Hando aungana na Ndugai kupinga Serikali inavyokopa kopa ovyo

Hando aungana na Ndugai kupinga Serikali inavyokopa kopa ovyo

Hata familia ambayo baba au mama wanakopakopa ovyo madukani na kwa majirani inadharaulika. Tunakubali kuendelea kuwa vibaraka wa wanaotukopesha. Lazima Rais atambue Hili. ifike wakati lazima waone aibu. Nchi Ina kilakitu hii..... Ukweli no mchungu Ila unatibu...kikopakopa ovyo no kutokuwa na mawazo mbadala juu ya ukuzaji uchumi. Naungana na Hando na ndugai
Naunga mkono hoja
 
MTANGAZAJI maarufu na Mchambuzi maarufu wa Siasa za Tanzania, Gerald Hando ameweka wazi msimamo wake kutokubaliana na utaratibu wa Serikali inavyokopa poka hovyo na kusisitiza kuwa uamuzi wa Job Ndogai kuzungumzia mikopo haukuwa mbaya na hakupaswa kujiuzulu

"Hakuna kibaya alichokisema Ndugai mimi binafsi sipendi Serikali inavyokopa kopa hovyo wewe unapenda? hapana, Serikali inakopa sana si tunaona kila siku na wenyewe hata Rais kafafanua lakini bado nasema hivi tunakopa sana bado inaonekana hatujajikwamua, kukopa sana sio ujanja maana tutalipa tu"amesema Hando.

Hando amesisitiza kuwa mikopo nchi inayoingia lazima tutailipa na walipaji ni sisi watanzania wote yaani mimi na wewe.

"na huu ugumu wa maisha tunaopitia ni kwa sababu ya haya madeni si tunalipa?, mimi nalipa wewe unalipa kila mtu analipandio tunalalamika hali ngumu kwa sababu we have to paykwa hiyo Spika hakukosea sana kiukweli labda sijui nini kilimsibu Mzee Ndugai" amesema Hando akizungumza kwenye Kipindi cha Joto la Asubuhi leo Disemba 28, 2022.
habari za ndani zinasema alitekwa na kuwekwa kizuizini kisha akalazimishwa asaini barua ya kujiuzulu na alikubali kwa shingo upande ili kuokoa roho yake
 
habari za ndani zinasema alitekwa na kuwekwa kizuizini kisha akalazimishwa asaini barua ya kujiuzulu na alikubali kwa shingo upande ili kuokoa roho yake
FIbDK2fXwAEkJAR.jpg
 
Huyo asitafute cheap popularity na kama kala mlungula wa Ndugai aweke wazi na sio kujitekenya na kucheka mwenyewe.

Kauli ya Ndugai ilipingwa na wataalamu kutoka benki kuu tukianza na Gavana. Kwa kumsaidia huyo Hando ni Nani Kati ya yeye na Gaavana wa benki mwenye taarifa sahihi za hali ya uchumi?

Pia, tunapotaka kumquote Ndugai tusiishie kuquote kikauli kinachotupa matumaini. Hiyo kauli ilivyoendelea mbele ndio lengo kuu la mazungumzo yake lilipokuwa.

Mwambie Hando ajipe muda kusikiliza hotuba yake nzima halafu aje hapa aseme anakubaliana nayo ama vipi
Ndugu sio kila anachokisema mtu mwenye wadhifa fulani eti ndiyo itakuhakikishia kuwa ameongea kitu sahihi na kupuuza maoni ya mtu asiye na wadhifa. Tambua kuna watu hawana ujasiri wa kupinga ili kutetea nafasi zao japo ukweli wanaujua.
Kwahiyo kabla ya kuongea, kufanya au kukubaliana na jambo fulani, jipe nafasi ya kufanya uchambuzi wa kina na sio kuelea au kukubaliana moja kwa moja eti kwakuwa tu jambo hilo kasema msomi fulani, kiongozi fulani au mwanafalsafa fulani.

Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
 
Huyo asitafute cheap popularity na kama kala mlungula wa Ndugai aweke wazi na sio kujitekenya na kucheka mwenyewe.

Kauli ya Ndugai ilipingwa na wataalamu kutoka benki kuu tukianza na Gavana. Kwa kumsaidia huyo Hando ni Nani Kati ya yeye na Gaavana wa benki mwenye taarifa sahihi za hali ya uchumi?

Pia, tunapotaka kumquote Ndugai tusiishie kuquote kikauli kinachotupa matumaini. Hiyo kauli ilivyoendelea mbele ndio lengo kuu la mazungumzo yake lilipokuwa.

Mwambie Hando ajipe muda kusikiliza hotuba yake nzima halafu aje hapa aseme anakubaliana nayo ama vipi
Alichosema ndugai yupo sawa 100%. Serikali inabidi itengeneze vyanzo vya vipato hapa hapa Tanzania kuliko kukopa.
 
