Hando aungana na Ndugai kupinga Serikali inavyokopa kopa ovyo

Hando aungana na Ndugai kupinga Serikali inavyokopa kopa ovyo

Hata familia ambayo baba au mama wanakopakopa ovyo madukani na kwa majirani inadharaulika. Tunakubali kuendelea kuwa vibaraka wa wanaotukopesha. Lazima Rais atambue Hili. ifike wakati lazima waone aibu. Nchi Ina kilakitu hii..... Ukweli no mchungu Ila unatibu...kikopakopa ovyo no kutokuwa na mawazo mbadala juu ya ukuzaji uchumi. Naungana na Hando na ndugai
 
MTANGAZAJI maarufu na Mchambuzi maarufu wa Siasa za Tanzania, Gerald Hando ameweka wazi msimamo wake kutokubaliana na utaratibu wa Serikali inavyokopa poka hovyo na kusisitiza kuwa uamuzi wa Job Ndogai kuzungumzia mikopo haukuwa mbaya na hakupaswa kujiuzulu.

"Hakuna kibaya alichokisema Ndugai mimi binafsi sipendi Serikali inavyokopa kopa hovyo wewe unapenda? hapana, Serikali inakopa sana si tunaona kila siku na wenyewe hata Rais kafafanua lakini bado nasema hivi tunakopa sana bado inaonekana hatujajikwamua, kukopa sana sio ujanja maana tutalipa tu"amesema Hando.

Hando amesisitiza kuwa mikopo nchi inayoingia lazima tutailipa na walipaji ni sisi watanzania wote yaani mimi na wewe.

"na huu ugumu wa maisha tunaopitia ni kwa sababu ya haya madeni si tunalipa?, mimi nalipa wewe unalipa kila mtu analipandio tunalalamika hali ngumu kwa sababu we have to paykwa hiyo Spika hakukosea sana kiukweli labda sijui nini kilimsibu Mzee Ndugai" amesema Hando akizungumza kwenye Kipindi cha Joto la Asubuhi leo Disemba 28, 2022.
Kilichomsibu ni hicho hicho kinachopigiwa kelele siku zote na yeye mwenyewe ndio alikuwa mtetezi mkuu !! Ndio uzuri wa sheria. !! Ni kama msumeno unakata mbele na nyuma !!
 
Alilazimishwa kujiuzulu
Kalazimishwa na nani,c kajiuzulu mwenyewe,sasa ulitegemea hiyo miradi ya magufuli angeimaliza kwa fedha kutoka wapi au mlitaka imshinde kuiendeleza mpate cha kusema huyo bwana wenu magufuli alikuwa akikopa kwenye mabenki ya kibiashara kwa mariba makubwa na mlikaa kimnya.
 
Hujui kama mikopo inaumiza wananchi tu deficit inaendelea kuwa kubwa kwa sababu nchi ina most of his revenues kulipa madeni, Naona gavana hapo katumika kisiasa tu.
Kama unaamini uchumi ni sayansi pia unatakiwa utambue kila kauli ya kiuchumi inatakiwa itolewe baada ya utafiti au uchunguzi kufanyika.

Inakuwa ni jambo la aibu kwamba hali ya uchumi inatolewa na mtu baki ambaye hana background ya kufanya tafiti kiuchumi.

Bado ninaamini kauli zinazotolewa na wataalamu wetu ni za kweli kwa sababu zao zinakuwa documented na published na zinakuwa zinarejelewa.

Swali: Je, Hango kauli yake ipo published na documented kwa ajili ya marejeleo?
 
Kama unaamini uchumi ni sayansi pia unatakiwa utambue kila kauli ya kiuchumi inatakiwa itolewe baada ya utafiti au uchunguzi kufanyika.

Inakuwa ni jambo la aibu kwamba hali ya uchumi inatolewa na mtu baki ambaye hana background ya kufanya tafiti kiuchumi.

Bado ninaamini kauli zinazotolewa na wataalamu wetu ni za kweli kwa sababu zao zinakuwa documented na published na zinakuwa zinarejelewa.

Swali: Je, Hango kauli yake ipo published na documented kwa ajili ya marejeleo?
Alichosema Hando sio jambo jipya limeshazungumzwa Bungeni na wabunge wataalamu wa masuala ya Fedha yeye amekumbushia tu
 
Kama unaamini uchumi ni sayansi pia unatakiwa utambue kila kauli ya kiuchumi inatakiwa itolewe baada ya utafiti au uchunguzi kufanyika.

Inakuwa ni jambo la aibu kwamba hali ya uchumi inatolewa na mtu baki ambaye hana background ya kufanya tafiti kiuchumi.

Bado ninaamini kauli zinazotolewa na wataalamu wetu ni za kweli kwa sababu zao zinakuwa documented na published na zinakuwa zinarejelewa.

