa kujiuzulu.

"Hakuna kibaya alichokisema Ndugai mimi binafsi sipendi Serikali inavyokopa kopa hovyo wewe unapenda? hapana, Serikali inakopa sana si tunaona kila siku na wenyewe hata Rais kafafanua lakini bado nasema hivi tunakopa sana bado inaonekana hatujajikwamua, kukopa sana sio ujanja maana tutalipa tu"amesema Hando.

Hando amesisitiza kuwa mikopo nchi inayoingia lazima tutailipa na walipaji ni sisi watanzania wote yaani mimi na wewe.

"na huu ugumu wa maisha tunaopitia ni kwa sababu ya haya madeni si tunalipa?, mimi nalipa wewe unalipa kila mtu analipandio tunalalamika hali ngumu kwa sababu we have to paykwa hiyo Spika hakukosea sana kiukweli labda sijui nini kilimsibu Mzee Ndugai" amesema Hando akizungumza kwenye Kipindi cha Joto la Asubuhi leo Disemba 28, 2022.
Rais anasemaje kwanza
 
Huyo asitafute cheap popularity na kama kala mlungula wa Ndugai aweke wazi na sio kujitekenya na kucheka mwenyewe.

Kauli ya Ndugai ilipingwa na wataalamu kutoka benki kuu tukianza na Gavana. Kwa kumsaidia huyo Hando ni Nani Kati ya yeye na Gaavana wa benki mwenye taarifa sahihi za hali ya uchumi?

Pia, tunapotaka kumquote Ndugai tusiishie kuquote kikauli kinachotupa matumaini. Hiyo kauli ilivyoendelea mbele ndio lengo kuu la mazungumzo yake lilipokuwa.

Mwambie Hando ajipe muda kusikiliza hotuba yake nzima halafu aje hapa aseme anakubaliana nayo ama vipi
Heshimu maoni yake ukweli kukopa sio dili tambua hilo, acha uhuru wake, unapinga wewe nani bhana hili li nchi sasa hivi ni Utopolo tu.
 
MTANGAZAJI maarufu na Mchambuzi maarufu wa Siasa za Tanzania, Gerald Hando ameweka wazi msimamo wake kutokubaliana na utaratibu wa Serikali inavyokopa poka hovyo na kusisitiza kuwa uamuzi wa Job Ndogai kuzungumzia mikopo haukuwa mbaya na hakupaswa kujiuzulu.

"Hakuna kibaya alichokisema Ndugai mimi binafsi sipendi Serikali inavyokopa kopa hovyo wewe unapenda? hapana, Serikali inakopa sana si tunaona kila siku na wenyewe hata Rais kafafanua lakini bado nasema hivi tunakopa sana bado inaonekana hatujajikwamua, kukopa sana sio ujanja maana tutalipa tu"amesema Hando.

Hando amesisitiza kuwa mikopo nchi inayoingia lazima tutailipa na walipaji ni sisi watanzania wote yaani mimi na wewe.

"na huu ugumu wa maisha tunaopitia ni kwa sababu ya haya madeni si tunalipa?, mimi nalipa wewe unalipa kila mtu analipandio tunalalamika hali ngumu kwa sababu we have to paykwa hiyo Spika hakukosea sana kiukweli labda sijui nini kilimsibu Mzee Ndugai" amesema Hando akizungumza kwenye Kipindi cha Joto la Asubuhi leo Disemba 28, 2022.
Yuko sahihi kabisa ndiomana Kikwete alitoa dokezo kwamba msiwe na shaka tukihitaji kumtoa Samia watamtoa tu, wanasubiria muda ufike.
 
MTANGAZAJI maarufu na Mchambuzi maarufu wa Siasa za Tanzania, Gerald Hando ameweka wazi msimamo wake kutokubaliana na utaratibu wa Serikali inavyokopa poka hovyo na kusisitiza kuwa uamuzi wa Job Ndogai kuzungumzia mikopo haukuwa mbaya na hakupaswa kujiuzulu.

"Hakuna kibaya alichokisema Ndugai mimi binafsi sipendi Serikali inavyokopa kopa hovyo wewe unapenda? hapana, Serikali inakopa sana si tunaona kila siku na wenyewe hata Rais kafafanua lakini bado nasema hivi tunakopa sana bado inaonekana hatujajikwamua, kukopa sana sio ujanja maana tutalipa tu"amesema Hando.