Kama unaamini uchumi ni sayansi pia unatakiwa utambue kila kauli ya kiuchumi inatakiwa itolewe baada ya utafiti au uchunguzi kufanyika.

Inakuwa ni jambo la aibu kwamba hali ya uchumi inatolewa na mtu baki ambaye hana background ya kufanya tafiti kiuchumi.

Bado ninaamini kauli zinazotolewa na wataalamu wetu ni za kweli kwa sababu zao zinakuwa documented na published na zinakuwa zinarejelewa.

Swali: Je, Hango kauli yake ipo published na documented kwa ajili ya marejeleo?
Mkuu kwenye utafiti hujawahi kusikia kitu kinaitwa kupika data? Wako wapi leo twaweza na tafiti zao?

Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
 
Alichosema ndugai yupo sawa 100%. Serikali inabidi itengeneze vyanzo vya vipato hapa hapa Tanzania kuliko kukopa.
Hapo uko sahihi sasa hivi hatusikii kuhusu kulinda rasilimali za taifa kama madini, misitu, wanyama, samaki, mifugo na mali asili zetu zote. Hatusikii kuhusu wakwepa kodi, hatusikii kuhusu ulipaji kodi zaidi tunasikia tu kuna Makampuni makubwa Waziri wa Fedha ameyasemehe kodi
 
Duh, Hhando afukuzwe uandishi wa habari.. Ukweli hautakiwi kusemwa, hiyo siri nawaambia, bora kukaa kimya.
 
Huyo asitafute cheap popularity na kama kala mlungula wa Ndugai aweke wazi na sio kujitekenya na kucheka mwenyewe.

Kauli ya Ndugai ilipingwa na wataalamu kutoka benki kuu tukianza na Gavana. Kwa kumsaidia huyo Hando ni Nani Kati ya yeye na Gaavana wa benki mwenye taarifa sahihi za hali ya uchumi?

Pia, tunapotaka kumquote Ndugai tusiishie kuquote kikauli kinachotupa matumaini. Hiyo kauli ilivyoendelea mbele ndio lengo kuu la mazungumzo yake lilipokuwa.

Mwambie Hando ajipe muda kusikiliza hotuba yake nzima halafu aje hapa aseme anakubaliana nayo ama vipi
Heshimu maoni ya Hando..kwn na ww umehongwa kuja kutetea mikopo ?
 
Tukope kwa malengo! Na siyo kukopa tu kama ifanyavyo hii serikali ya awamu ya 6, chini ya Waziri wa Fedha na Uchumi Mwigulu Nchemba! Ya kukopa, ili kulipia madeni!

Yaani unakopa sehemu A, halafu hela yote unaenda kuilipa sehemu B!! Huu utaratibu ni wa ho
308510534_5738653236198623_5409195667217224710_n.jpg
vyo.
 
MTANGAZAJI maarufu na Mchambuzi maarufu wa Siasa za Tanzania, Gerald Hando ameweka wazi msimamo wake kutokubaliana na utaratibu wa Serikali inavyokopa poka hovyo na kusisitiza kuwa uamuzi wa Job Ndogai kuzungumzia mikopo haukuwa mbaya na hakupaswa kujiuzulu.

"Hakuna kibaya alichokisema Ndugai mimi binafsi sipendi Serikali inavyokopa kopa hovyo wewe unapenda? hapana, Serikali inakopa sana si tunaona kila siku na wenyewe hata Rais kafafanua lakini bado nasema hivi tunakopa sana bado inaonekana hatujajikwamua, kukopa sana sio ujanja maana tutalipa tu"amesema Hando.

Hando amesisitiza kuwa mikopo nchi inayoingia lazima tutailipa na walipaji ni sisi watanzania wote yaani mimi na wewe.

"na huu ugumu wa maisha tunaopitia ni kwa sababu ya haya madeni si tunalipa?, mimi nalipa wewe unalipa kila mtu analipandio tunalalamika hali ngumu kwa sababu we have to paykwa hiyo Spika hakukosea sana kiukweli labda sijui nini kilimsibu Mzee Ndugai" amesema Hando akizungumza kwenye Kipindi cha Joto la Asubuhi leo Disemba 28, 2022.
Katika waandishi nawakubali ni pamoja na Hando yuko very competent
 
Ndugu sio kila anachokisema mtu mwenye wadhifa fulani eti ndiyo itakuhakikishia kuwa ameongea kitu sahihi na kupuuza maoni ya mtu asiye na wadhifa. Tambua kuna watu hawana ujasiri wa kupinga ili kutetea nafasi zao japo ukweli wanaujua.
Kwahiyo kabla ya kuongea, kufanya au kukubaliana na jambo fulani, jipe nafasi ya kufanya uchambuzi wa kina na sio kuelea au kukubaliana moja kwa moja eti kwakuwa tu jambo hilo kasema msomi fulani, kiongozi fulani au mwanafalsafa fulani.

Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
Naheshimu sana uhuru wa watu kutoa maoni lakini huwa naangalia ukweli na uhalisia wa maoni hayo. Mtu anapokuja na taarifa kwamba mikopo kwa serikali Ina madhara atupe na solution ya kuongeza mapato ya ndani ili kufidia deficit. Unakuta mtu anaongea tu kukopa kubaya na hapohapo hataki Kodi iongezwe ili kuongeza mapato ya ndani.

Sijasema kwamba natakiwa nikubaliane na kila Jambo linalosemwa lakini hebu tuangalie vitu kwa jicho na uono wa kiudadisi.

Ninachotaka kusema hapa ni kwamba ni lazima tuwe na imani na taarifa zinazotolewa na serikali kwa kuwa serikali taarifa hizo ni reliable and credible.

Serikali imepanga mipango kupitia bajeti na hapo hapo bajeti ikisomwa watu wanafurahia bajeti itawasaidia kwa Kodi kupunguzwa na mengine ila hajui kupunguzwa kwa Kodi kwake ni nini kimefanyika
 
Huyo asitafute cheap popularity na kama kala mlungula wa Ndugai aweke wazi na sio kujitekenya na kucheka mwenyewe.

Kauli ya Ndugai ilipingwa na wataalamu kutoka benki kuu tukianza na Gavana. Kwa kumsaidia huyo Hando ni Nani Kati ya yeye na Gaavana wa benki mwenye taarifa sahihi za hali ya uchumi?

Pia, tunapotaka kumquote Ndugai tusiishie kuquote kikauli kinachotupa matumaini. Hiyo kauli ilivyoendelea mbele ndio lengo kuu la mazungumzo yake lilipokuwa.

Mwambie Hando ajipe muda kusikiliza hotuba yake nzima halafu aje hapa aseme anakubaliana nayo ama vipi
Kwa position aliyokuwepo ndugai, unadhani hakuwa na taarifa sahihi? Unadhani aliongea jambo asilojua undani wake?
 
Huyo asitafute cheap popularity na kama kala mlungula wa Ndugai aweke wazi na sio kujitekenya na kucheka mwenyewe.

Kauli ya Ndugai ilipingwa na wataalamu kutoka benki kuu tukianza na Gavana. Kwa kumsaidia huyo Hando ni Nani Kati ya yeye na Gaavana wa benki mwenye taarifa sahihi za hali ya uchumi?

Pia, tunapotaka kumquote Ndugai tusiishie kuquote kikauli kinachotupa matumaini. Hiyo kauli ilivyoendelea mbele ndio lengo kuu la mazungumzo yake lilipokuwa.

Mwambie Hando ajipe muda kusikiliza hotuba yake nzima halafu aje hapa aseme anakubaliana nayo ama vipi
Tyuu.....,
 
Kama unaamini uchumi ni sayansi pia unatakiwa utambue kila kauli ya kiuchumi inatakiwa itolewe baada ya utafiti au uchunguzi kufanyika.

Inakuwa ni jambo la aibu kwamba hali ya uchumi inatolewa na mtu baki ambaye hana background ya kufanya tafiti kiuchumi.

Bado ninaamini kauli zinazotolewa na wataalamu wetu ni za kweli kwa sababu zao zinakuwa documented na published na zinakuwa zinarejelewa.

Swali: Je, Hango kauli yake ipo published na documented kwa ajili ya marejeleo?

Hando na Ndugai wametoa Normative statement tu, so there is no verifiable evidence on them, lakini ndiyo ukweli wenyewe huo, Huwezi ukaendesha nchi kwa kutegemea mikopo kwa ukubwa huo at the same time ukamue watu kwenye kodi kwa kiasi kikubwa kama sasa hivi, ndo unaona effect yake mtaani kuna mfumuko wa bei, interest rate zinaongezeka, unemployment ipo juu n.k

Reports za kiuchumi zinatakiwa zireflect hali za wananchi kwa sababu tafiti zinawahusu wao. kama reports zao zinadai hali ya kiuchumi ni nzuri basi jua wamezimanipulate na haziko sawa.
 
Kuna siku tulikaa bar na wachumi, ingawa walisema masharti ya mikopo hayawekwi wazi lakini sharti mojawapo ni kutokuongeza matumizi ya serikali kwa kuongeza ajira mpya.

Kwa mfano vituo vya afya vitajengwa lakini huduma za afya zitaendelea kuwa duni na mbaya kwa sababu hakuna uwiano sahihi kati ya daktari-idadi ya wagonjwa-siku.
Sijui mnapata picha wenzangu? Maana nipo bar hapa.
 
Hujui kama mikopo inaumiza wananchi tu deficit inaendelea kuwa kubwa kwa sababu nchi inatumia most of his revenues kulipa madeni, Naona gavana hapo katumika kisiasa tu.
Ndo maana tozo zimejaa ili kukamua pesa kutoka kwa wananchi wanyonge kwenda kulipa madeni, hili liko wazi kabisa wala huhitaji tochi....
 
Back
Top Bottom