Swali: Je, Hango kauli yake ipo published na documented kwa ajili ya marejeleo?
Tafakari yetu msikilize huyu mtaalamu wa uchumi
 
"Hakuna kibaya alichokisema Ndugai mimi binafsi sipendi Serikali inavyokopa kopa hovyo wewe unapenda? hapana, Serikali inakopa sana si tunaona kila siku na wenyewe hata Rais kafafanua lakini bado nasema hivi tunakopa sana bado inaonekana hatujajikwamua, kukopa sana sio ujanja maana tutalipa tu"amesema Hando.

Hando amesisitiza kuwa mikopo nchi inayoingia lazima tutailipa na walipaji ni sisi watanzania wote yaani mimi na wewe.

"na huu ugumu wa maisha tunaopitia ni kwa sababu ya haya madeni si tunalipa?, mimi nalipa wewe unalipa kila mtu analipandio tunalalamika hali ngumu kwa sababu we have to paykwa hiyo Spika hakukosea sana kiukweli labda sijui nini kilimsibu Mzee Ndugai" amesema Hando akizungumza kwenye Kipindi cha Joto la Asubuhi leo Disemba 28, 2022.
Wapo wengi nyuma yao ni kama moto wa kifuu unakolea kidogokidogo
 
Kama unaamini uchumi ni sayansi pia unatakiwa utambue kila kauli ya kiuchumi inatakiwa itolewe baada ya utafiti au uchunguzi kufanyika.

Inakuwa ni jambo la aibu kwamba hali ya uchumi inatolewa na mtu baki ambaye hana background ya kufanya tafiti kiuchumi.

Bado ninaamini kauli zinazotolewa na wataalamu wetu ni za kweli kwa sababu zao zinakuwa documented na published na zinakuwa zinarejelewa.

Swali: Je, Hango kauli yake ipo published na documented kwa ajili ya marejeleo?

Profile​

0.90789800%201485964451.png

Hon. Oran Manase Njeza​

Member Type : Constituent Member

Constituent : Mbeya Vijijini

Political Party : CCM

Phone : +255784332324

P.O Box : P.O Box 3025 Mbeya

Email Address : o.njeza@bunge.go.tz

Date of Birth : 1956-08-23


Education History :​


School Name/LocationCourse/Degree/AwardFromToLevel
University of South AfricaMDP- Business Management20012002Executive Certificate
Insead -FranceAMP-Business Management19992000Executive Certificate
National Board of Accountancy and AuditorsFCPA19831984Professional Degree
International School of Management-Franceongoing - Doctorate in Business Administration20152020PhD
University of South AfricaMasters of Business Administration20032005Masters Degree
NSTI/St. Augustine University of TanzaniaAdavanec Diploma in Accountancy19801982Advanced Diploma
Dar es Salaam School of AccountancyCertificate in Accountancy/Management19751976Certificate
Sangu Secondary SchoolCSEE19711974Secondary School
Utengule Usongwe Primary SchoolCPEE19641970Primary School
 
Alichosema Hando sio jambo jipya limeshazungumzwa Bungeni na wabunge wataalamu wa masuala ya Fedha yeye amekumbushia tu
Kina Luhaga Mpina pia walishalizungumza muda mrefu sana bungeni naye ni Msomi wa mambo ya Fedha utampinga?

Profile​

0.59958500%201485966285.png

Hon. Luhaga Joelson Mpina​

Member Type : Constituent Member

Constituent : Kisesa

Political Party : CCM

Phone : +255759278388

P.O Box : P. O. Box 44, Mwanhuzi, Meatu

Email Address : l.mpina@bunge.go.tz

Date of Birth : 1975-05-05

Education History :​


School Name/LocationCourse/Degree/AwardFromToLevel
Strathclyde University, UKMaster Degree in Science in Finance20092010Masters Degree
Mzumbe UniversityBachelor Degree in Accountancy and Finance20002003Bachelor Degree
Karatu Secondary SchoolACSEE19951997Secondary School
Meatu Secondary SchoolCSEE19911994Secondary School
Mwandu Itinje Primary SchoolCPEE19831989Primary School

Employment History :​

 
Hando umejiandaa vizuri nje ya Efm? Angalia hawakawii kumpigia simu majizo wakimshurutisha aterminate mkataba wako,
 

Profile​

0.90789800%201485964451.png

Hon. Oran Manase Njeza​

Member Type : Constituent Member

Constituent : Mbeya Vijijini

Political Party : CCM

Phone : +255784332324

P.O Box : P.O Box 3025 Mbeya

Email Address : o.njeza@bunge.go.tz

Date of Birth : 1956-08-23


Education History :​


School Name/LocationCourse/Degree/AwardFromToLevel
University of South AfricaMDP- Business Management20012002Executive Certificate
Insead -FranceAMP-Business Management19992000Executive Certificate
National Board of Accountancy and AuditorsFCPA19831984Professional Degree
International School of Management-Franceongoing - Doctorate in Business Administration20152020PhD
University of South AfricaMasters of Business Administration20032005Masters Degree
NSTI/St. Augustine University of TanzaniaAdavanec Diploma in Accountancy19801982Advanced Diploma
Dar es Salaam School of AccountancyCertificate in Accountancy/Management19751976Certificate
Sangu Secondary SchoolCSEE19711974Secondary School
Utengule Usongwe Primary SchoolCPEE19641970Primary School
 