Hando amesisitiza kuwa mikopo nchi inayoingia lazima tutailipa na walipaji ni sisi watanzania wote yaani mimi na wewe.

"na huu ugumu wa maisha tunaopitia ni kwa sababu ya haya madeni si tunalipa?, mimi nalipa wewe unalipa kila mtu analipandio tunalalamika hali ngumu kwa sababu we have to paykwa hiyo Spika hakukosea sana kiukweli labda sijui nini kilimsibu Mzee Ndugai" amesema Hando akizungumza kwenye Kipindi cha Joto la Asubuhi leo Disemba 28, 2022.
Ila hana unguli wowote wa kiuchambuzi kuhusu siasa japo maoni yake ni ukweli mtupu
 
Huyo asitafute cheap popularity na kama kala mlungula wa Ndugai aweke wazi na sio kujitekenya na kucheka mwenyewe.

Kauli ya Ndugai ilipingwa na wataalamu kutoka benki kuu tukianza na Gavana. Kwa kumsaidia huyo Hando ni Nani Kati ya yeye na Gaavana wa benki mwenye taarifa sahihi za hali ya uchumi?

Pia, tunapotaka kumquote Ndugai tusiishie kuquote kikauli kinachotupa matumaini. Hiyo kauli ilivyoendelea mbele ndio lengo kuu la mazungumzo yake lilipokuwa.

Mwambie Hando ajipe muda kusikiliza hotuba yake nzima halafu aje hapa aseme anakubaliana nayo ama vipi
Wewe ni mbwa koko
 
Heshimu maoni yake ukweli kukopa sio dili tambua hilo, acha uhuru wake, unapinga wewe nani bhana hili li nchi sasa hivi ni Utopolo tu.
Hoja yangu imesimamia kwenye ukweli na muendelezo wa hiyo kauli.

Mwaka 2015 wapinzani walikuwa wanaquote hii kauli ya mwalimu "watanzania wanataka mabadiliko wasipoyapata CCM watayatafuta nje ya CCM' na wakawa wanaishia hapo lakini muendelezo wa hiyo kauli ndio ulikuwa ukweli mchungu kwa upinzani na inaendelea hivi 'Tunataka nchi yetu ipate kiongozi safi, na kiongozi safi hawezi kutoka nje ya CCM, ninyi wapiga kura, mnaweza kutupatia kiongozi safi kwa kura zenu, sasa tupatieni kiongozi safi.”
 
Huyo asitafute cheap popularity na kama kala mlungula wa Ndugai aweke wazi na sio kujitekenya na kucheka mwenyewe.

Kauli ya Ndugai ilipingwa na wataalamu kutoka benki kuu tukianza na Gavana. Kwa kumsaidia huyo Hando ni Nani Kati ya yeye na Gaavana wa benki mwenye taarifa sahihi za hali ya uchumi?

Pia, tunapotaka kumquote Ndugai tusiishie kuquote kikauli kinachotupa matumaini. Hiyo kauli ilivyoendelea mbele ndio lengo kuu la mazungumzo yake lilipokuwa.

Mwambie Hando ajipe muda kusikiliza hotuba yake nzima halafu aje hapa aseme anakubaliana nayo ama vipi
Hujui kama mikopo inaumiza wananchi tu deficit inaendelea kuwa kubwa kwa sababu nchi inatumia most of his revenues kulipa madeni, Naona gavana hapo katumika kisiasa tu.
 
Huyo asitafute cheap popularity na kama kala mlungula wa Ndugai aweke wazi na sio kujitekenya na kucheka mwenyewe.

Kauli ya Ndugai ilipingwa na wataalamu kutoka benki kuu tukianza na Gavana. Kwa kumsaidia huyo Hando ni Nani Kati ya yeye na Gaavana wa benki mwenye taarifa sahihi za hali ya uchumi?

Pia, tunapotaka kumquote Ndugai tusiishie kuquote kikauli kinachotupa matumaini. Hiyo kauli ilivyoendelea mbele ndio lengo kuu la mazungumzo yake lilipokuwa.

Mwambie Hando ajipe muda kusikiliza hotuba yake nzima halafu aje hapa aseme anakubaliana nayo ama vipi
IMG-20221221-WA0012.jpg
 
Back
Top Bottom