Hando aungana na Ndugai kupinga Serikali inavyokopa kopa ovyo

Hando aungana na Ndugai kupinga Serikali inavyokopa kopa ovyo

Mbona hata mm sipendi kuona serikali ikikopa kopa sana!

Job Ndugai safiiiiii
 
Hatujui tulipotoka, hatujui tunapokwenda na hapa tulipo pia hatupajui...
 
Kukopa ni sehemu ya Maendeleo

Maendeleo ni ubunifu wa fursa na kujitegemea kama mtu au taifa, kukopa kibiashara ni sawa lakini unakopa ukajenge matundu ya vyoo au madarasa ya umma never, kukopa sio maendeleo, maendeleo ni kujitegemea kwa asilimia kubwa bado uwezo wa viongozi ni mdogo kifikra pamoja na fursa lukuki zilizopo,
 
Serikali inayokopa sana na kujifanya kumalizia miradi ni serikali isiyo bunifu na kujiendesha kwa aina ya serikali hiyo ni kwa mashaka, lazima itakopa hadi pesa za matumizi yake kitu ambacho ni hatari sana
 
Heri ukae zako kimya,kuongea ukweli kama huu na una familia inakuangalia,una marafiki una watu wanaotamani kukuona kila siku.. ni "Very Risk"

Sitoshangaa kuona hando kazushiwa la kuzushiwa mara pap hayupo Efm..

Hata hawato deal na Gerald Hando,wata pga simu 1 tu kwa majizo,watampa Option mbili tu halafu atachagua mwenyewe Mwenye Efm yake.
 
Nimemskiza leo Asubuhi wkt wakichambua Magazeti na Musa KP! Nikashangazwa na ule Ujasiri wake!
 
Heri ukae zako kimya,kuongea ukweli kama huu na una familia inakuangalia,una marafiki una watu wanaotamani kukuona kila siku.. ni "Very Risk"

Sitoshangaa kuona hando kazushiwa la kuzushiwa mara pap hayupo Efm..

Hata hawato deal na Gerald Hando,wata pga simu 1 tu kwa majizo,watampa Option mbili tu halafu atachagua mwenyewe Mwenye Efm yake.
Kwani hayo Mambo yapo?
 
Maendeleo ni ubunifu wa fursa na kujitegemea kama mtu au taifa, kukopa kibiashara ni sawa lakini unakopa ukajenge matundu ya vyoo au madarasa ya umma never, kukopa sio maendeleo, maendeleo ni kujitegemea kwa asilimia kubwa bado uwezo wa viongozi ni mdogo kifikra pamoja na fursa lukuki zilizopo,
Hiv kodi zetu zinashindwa kujenga madarasa? Kweli je viongozi wanashjndwa kutengeneza fursa kweli ili watu waweze kujitegemea kweli?na kuachana na mamikopo ya hovyo
 
Ukweli mchungu! Huwezi kukopa deni kwa mdai namba 2 ili uende ukalipe deni lingine sugu kwa mdeni namba 2.
 
Ukiongea huu ukweli unaonekana we ni timu legacy, Ila hata wanaosifu na kuabudu ni swala la mda tuu
Panatakiwa pesa bwawani,pesa sgr,pesa mwendokasi mbagala na gongolamboto,pesa madarasa kizazi kijacho kisome,pesa kinyerezi,pesa barabara..matrilioni,yanatoka wapi!?..tozo tu mmelia,au tusijenge miundombinu,tubaki vilevile ili tuonekane hatukopi!?
 
Ukweli mchungu! Huwezi kukopa deni kwa mdai namba 2 ili uende ukalipe deni lingine sugu kwa mdeni namba 2.
Economically inaitwa conversion wazee,unakopa kwenye riba ndogo na grace period ndefu unaenda kulipa kwenye riba kubwa ili usipate hasara zaidi
 
Panatakiwa pesa bwawani,pesa sgr,pesa mwendokasi mbagala na gongolamboto,pesa madarasa kizazi kijacho kisome,pesa kinyerezi,pesa barabara..matrilioni,yanatoka wapi!?..tozo tu mmelia,au tusijenge miundombinu,tubaki vilevile ili tuonekane hatukopi!?
Unaelewa lakin hata unachokiongea
 
lazima tukope ili tuweze kubust miradi mingi ya maendeleo...bila ya kukopa tutachukua miaka mingi kukamilisha kwa pesa zetu za ndani. by da way walipaji kodi bongo ni wachache sana sana...
twende na mama mpaka 2030....
 
Back
Top Bottom