MTANGAZAJI maarufu na Mchambuzi maarufu wa Siasa za Tanzania, Gerald Hando ameweka wazi msimamo wake kutokubaliana na utaratibu wa Serikali inavyokopa poka hovyo na kusisitiza kuwa uamuzi wa Job Ndogai kuzungumzia mikopo haukuwa mbaya na hakupaswa kujiuzulu.

"Hakuna kibaya alichokisema Ndugai mimi binafsi sipendi Serikali inavyokopa kopa hovyo wewe unapenda? hapana, Serikali inakopa sana si tunaona kila siku na wenyewe hata Rais kafafanua lakini bado nasema hivi tunakopa sana bado inaonekana hatujajikwamua, kukopa sana sio ujanja maana tutalipa tu"amesema Hando.

Hando amesisitiza kuwa mikopo nchi inayoingia lazima tutailipa na walipaji ni sisi watanzania wote yaani mimi na wewe.

"na huu ugumu wa maisha tunaopitia ni kwa sababu ya haya madeni si tunalipa?, mimi nalipa wewe unalipa kila mtu analipandio tunalalamika hali ngumu kwa sababu we have to paykwa hiyo Spika hakukosea sana kiukweli labda sijui nini kilimsibu Mzee Ndugai" amesema Hando akizungumza kwenye Kipindi cha Joto la Asubuhi leo Disemba 28, 2022.
Hivi mtu kama Gerald Hando ni kitu gani nchi hii hadi kama nchi tuseme '' Gerald Hando kasema.......". Mleta mada upumbavu na ulofa unakusumbua. Hando is generally nothing zaidi ya mlevi flani hapa nchini ambaye pengine angepaswa kuongea zaidi na Breweries badala ya jamii pana kama hii.
 
Hivi mtu kama Gerald Hando ni kitu gani nchi hii hadi kama nchi tuseme '' Gerald Hando kasema.......". Mleta mada upumbavu na ulofa unakusumbua. Hando is generally nothing zaidi ya mlevi flani hapa nchini ambaye pengine angepaswa kuongea zaidi na Breweries badala ya jamii pana kama hii.
Tusimuhukumu Hando kwa ulevi wake tunamjadili Hando kwa kauli yake kuhusu Mikopo na alivyounga mkono hoja ya Ndugai
 
MTANGAZAJI maarufu na Mchambuzi maarufu wa Siasa za Tanzania, Gerald Hando ameweka wazi msimamo wake kutokubaliana na utaratibu wa Serikali inavyokopa poka hovyo na kusisitiza kuwa uamuzi wa Job Ndogai kuzungumzia mikopo haukuwa mbaya na hakupaswa kujiuzulu.

"Hakuna kibaya alichokisema Ndugai mimi binafsi sipendi Serikali inavyokopa kopa hovyo wewe unapenda? hapana, Serikali inakopa sana si tunaona kila siku na wenyewe hata Rais kafafanua lakini bado nasema hivi tunakopa sana bado inaonekana hatujajikwamua, kukopa sana sio ujanja maana tutalipa tu"amesema Hando.

Hando amesisitiza kuwa mikopo nchi inayoingia lazima tutailipa na walipaji ni sisi watanzania wote yaani mimi na wewe.

"na huu ugumu wa maisha tunaopitia ni kwa sababu ya haya madeni si tunalipa?, mimi nalipa wewe unalipa kila mtu analipandio tunalalamika hali ngumu kwa sababu we have to paykwa hiyo Spika hakukosea sana kiukweli labda sijui nini kilimsibu Mzee Ndugai" amesema Hando akizungumza kwenye Kipindi cha Joto la Asubuhi leo Disemba 28, 2022.
Anaelewa maana ya kukopa kopa hovyo?
Hivi Serikali ikisema imuite aeleze mkopo wa hovyo Ni upi ataeleza?

Majitu Kama huyu Mwendazake alikuwa anawafungasha kwenye viroba..

Anyway unakuta huyo kasomea vitu hata asivyovielewa 👇
Screenshot_20221222-114826.png
Screenshot_20221222-114937.png
 
Wacha watu waongee tu, ukimya hautatusaidia kama taifa, hakuna mtu asiyeweza kuwa Rais wa mikopo ili aendeshe nchi, hiyo ni njia ya kimaskini sana wa fikra.
 
Back
Top Bottom